Rafiki yangu kampenda dada mwenye Sickle Cell

Rafiki yangu kampenda dada mwenye Sickle Cell

Mkuu hapo kwenye rangi umepotosha. Kama mzazi mmoja hana huo ugonjwa wala si carrier na mwingine SS basi watoto watakuwa ni carrier tu na huo ugonjwa hautawasumbua kabisa bali na wao wakitaka kuoa/kuolewa inabidi wahakikishe mke/mume mtarajiwa hana huo ugonjwa pia si carrier wa hizo cells zenye matatizo.

Kinachotakiwa kufanyika hapa ni kwenda kupima damu wote wawili na kuongea na wataalamu wa ugonjwa huu pale Muhimbili kama wako Dar au kwenye hospitali ya rufaa jirani na mkoa wanapoishi.
Sante kwa ushauri mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kwa msichana haina shida as long amevuka 22 yrs,
maana huu ugonjwa una htr mtu akiwa below hio age so akivuka maisha yana kua ya kawaida kama wengne kufa inakua ni mipango ya mungu

tatzo linakuja kwa watoto maana ugonjwa ni wa kurithi ni rahisi nao kurithi hvo nao wanaingia kwenye miaka 22 ya hofu
Duuh! Mpk naogopa.
 
Shukrani Mkuu. Kuna uzi humu kuhusu huu ugonjwa baadaye nafasi ikiruhusu nitauweka katika uzi huu. Ila kuna ushauri mzuri sana humu kuhusu ugonjwa huu. Wenzetu walioendelea sasa hivi ugonjwa huu wanautibu kwa mtoto mchanga nadhani mara anapozaliwa tu kumtoa damu yote yenye hizo cells na kumuwekea mpya na hivyo mtoto anakuwa bila ya kuwa na huo ugonjwa. Kuna lingine pia wanafanya ila sikumbuki vizuri limo kwenye huo uzi.

Sante kwa ushauri mkuu.
 
Shukrani Mkuu. Kuna uzi humu kuhusu huu ugonjwa baadaye nafasi ikiruhusu nitauweka katika uzi huu. Ila kuna ushauri mzuri sana humu kuhusu ugonjwa huu. Wenzetu walioendelea sasa hivi ugonjwa huu wanautibu kwa mtoto mchanga nadhani mara anapozaliwa tu kumtoa damu yote yenye hizo cells na kumuwekea mpya na hivyo mtoto anakuwa bila ya kuwa na huo ugonjwa. Kuna lingine pia wanafanya ila sikumbuki vizuri limo kwenye huo uzi.
Mungu huyu jamani mwacheni tu..!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndio... Yaani carrier akizaa na carrier mwenzake wana chance kubwa ya kupata mtoto mwenye sickle cell...
Sijui kwanini watu hatupimagi hii kitu kabla ya kuoa/kuolewa.
Tangu leo naanza kuwa makini na huu ugonjwa.
 
Nilimaanisha kuzaa ni majaaliwa haijalishi unaumwa nini au huumwi! M/Mungu akikupangia uzae utazaa
Ooh..! I thought pia kupata mtoto nako shida..! Mungu atupe moyo jiwe make hapa njia panda aisei..!
 
Nilimaanisha kuzaa ni majaaliwa haijalishi unaumwa nini au huumwi! M/Mungu akikupangia uzae utazaa
Ooh..! I thought pia kupata mtoto nako shida..! Mungu atupe moyo jiwe make hapa njia panda aisei..!
 
Mkuu hapo kwenye rangi umepotosha. Kama mzazi mmoja hana huo ugonjwa wala si carrier na mwingine SS basi watoto watakuwa ni carrier tu na huo ugonjwa hautawasumbua kabisa bali na wao wakitaka kuoa/kuolewa inabidi wahakikishe mke/mume mtarajiwa hana huo ugonjwa pia si carrier wa hizo cells zenye matatizo.

Kinachotakiwa kufanyika hapa ni kwenda kupima damu wote wawili na kuongea na wataalamu wa ugonjwa huu pale Muhimbili kama wako Dar au kwenye hospitali ya rufaa jirani na mkoa wanapoishi.
Thanks mkuu kwa kunikosoa pia nimeongeza elimu katika hili.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ooh..! I thought pia kupata mtoto nako shida..! Mungu atupe moyo jiwe make hapa njia panda aisei..!
Ni kweli inahitaji mtu muelewa hasa ,yaani ni sawa sawa na mwanaume mweusi kuoa albino wengi watamshangaa
 
Kama utakavyoona hapo juu damu kutoka kwenye umbilical cord inaweza kutumika kupona ugonjwa huu. Inaweza kuwa ya mtoto wa wazazi husika au hata umbilical cord ya mtoto asiyehusika na hao wazazi ali mradi tu damu hiyo iko salama. Na sasa hivi katika hospitali nyingi za dunia ya kwanza hizi damu za kutoka umbilical cord wanazihifadhi kwa kuja kuzitumia katika kuponyesha magonjwa mbali mbali ikiwemo sickle cell anemia.





Mungu huyu jamani mwacheni tu..!
 
MwanaFA nasikia pia ana sickle cell
Sidhani kama ni ugonjwa wa kuuogopa sana

Ila tatizo linakuja kuwa nasikia unaweza kurithishwa kwa mtoto
Siyo ugonjwa wa kuogopa? haupo sirious..... Huo ugonjwa ni mbaya sana Mungu aepushie mbali..... Unatakiwa uwe unahudhuria clin mara kwa mara sana kuna dawa unapewa...... Wanasema siyo rahisi sana kuvuka miaka 30...... Kama unao ukifikisha miaka 60 na kuendelea viungo vya mwili vinakuwa havina nguvu tena..... Wengi wanakufa kuanzia miaka 6 kurudi chini
 
Mkuu huo uzi niliokuwa nauzungumzia ni huu hapa.

Nina mtoto ana sickle cell.


Napenda wataalamu na watu wenye uzoefu mniambie ni vipi mtu anaweza kumhandle mtu mwenye sickle cell. Huyu rafiki yangu ameambiwa baada ya kuwa tayari kazama kwenye bwawa la mahaba anampenda sana msichana, isitoshe ni kitu matata kichwani, umbo, upole kiufupi wife materials shida hiyo sasa sicklecell, nasikia kuishi kwao siyo garantee jamaa anamwogopa tangu aambiwe hilo tatizo, mtujuze life span yao pia.

Nitanguliza shukrani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom