Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Status
Not open for further replies.
Pole sana!!!

Usikurupuke maana umeyaharibu kwa hiyo inabidi uwe mpole na mtiifu kwake.

Hujatuambia umemuudhi kwa sababu ipi hilo ni lenu wawili na mtalimaliza wenyewe

Umuache mpaka hasira iishe ndo uende ukamwombe msamaha


Ila kama alikufuma na mchepuko kwa mwanaume kusamehe thijui ila jaribu kwenda naye taratibu

Mwandikie ujumbe wa kumic huku ukiomba msamaha muonyeshe kuwa bila yeye utakuwa mkiwa mpweke hali itaumua moyo wake tena ukurudie

Pole tena pole ila kama alikubamba na mchepuko unalo
 
Pole sana. Time is the best healer, may be as the time goes on mtayamaliza na kurejeana kwenye hali ya awali.
 
Habari ya jumatatu!
Jamani kuna rafiki yangu mmoja waukwee ambae nimemvurugaaa mwenzenu, nimemtibua kiasi kwamba naona kama kazira kabisaa mpaka nakosa raha.
Bado namkumbuka sana nakumbuka ushauri wake na mambo yake mengi mengi tu. I don't know what to do with this friend of mine coz I really missed him so much. I love and misses the time we had together. I miss every moment we shared.
He was a teacher mentor and a counselor to me. Amenifundisha kunishauri na kunielekeza mambo mengi sana. Sasa nimemuudhi na kakasirika hakuna mfano! Yani kakasirika mpaka naogopa!
He was not just a friend, a friend in deed. He hold my hands in every difficult situation in have encountered. Ni mtu wa muhimu sana na mwenye mchango mzuri mkubwa na wenye msingi katika maisha.
What kills me nikwamba ; we were so crazy and funny. He makes me laugh and smile always! mpaka nilijikuta nakua mwenye furaha na amani tele.
Kitu cha kuwa makini members think before you act wajameni mdomo ushaponza kichwa huku. Mwenzenu ndo nishampoteza rafiki mzuri ivo.
Though alikua rafiki ila naumia sana mwenzenu.
What should I do?? Help me out members!

Tulia tuuu kuku wako manati ya nn
 
Kama ni Mara ya kwanza kufanya hivo muombe msamaha naamini atakusamehe....ila usirudie tena kufanya hivo
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom