Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Wanafikiri eti wanatawala bila dhuluma wakati wao ndio dhulumati namba moja. Utawala mwingine ukiingia huyu Hamduni naye ashtakiwe kwa kushikilia watu kinyume na sheria.Kumshikilia mtu zaidi ya siku 5 bila kumpeleka mahakamani sio tu ni uonevu bali ni kinyume cha sheria.
Charge him or release him immidietly