Tatizo ulikuja na gia kubwa, ulitegemea nini?Najua na namba yangu umeshaidiliti... Yani mi nikusms afu uniulize "we nani?"
namuachia mungu...
Napanda mlimani kukuombea...Tatizo ulikuja na gia kubwa, ulitegemea nini?
Ila muachie shetani anatosha
Hahahaaaa! Mi wala hujawahi kunikosea rafiki
pole uwo ndo ukubw dadaAcha kufuruga bana niko na maumivu ya kumpoteze rafiki mie!
Mi amenikosea sana... nimemsamehe lakini sitamsahau.Hahahaaaa! Mi wala hujawahi kunikosea rafiki
Asante sana lakini Hatukuwa wapenziPole sana!!!
Usikurupuke maana umeyaharibu kwa hiyo inabidi uwe mpole na mtiifu kwake.
Hujatuambia umemuudhi kwa sababu ipi hilo ni lenu wawili na mtalimaliza wenyewe
Umuache mpaka hasira iishe ndo uende ukamwombe msamaha
Ila kama alikufuma na mchepuko kwa mwanaume kusamehe thijui ila jaribu kwenda naye taratibu
Mwandikie ujumbe wa kumic huku ukiomba msamaha muonyeshe kuwa bila yeye utakuwa mkiwa mpweke hali itaumua moyo wake tena ukurudie
Pole tena pole ila kama alikubamba na mchepuko unalo
VizuriWeee ntakua naongea kwa kunipa yani! Nimekoma mbona
Nimekusamehe lakini sitakusahau...Inshallah nasubiria kusamehewa kama akiamua kunisamehe lakini. Sante