Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Rafiki yangu bado ananiumiza sana

Status
Not open for further replies.
Acha kufuruga bana niko na maumivu ya kumpoteze rafiki mie!
pole uwo ndo ukubw dada

thats fate you have to believe on it

ila kama unakiri ni mtu muhimu kwako na unakiri pia kama wewe ndo umezingua just mfate na myazungumze mana ww ndo umezingua......amin mambo yatakuwa shkopa
 
Pole sana!!!

Usikurupuke maana umeyaharibu kwa hiyo inabidi uwe mpole na mtiifu kwake.

Hujatuambia umemuudhi kwa sababu ipi hilo ni lenu wawili na mtalimaliza wenyewe

Umuache mpaka hasira iishe ndo uende ukamwombe msamaha


Ila kama alikufuma na mchepuko kwa mwanaume kusamehe thijui ila jaribu kwenda naye taratibu

Mwandikie ujumbe wa kumic huku ukiomba msamaha muonyeshe kuwa bila yeye utakuwa mkiwa mpweke hali itaumua moyo wake tena ukurudie

Pole tena pole ila kama alikubamba na mchepuko unalo
Asante sana lakini Hatukuwa wapenzi
.nimeshamuomba sana msamaha mpaka naelekea ku surrender... Kuhusu kuonesha na kumwambia memmis nimemwambia weeeeeeee ndokwanza naona kama natwanga maji kwenye kinu.. Ivo vote still namkumbuka sana
 
Pole mwaya ila usichoke kumuomba msamaha nina imani atakusamehe kwani hakuna asiyekosea akaacha kusamehewa.
Inshallah nasubiria kusamehewa kama akiamua kunisamehe lakini. Sante
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom