Rais wa Hungary, Katalin Novak ametangaza kujiuzulu baada ya kutoa msamaha kwa mtu aliyeficha taarifa katika kesi ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya Watoto
Mtu huyo alitiwa hatiani kwa kuwalazimisha watoto kubadili kauli zao kuhusu ukatili wa kingono uliodaiwa kufanywa na msimamizi wa kituo cha serikali cha kulea watoto
Novak ameomba radhi kwa vitendo vyake pamoja na kukiri kuwa alifanya makosa kutoa msamaha kwa mtu aliyehukumiwa kwa Ukatili.
--
BUDAPEST, Hungary (AP) — Hungary’s conservative president has resigned amid public outcry over a pardon she granted to a man convicted as an accomplice in a child sexual abuse case, a decision that unleashed an unprecedented political scandal for the long-serving nationalist government.
Katalin Novák, 46, announced in a televised message on Saturday that she would step down from the presidency, an office she has held since 2022. Her decision came after more than a week of public outrage after it was revealed that she issued a presidential pardon in April 2023 to a man convicted of hiding a string of child sexual abuses in a state-run children’s home.
Hungary's president resigns over a pardon to a man convicted in a child sexual abuse case
======
Kwa kikosa kidoooogo! That is, kwa vipimo vya Afrika. Eti alitoa msamaha kwa mfungwa ambae alikuwa anabaka Witoto.
Rais anasema alikosea. Anapisha kiti cha Urais.
Kwa sheria ya Hungary, kama ya Tanzania, Rais ana mamlaka ya kusamehe li mfungwa lolote lile. Lakini bado anaingia matatizoni, kwa sababu hawategemei utoe msamaha kwa kila jangili na kila uhabithi wa binadamu. Kuna wakati msamaha hau make sense, wanategemea utumie akili!
Sasa huku kwetu viongozi huwa hawakiri hapa nilichemka, ngoja nisogee pembeni, wananchi wanisamehe, nijipange upya. Kama ambavyo Mzee Mwinyi alivyojiuzulu uwaziri baada ya polisi kuua watu Shinyanga, baadae akarudi kwenye siasa na akawa Rais wa awamu ya pili.
We unadhani Ulaya, nchi iko gizani miezi miwili hawa mawaziri na wakurugenzi wa TANESCO wangekuwa hawajajiuzulu ?
Mtu huyo alitiwa hatiani kwa kuwalazimisha watoto kubadili kauli zao kuhusu ukatili wa kingono uliodaiwa kufanywa na msimamizi wa kituo cha serikali cha kulea watoto
Novak ameomba radhi kwa vitendo vyake pamoja na kukiri kuwa alifanya makosa kutoa msamaha kwa mtu aliyehukumiwa kwa Ukatili.
--
BUDAPEST, Hungary (AP) — Hungary’s conservative president has resigned amid public outcry over a pardon she granted to a man convicted as an accomplice in a child sexual abuse case, a decision that unleashed an unprecedented political scandal for the long-serving nationalist government.
Katalin Novák, 46, announced in a televised message on Saturday that she would step down from the presidency, an office she has held since 2022. Her decision came after more than a week of public outrage after it was revealed that she issued a presidential pardon in April 2023 to a man convicted of hiding a string of child sexual abuses in a state-run children’s home.
Hungary's president resigns over a pardon to a man convicted in a child sexual abuse case
======
Kwa kikosa kidoooogo! That is, kwa vipimo vya Afrika. Eti alitoa msamaha kwa mfungwa ambae alikuwa anabaka Witoto.
Rais anasema alikosea. Anapisha kiti cha Urais.
Kwa sheria ya Hungary, kama ya Tanzania, Rais ana mamlaka ya kusamehe li mfungwa lolote lile. Lakini bado anaingia matatizoni, kwa sababu hawategemei utoe msamaha kwa kila jangili na kila uhabithi wa binadamu. Kuna wakati msamaha hau make sense, wanategemea utumie akili!
Sasa huku kwetu viongozi huwa hawakiri hapa nilichemka, ngoja nisogee pembeni, wananchi wanisamehe, nijipange upya. Kama ambavyo Mzee Mwinyi alivyojiuzulu uwaziri baada ya polisi kuua watu Shinyanga, baadae akarudi kwenye siasa na akawa Rais wa awamu ya pili.
We unadhani Ulaya, nchi iko gizani miezi miwili hawa mawaziri na wakurugenzi wa TANESCO wangekuwa hawajajiuzulu ?