Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,535
Aisee mpaka naogopa kusoma post.
MmhhSiyo ugonjwa wa kuogopa? haupo sirious..... Huo ugonjwa ni mbaya sana Mungu aepushie mbali..... Unatakiwa uwe unahudhuria clin mara kwa mara sana kuna dawa unapewa...... Wanasema siyo rahisi sana kuvuka miaka 30...... Kama unao ukifikisha miaka 60 na kuendelea viungo vya mwili vinakuwa havina nguvu tena..... Wengi wanakufa kuanzia miaka 6 kurudi chini
Soma tu mkuu wenda ukajifunza mengine nje ya huu ugonjwa.Aisee mpaka naogopa kusoma post.
Dah poa mkuu wacha niendelee nilipoishia.Soma tu mkuu wenda ukajifunza mengine nje ya huu ugonjwa.
Mbona mi namjua MTU ana sickle ni MTU mzima na ana watoto,..sema labda kwa sababu ni ugonjwa wa asili,na wengi nayo wapo prone sana na disease hasa malaria,
Unaweza ishi naye tu,maisha yenyew hayak guaranteed,..
Wacha kudanganya watu banaMkuu, kama na huyo jamaa yako anakaasili ka sickle cell(mpaka apimwe) ,basi ajiandae kuzika watoto kila wakizaliwa
Na huo ndio ukweli halisi. Hongera sana mkuuAjilinde kila awezavyo asiwe anaugua malaria Mara kwa Mara, ale balanced diet, anywe Maji ya kutosha kila siku, afanye mazoezi , akienda hospital aonane na Dr wa huu ugongwa anaweza kushauriwa kunywa folic acid, ale vyakula vingi /matunda yanayoongeza damu. Apate muda Wa kupumzika. Asifanye kazi ngumu sana, mfano za kuchimba barabara kwa sululu.
Kuna kipindi namtania mwanangu, namwambia kuwa huu ugonjwa tulionao tunatakiwa tuishi maisha mazuri hivyo azingatie sana elimu ksb kazi ngumu sana Mungu kampa upendeleo Wa kutokufanya.
Ukimpenda mtu mwenye sickle cell wala usimwache eti ksb ana ugonjwa au ana vimelea vya ugonjwa huo, labda umwache ksb zingine. Kikubwa muonane na wataalam ili awape ushauri Wa kitaalam ili muishi kwa furaha ,amani na upendo.
We nawe ikiwa mtu wa kawaida anakufa hata chini ya hiyo miaka sasa kama ni 45 kwa mwanamke na 60 kwa mwanaume mbona inatosha sana.Ana miaka 22, nasikia hawavuki 45 kwa wanawake wanaume only 60.
Kwa hiyo wenye nao watakuwa hawaoi au hawaolewi?Ndio... Yaani carrier akizaa na carrier mwenzake wana chance kubwa ya kupata mtoto mwenye sickle cell...
Sijui kwanini watu hatupimagi hii kitu kabla ya kuoa/kuolewa.
Kwa nini tena mkuuAisee mpaka naogopa kusoma post.
Sio kua hawaoi/hawaolewi ila wanaangalia kutooana wenye chance kubwa ya kuzaa watoto wenye sickle cell. Na atakama watu wakiendelea kuoana wajiandane na kuhudumia mtoto mwenye sickle cell anaemia.... Isije kama mshtukoKwa hiyo wenye nao watakuwa hawaoi au hawaolewi?
Nadhani elimu ni ndogo juu ya huu ugonjwa hiyo ndio sababu.
Sio kua hawaoi/hawaolewi ila wanaangalia kutooana wenye chance kubwa ya kuzaa watoto wenye sickle cell. Na atakama watu wakiendelea kuoana wajiandane na kuhudumia mtoto mwenye sickle cell anaemia.... Isije kama mshtuko
Mimi chuo nilichoenda wote tulipimwa hiyo genotype... Kwa Tanzania Elimu ya huu ugonjwa kweli ingeenea.
Ni probability wanaweza kuza watoto wasio na huo ugonjwa ila lazima kizazi cha hao watoto wao wanaweza pata,ila kuna mtu yuko ivyo na watoto wake hawana ila wajukuu zake ndio wanaoSio kua hawaoi/hawaolewi ila wanaangalia kutooana wenye chance kubwa ya kuzaa watoto wenye sickle cell. Na atakama watu wakiendelea kuoana wajiandane na kuhudumia mtoto mwenye sickle cell anaemia.... Isije kama mshtuko
Mimi chuo nilichoenda wote tulipimwa hiyo genotype... Kwa Tanzania Elimu ya huu ugonjwa kweli ingeenea.
Oook!Kutooana wenye chance kubwa ya kupata watoto wenye sicke cell ukimaanisha nini sio mbaya ukafunguka ili asiyejua akajua.
SafiKwa hiyo wenye nao watakuwa hawaoi au hawaolewi?
Nadhani elimu ni ndogo juu ya huu ugonjwa hiyo ndio sababu.
Zamani mkuu ndio walikuw wanakufa sana siku izi takwimu imepungua sanaMmhh