MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,488
- 20,443
Vyanzo vyangu kutoka Kremlin vimenidokeza kuwa Mr Putin kakosa kabisa usingizi baada ya taarifa ya msiba wa kijana wetu Tarimo.
Tofauti na watu wengi wanavyofikiria ,Putin anataka kuwatimua mawaziri Kama wawili na majenerali kadhaa sababu ya kutopewa taarifa awali kuwa Kuna kijana wa kitanzania anapigania upande wao.
Kila akishika simu kutaka kuongea na mama Samia anairudisha mezani maana anakuwa Hana maneno sahihi ya kumfariji.
Hamna nchi duniani ambayo Urusi inaiheshimu Kama Tanzania, hili janga linataka kuivunja hii heshima lkn Putin anajaribu kuokoa jahazi lakini wasiwasi bado ni mkubwa Sana uko Urusi.
Bakini hapa hapa nitawajuza.
Tofauti na watu wengi wanavyofikiria ,Putin anataka kuwatimua mawaziri Kama wawili na majenerali kadhaa sababu ya kutopewa taarifa awali kuwa Kuna kijana wa kitanzania anapigania upande wao.
Kila akishika simu kutaka kuongea na mama Samia anairudisha mezani maana anakuwa Hana maneno sahihi ya kumfariji.
Hamna nchi duniani ambayo Urusi inaiheshimu Kama Tanzania, hili janga linataka kuivunja hii heshima lkn Putin anajaribu kuokoa jahazi lakini wasiwasi bado ni mkubwa Sana uko Urusi.
Bakini hapa hapa nitawajuza.