Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Status
Not open for further replies.
Huo mpangilio wa structure yako kwa kweli inaonekana mara ulikuwa nae, mara sahivi uko nae mara mmetengana, kwa kifupi duuu mvurugano tosha.. ila kwa kifupi rudi chini muombe radhi tu atakuelewa
 
Mimi ndio nilikua na makosa and now i really want to restore the friendship. Nilimkosea kipindi ambacho nilikua na wakati mgumu sana, wakati mwingine nikiwaza nayeye alipaswa kuelewa situation yangu lakini akawa kichwa ngumu najishauri sijui nimsahau kabisaaa.
Duhh Pole sana jamani... Mimi halikuwa kosa in such... Shida nikwamba he was married afu anataka mchezo haaaaa sinaga huo ujinga kabisa.....
 
😂 sonona ni kitendo cha kukosa hela hivo kinamfanya mtu awe mnyonge ajihisi ametengwa!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom