Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,453
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Kwenye hiyo hesabu tambua na mimi nipoUsichoke shoga angu kwa miaka ya sasa wanaume kama huyo ni wa kuhesabu.
Safi sana..
We pendapenda kumbe a.k.a cha wote
Mtakuwa mnatianaga ninyi huu mtafutano .....Hujanitafuta tu mbona nipo
Hahaahaaaaa
KumbeeeeeSafi sana..
Old is GoldUna degree ya kufukua makaburi
Mzee wa Assist.....
Aliyemuumiza ndiye huyo uliyemtagi?Mpe tunda la bustani ya hedhi
Cc. Usser
I don't need your help anymore! After those words saivi ndo unataka unisaidie?? SITAKIIIIIII
AiseeNow we are reaching some where soon i will succeed... Ushaanza taratibu..
Usisahau kuna wagambanao ndio wauwanaoWagombanao ndo wapatanao tuliza akili nenda ukazungumze nae mwombe msamaha
Ok, Thanks kwa ufafanuzi mfupi.Mkuu ni story ndefu sana ila kabla ya Smart walikua pamoja na User. Ilitokea ugomvi humu hadi pm hapakukalika.
Ha ha ha ha ...........[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] .sasa si uwandike lugha moja kama kiswahili andika kwa kiswahil kama english andika kwa lugha iyo ila unachanganya kama nini
alaf nyie wasomi wa siku hizi ndo mana magu hawapi ajira pumbavuu
The same is happening to me.Habari ya Jumatatu!
Jamani kuna rafiki yangu mmoja waukwee ambae nimemvurugaaa mwenzenu, nimemtibua kiasi kwamba naona kama kazira kabisaa mpaka nakosa raha.
Bado namkumbuka sana nakumbuka ushauri wake na mambo yake mengi mengi tu. I don't know what to do with this friend of mine coz I really missed him so much. I love and misses the time we had together. I miss every moment we shared.He was a teacher mentor and a counselor to me. Amenifundisha kunishauri na kunielekeza mambo mengi sana.
Sasa nimemuudhi na kakasirika hakuna mfano! Yani kakasirika mpaka naogopa!
He was not just a friend, a friend in deed. He hold my hands in every difficult situation in have encountered. Ni mtu wa muhimu sana na mwenye mchango mzuri mkubwa na wenye msingi katika maisha.
What kills me nikwamba; we were so crazy and funny. He makes me laugh and smile always! Mpaka nilijikuta nakua mwenye furaha na amani tele. Kitu cha kuwa makini members think before you act wajameni mdomo ushaponza kichwa huku. Mwenzenu ndo nishampoteza rafiki mzuri hivyo. Though alikua rafiki ila naumia sana mwenzenu.
What should I do?? Help me out members!
Pole rafiki.. Ilikuwaje tena.. Mi juzi huyo rafiki kanitafuta WhatsApp lol nivompotezea sasa mpaka haamini na namba yake nilishafutilia mbali na kumsahau kabisa . After mwaka mzima na miezi kibao no communications leo ndo eti mambo.. Nyokko zake nishampata sio rafiki tu he's a suitor Smart911 kabisa Sina habari na mtu miyeeThe same is happening to me.
Mimi ndio nilikua na makosa and now i really want to restore the friendship. Nilimkosea kipindi ambacho nilikua na wakati mgumu sana, wakati mwingine nikiwaza nayeye alipaswa kuelewa situation yangu lakini akawa kichwa ngumu najishauri sijui nimsahau kabisaaa.Pole rafiki.. Ilikuwaje tena.. Mi juzi huyo rafiki kanitafuta WhatsApp lol nivompotezea sasa mpaka haamini na namba yake nilishafutilia mbali na kumsahau kabisa . After mwaka mzima na miezi kibao no communications leo ndo eti mambo.. Nyokko zake nishampata sio rafiki tu he's a suitor Smart911 kabisa Sina habari na mtu miyee