alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,690
- 12,183
Natumae amepata mwongozo..Aendelee na issue za zingine aachane na mambo hayo...
Natumae amepata mwongozo..Aendelee na issue za zingine aachane na mambo hayo...
More blessingsMwamba umeongea Ushauri mmoja mzuri Sana.Nashukuru sana Kiongozi
Kashindwa kumzalisha miaka 12 yote hiyo? Alikuwa anamwagia wapi?Miaka 12 mahusiano yamedumu aisee Wanawake
Ushauri gani. Afunge kurasa. Tena ashukuru kaambiwa live. Wengine hawasemi wanakufanyia vituko mpaka uache mwenyewe.Huyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....
"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"
Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
Sorry is 12years hata ku propose?Miaka 12 mahusiano yamedumu aisee Wanawake
Na yeye amwandikie ujumbe, sorry msj sio yako.Halafu amweke blacklist na afute katika jina kwenye namba zake.Asisahau kunialika akitaka kuoa tenaHuyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....
"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"🤦♀️
Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
Ugumu upo wapi?Hivi unafikiri ni vyepesi kwa hali hiyo eti?
Sielewi anazubaa niniHalafu ampige chini
Huyo sio mkali wa hizo KaziSielewi anazubaa nini
AppreciateSahihi
Hiyo ndio code , aache ujinga Ila kama Hana Moyo mgumu asifanye hivyo inaweza kumgarimu , anaweza kumuita wakakutana gheto halafu jamaa yako baada ya kupewa show Akaanza kulia Lia kwa kuomba msamaha , itaudhalilisha ukoo wao woteHahahahahahaha
Sasa ushauri wa nini,mbona kamrahishia kazi?? Aangaloe kwingine huyo aendelee kumlaHuyu ni rafiki yangu Nimeosoma nae chuo, hivi majuzi kaniambia ya kuwa Mchumba wake aliyepo masomoni Chuo fulani Alimwambia Anataka akajitambulishe Ili awe mke wake mtarajiwa Rasmi. Lakini Bidada ghafla na wakati huo huo akamtumia Rariki yangu Ujumbe huu ufuatao.....
"Am sorry Dear I know una nia njema kabisa na mimi lkn siku zote ukweli umuweka mtu huru nimekua mjinga nashindwa kukwambia ukwel kwamba nipo kwenye mahusiano lkn naona nnachokifany ndio naharibu zaid nakua mtumwa me nipo kwenye mahusiano aisee
Am sorry najua nimekupotezea muda lkn kiukwel hali halis ndio ipo ivo"
Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
Option zipo mbili;Jamaa yangu anaomba Ushauri yakinifu. Mimi kama mdau wa JF nikasema nilete humu ndani na Ushauri wenu nitamuonyesha piaa...
Lody Music-Kubaliamekwacha wee umeachwaaa kubari kubari utampata wako mwingine wakupendana saana🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️