Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,732
Kweli mkuu yanakatwa sana baadhi ya habari zinazokinzana na serikali yetu, nakumbuka baada ya matokeo ya urais zanzibar kesho yake asubuhi BBC kupitia redio one walikata matangazo baada ya kufika zamu ya maalim seif kutoa maoni yake jinsi uchaguzi ulivyokua wakarudi baada ya yeye kumaliza kuzungumzaKama ni msikilizaji mzuri, basi kukatwa kwa matangazo au maoni hasa yanayokinzana na Serikali ya Magufuli ni jambo lilozoeleka.
Media zimebinywa korodani.