Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 407
Atuhitaji kelele,na vibweka hata Kikwete aliingia na vibweka na kelele kibao .tunahitaji mtu wa kufanya kazi katika maadili na kazi ikaonekana,,hivi mnajua ugumu wa kuhama Ikulu ya magogoni au mmeanza CCM vibweka??.Historia tuu kwanza itakuwa kichekesho,umesikia Raisi gani anahama Ikulu aliyoikuta tokea enzi ya taifa hilo au hili limezaliwa.fikirieni na yeye afikirie huyo Magufuli.Mwezi aujaisha bado Raisi ajui kipaumbele chake mnaanza kuwaandaa watu kisaikolojia..Tunahitaji mabadiliko bwana.sisi porojo tuu.
hebu uweke hapa huo ugumu..
Tatizo ni kuhama au utendaji?