Niite unavyotaka lakini kinachonieleza mimi ni ktk maandishi yangu. Kama ningekuwa mdini ningeenda kuishi Saudia ambako sina haja ya kuomba rais au waziri mkuu atoke dini gani lakijni naishi nchi ya Wakristu na naridhika na maisha. Fikra zako za KUAFIKI mapokezano ya udini ndio Udini wenyewe, kwa sababu umefikiria what if the next President akiwa Muislaam? ina maana hukukubaliana nalo! kwa hiyo haijalishi wewe unataka kusema nini. What comes out of your mouth ndicho kinacho kutambulisha. Samahani sana kama nimekukwaza lakini ukweli lazima usemwe na wewe mwenyewe ndio umeyaweka hapa kuonyesha fikra zako huru. Hukatazwi wala hakuna aliyekushika mkono, you said what was supposed to be said and you stand by your word! - MDINI..
Next president kuwa the same dini kwa maoni yangu binafsi haifai!(kutokana na hali hali halisi ya sasa nchini mwetu)
Tena ninadhani udini ulikuwepo toka awamu ya kwanza sema mwalimu alijitahidi kufunika na kusawazisha!(BADO MNAITA COINCIDENCE AMA BAHATI MBAYA)
Lakini pia ni ukweli kuwa lazima kuwepo na makubaliano yatakayo weka msisitizo kwenye mutual respect baina ya watazania...Kwasababu pia siamini it was a coincidence kuwa na marais wa tofaut kidini!
Una haki ya kuendelea kufikiri kuwa imetokea kwa bahati kama unavyodai!
Maajabu, ni kwamba, eti unajidai kuwa hakutakuwa na maneno endapo marais watatokea kuwa wakristo kwa bahati mabaya kama unavyoona!?
However within the freedom of speech...Na mawazo ama ideas zangu siyo sheria!
Hatuwezi kufanana wote kwa maoni, however, ndo maana tunakuwa na mijadala!
We can disccuss instead of arguing, it healthier that way!
Kwasababu discussions ni kufind solution, where as argument ni kufind nani mshindi!
So we better discuss!
Having said that, kusema kwamba kwenda kuishi Saudi ndo kuonyesha kwamba wewe si mdini, huo ni upotoshaji mkubwa kabisa!
Kuna magaidi kibao kwenye nchi za West, sema tu wengi hawapati nafasi! Tena kuna wengine huwa wanajitolea kwenda kupigana vita vya jihad kuanzia Afghanistan, Yemen, Syria, Pakistan etc!
Hapo UK tu wako kibao, achilia mbali Canada and USA!
Halafu mkuu wangu haujanikwaza wala nini! Si mara yangu ya kwanza ku engage kwenye such discussion with you, i bet you remember!
I never harbor those kinda feelings mkuu!
Nimejifunza mengi sana duniani, na nikikutana na watu, inategemea na interactions, huwa nikipenda kujifunza zaidi na huwa nikipenda watu wenye mawazo huru na walioko tayari kujifunza na kuthink outside the box!
Hilo limekuwa shida sana inapokuja kwenye mijadala inayohusu imani za watu!
A lot of people wears religion on their sleeves, so wanakuwa very sensitive kwenye such topics na inakuwa extremely hard kwa wao kuthink outside the box!
Nimeshajifunza sana kuhusu hilo! Na michango yangu kwenye such topics iko accordingly!
Na ninakwambia mkuu, ningekuwa mdini si ningesema hatuna haja ya kuwa na waislam kama marais?
Maana si ninaweza pia kusema ugaidi umezidi nchini baada ya rais muislam kuyafungia macho matendo na chuki za kidini!
Mkuu kwa wanaoweza kuruka, wakiwa juu kabisa, wanaonekana wadogo sana machoni pa wale wasioweza kuruka! (#FoodForThought)