Duhh Pole sana jamani... Mimi halikuwa kosa in such... Shida nikwamba he was married afu anataka mchezo haaaaa sinaga huo ujinga kabisa.....Mimi ndio nilikua na makosa and now i really want to restore the friendship. Nilimkosea kipindi ambacho nilikua na wakati mgumu sana, wakati mwingine nikiwaza nayeye alipaswa kuelewa situation yangu lakini akawa kichwa ngumu najishauri sijui nimsahau kabisaaa.
Safi sana..

Mbona hujam'tag Mahondaw?Safi sana..
Mbona hujam'tag Mahondaw?
Hahahahaha... Watashindana lakini hawatashinda love
Ndo wewe umenikalia kooni hivi?? Tangu majuzi ni kufukua makaburi jamani
🤣kuna kitu wanakitafuta si bureTangu majuzi wanafukua si mchezo