Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Status
Not open for further replies.
Hata chembe ya huruma hukuwa nayo kabisaa hili jeraha litapona kweli?
 
Zile ndoto na mipango yetu uliisahau kabisaaa!
 
Unaifahamuje historia yao ili niweze kukupa feedback nzuri.
Nachojua ilikuwa hot couple humu ndani, bidada alikuwa kaolewa na mjeda, ila njemba ilikuwa single.... Huu uzi nadhani aliandika bidada baada ya kumkazia jamaa mchezo, jamaa ndiyo akazira.

But mwisho wa siku nadhani waliyamaliza na wakawa michepuko.

Ila baadaye walikuja kuachana baada ya kuwa mbali mbali.

Kuna uzi bidada alifunguka kila kitu, ngoja niulete.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom