Ni mwaka gani unafikiri inaweza kuwa tayari?!Kama ni kweli, huo nao utakuwa ni ukurupukaji na sioni akifanikiwa katika hilo.
Dodoma haiko tayari kuwa mji mkuu wa nchi.
Ni mwaka gani unafikiri inaweza kuwa tayari?!Kama ni kweli, huo nao utakuwa ni ukurupukaji na sioni akifanikiwa katika hilo.
Dodoma haiko tayari kuwa mji mkuu wa nchi.
Ni mwaka gani unafikiri inaweza kuwa tayari?!
Dah, unatisha.Mwaka 3000.
Dah, unatisha.
Sidhani kamamatafanikiwa overnight. Inabidi aanze kuimarisha miundombinu kwanza hasa airport. Halafu aweze kushawishi balozi nazo zihame. Hapo atafanikowa kirahisi
Nyie mnafikiria kuhama kwa Rais ni lazima office zote zihamie Dom hivyo akisafiri Ikulu inafungwa ama ? ni aje
Wazo zuri lakini nahisi utekelezaji wake kwa sasa ni mgumu mno.
Akihama yeye lazima wizara zote zihamie Dodoma. Maana yake kutahitajika pesa nyingi sana. Anahitaji pesa hizo kwenye elimu, afya na miundombinu.
Wanaukawa mtampenda na kumfagilia kwa lipi?Kwa kasi hii ndani ya siku 100 wana ccm halisi wote watamchukia na wana Ukawa halisi -tunamfagilia na kumpenda
Pia kiusalama kwa upande wa Rais sio pazuri, magogoni pamekaa poa kiusalama kwani ni karibu na kiwanja kikubwa cha ndege na mahari pia hivyo prezida atakuwa salama zaidi hata ikitokea kama yaliyotaka kumkuta nkurunzinza
Akifanya hivyo atakua amethihirisha kiwango kikubwa cha uzalendo
Hayo pia ni mabadiliko au ulitaka ahamie Moshi?
Manyumbu bhana kweli hamna akili krhabisa yaani Raisi wa nchi aombe ruhusa kwanza kwa mabalozi kama wakikubali ndiyo aweze kuhama ndani ya nchi yake? Hivi wewe akili zako ziko sawa kweli?
Kwa kweli Mungu alituepusha na mengi sana kwa kutokumchagua fisadi Lowasa kwa maana kama walivyo wafuasi wake hawana akili kabisa!
Nampa hongera kama ni kweli, lakini itakuwa ni mwendelezo wa kuigiliza aliyokuwa anayaamini Mheshimiwa Lowassa.
Hata ahamie mbinguni watanzania wanataka mabadiliko sio ujanja ujanja na danganya toto
hahahaha!!!
aya bhanaa, huwa nashangaa unacho postigiii