miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,152
E
Eti eheeWa kuyapunguza ni wewe ujue...
Wa kuyapunguza ni wewe ujue...
Eti eheeWa kuyapunguza ni wewe ujue...
Wa kuyapunguza ni wewe ujue...
Hahahaa! Inabidi kumchukulia kama alivyo aiseeYa uongo kabisaa,huyu babu anazeeka vibaya
Usichoke shoga angu kwa miaka ya sasa wanaume kama huyo ni wa kuhesabu.Mh nahisi moyo ushachoka kwakweli naelekea kuacha kuendelea kumuomba nakuonesha yeye alikua wa muhimu
Mwambie mama. Ni kweli kabisa... tuko wachache sana. Kwa hapa Dar hatufiki 225.Usichoke shoga angu kwa miaka ya sasa wanaume kama huyo ni wa kuhesabu.
Hahahaaa! Sifa jipe mwenyewe bwanaMwambie mama. Ni kweli kabisa... tuko wachache sana. Kwa hapa Dar hatufiki 225.
Maana hamna namna tena...Hahahaaa! Sifa jipe mwenyewe bwana
Tuanzie hapa, ulimkorofishaje?Hatujakorofishana ni mimi ndo nilimkorofisha
yeah..rud tu taratibu jioneshe kwake umejutia kosa ulilofanya usione aibu kwake .... upendo ulionao kwake udhihilishe hpa I mean ule wa mahusiano wa km rafik wa karib..ila km unaupendo nae zaid ya urafik wa karib na unaaamin oneday anaweza kuwa wako dhidisha maradufu...usiogope wanaume cc ni wepec kusamehe sana..atakuelewa tu nadhan.Kweli kabisa...
mpe usijali kama kaomba au laMh hakuwahi kuomba wala kuonesha dalili ya kutaka penzi langu!
SI UKAAJIRIWE BAKITA!sasa si uwandike lugha moja kama kiswahili andika kwa kiswahil kama english andika kwa lugha iyo ila unachanganya kama nini
alaf nyie wasomi wa siku hizi ndo mana magu hawapi ajira pumbavuu
Nakuona nakuona unataka kufukua kaburiWe pendapenda kumbe a.k.a cha wote

Hapana tunawafundisha namna ya kuitumia JF
Ha ha ha muoneeni hurumaHapana tunawafundisha namna ya kuitumia JF