bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,369
- 24,693
Kesi bongo,we changa tu.kama kweli tuko makini huyu jamaa lazima achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu kulikuwa hakuna sababu yoyote ya yule mlinzi kumshambulia yule muombolezaji mimi niko tayari hata kuchangia gharama za kesi.