Rais anatumia kodi zetu vibaya, Royal Tour yake haina faida ni Ufujaji wa pesa za Maskini

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,360
11,514
Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.

Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.

Huu ni wizi wa mchana kweupe
 
Hata tozo mlibeza...baada ya kusikia fedha zimepelekwa kujenga vituo vya afya,mkaombwa muandikwe kwenye vibao.

Mwacheni Mama Samia afanye kazi zake.
 
Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.

Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.

Huu ni wizi wa mchana kweupe
Sasa si bora huyo kuliko yule alikuwa anaelekeza miradi yote chato
 
Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.

Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.

Huu ni wizi wa mchana kweupe
Mbona hujaonyesha ushahidi wa kutokuwa na faida kwa Royal tour badala yake unabwabwaja kama uji unatokota?
 
Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.

Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.

Huu ni wizi wa mchana kweupe
Kupata watalii wa nje si lelemama , kuna ushindani mkubwa sana, lazima Tanzania ijitangaze- iwekee vivutio vyake hadharani, na hasa kama Rais anashiriki - lazima habari zitasambaa kwa haraka zaidi.
 
Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.

Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.

Huu ni wizi wa mchana kweupe
Ndiyo uwezo wake umeishia hapo
 
maxresdefault(0).jpg
 
Rais alipaswa afikirie mambo makubwa ya msingi na kuachana na uigizaji anaoufanya kwa kutumia pesa zetu vibaya. Toka ameteuliwa kuwa Rais anazunguka tu.

Hatulii kufanya kazi. Nchi hii watu wanaiba ye hana hata habari ana talii tu. Haya mambo ni ufujaji wa pesa za umma. Badala yake ndo mnapandisha bei ya bidhaa na pia kodi mkiongeza na tozo.

Huu ni wizi wa mchana kweupe
Rais ni taasisi bwashee!
 
Kupata watalii wa nje si lelemama , kuna ushindani mkubwa sana, lazima Tanzania ijitangaze- iwekee vivutio vyake hadharani, na hasa kama Rais anashiriki - lazima habari zitasambaa kwa haraka zaidi.
Hakuna lolote, tungemuweka Messi au Ronald kwa wiki moja tu watalii wangejaa mpaka kwenye nyumba za tembe Singida tena kwa gharama ndogo
 
Back
Top Bottom