bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,370
- 24,651
Lazima kwa konde lile la mtoa rohoNasikia jamaa kakata moto moja kwa moja
Lazima kwa konde lile la mtoa rohoNasikia jamaa kakata moto moja kwa moja
Kesi bongo,we changa tu.kama kweli tuko makini huyu jamaa lazima achukuliwe hatua za kisheria kwa sababu kulikuwa hakuna sababu yoyote ya yule mlinzi kumshambulia yule muombolezaji mimi niko tayari hata kuchangia gharama za kesi.
Kila kitu chochote kikichukua muda mwingi athari sio ya kiuchumi hata kijamii inatatizika. Waislam akifa anazikwa chap chap kuepusha hayoHawa vijana wetu tunaochukua wa Div 4 ya mwisho wanatupa shida sana. Imagine Taasisi nzima inaonekana hamnazo kisa mtu mmoja kama huyu. Pole sana kwa mwathirika waa tukio hili.
Tulia, Subir 2025 uhongwe khanga ya kijani/njano na pakti ya chumvi.Unda Yako isiyo ya kisenge.
Mkuu umeongea Kwa uchungu sanaKulikuwa kuna Ulazma wa Kumpiga Ngumi?
Hapana.
Je alikuwa anaonyesha Tishio au Ni yuko ana silaha au mabomu au anatishia Usalama wa Msafara?Hapana.
Shida ni nini sasa? Posho aliyolipwa kwa ajili ya Safari ya Msiba ni Ndogo? Stress za ugumu wa Maisha?.. Hasira?.. Kuonyesha kuwa anaweza kufanya Lolote na Asichukuliwe Hatua?
Kuishi Tanzania Na Ukiwa Maskini Ni bora Usizaliwe kabisa maana Utafanywa kila aina na dhihaka na dharau..
Mkuu nilijilaumu sana kutochukua video, ilinishangaza wanavyohubiri kuhusu wanyonge, na walichomfanya huyo boda nikabaki nasikitika yaani bila katiba mpya hakuna rangi tutaacha kuonaNa wewe ukakaa kimya hadi leo kuja kulalama humu, unasikitisha sana,maana umeruhusu hawa washenzi to go away with murder
Huyu mlinzi ni mjinga sana kama vipi watu wasiende msibaniMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Hata mimi nilimuona pale azania front jashk linamtokaKwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Mlinzi badala ya kulinda, yeye anashambulia? Kanuni za ulinzi jukumu la kwanza kabisa ni ku protect, lakini huyo ame attack first na ame attack pasipo sababu ya kufanya hivyo.Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Ndio mkuu , mbona hukutuma clipH ha, pembeni ya j j hotel sio.
Huyu Mlinzi ni Fala kama yalivyo mafala mengine tu, amepata wapi mafunzo huyu mwehuMlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa
Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.
Mama Samia atasema huyo siyo askari wa aliyeajiriwa na kufundishwa na Chama Cha Mapinduzi, askari wa CCM hawezi akakupiga ukaamka.Inasikitisha Askari huyo kufanya hivyo mbele ya jeneza la Marehemu Mh. Lowassa. Na muombelezaji Hana silaha yoyote ya kutisha uhai wa mtu..
Apewe adhabu au aachishwe kazi.. na walinzi wengine hata kumcheki jamaa.. walimlipie matibabu 100% na pesa za kumjeruhi..
Escort yote Ile wanajeshi makomandoo wote wale na polisi special unit wote wale na walinzi wa usalama wa taifa wote wale mbona angesagwa kama unga inayosaga mashine ya kusagaNdo mana wanachomwa visu, Sasa angekutana na mtu aliye pinda hafu nae akaenda kujibu mashambulizi kwa Kasi ya jet.