Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Status
Not open for further replies.
Hujawahi penda, ukatumia muda wako, nguvu zako na pesa! Acha mkuu inauma sana.
Mkuu hujanijibu swali langu, wewe ni mjeda wake? Ama ndiye smart kwenye id ingine? Ama ni rafiki wa kati yao?

Ama wewe unampenda pia huyo Antonia.
 
Screenshot_20220826-225532.jpg

Sawa sawa, jambo jema..

So ni wewe ndiye unayehusika na haya malalamiko yako?

Antonia kakufanyaje?
 
We mwambie nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana.
Atakusamehe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom