Thubutu!!Samia kujiuzulu soon
GOD DID!!
Kutapambazuka kweli, Kwa mazingira haya?
Ila vyeo vikubwa vimeshikiliwa na wachumia TUMBO kina Madelu....Ni ngumu hao Kutema BUNGO.Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon
Atolewe na huyo mamHuo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu Nchemba
Keep waiting
Baba Levo, anasema haijadhibitishwa. Mpaka msemaji wa serikali atoe tamko.naanza Kushusha makala ndefu,
Soon
I can guess the next..!Mizizi yake was deep!
Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon
Naiona Kesho Yenye matumaini,
naanza Kushusha makala ndefu,
Soon
Britanicca
Reshuffle tena?Huyu Huyu
Mwigulu anatemwa pia Samia anataka aunde Baraza jipya la mawaziri aanze upya japo kachelewaI can guess the next..!
Tueleze wewe unajua kwa dhahiri...jambo moja tu ata la ujinga wa simba na yanga 🤔Hakuna ujuacho, unaotea otea tu, unatembela humo humo na upepo !!!! Kipndi cha uchaguzi umeongea vingi sana, 99.7 vilikuwa uongo...
Unatembelea upepo wa kipindi fulani !
He has been very very silent recently , my guess anajua or alisha ambiwa what followsHuo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu Nchemba
Keep waiting
CHAWA mkubwaWewe piga ramli,cheza mdudindo vyovyote vile uwezavyo
Nchi kwanza na siyo Mtu kwanza
Nchi iko imara chini ya Dr Samia na hilo linawaumiza sana watu wa Parokia
Huyu dada kwao ni huku kijijini baba yake alikuwa DiwaniKwamba mpishi ndie aliyetaka kumuua jamaa kama ulivoandika au mpishi alitumwa then mambo yakavurugika?
Kobaz mwenzako Tanganian amelikeWewe piga ramli,cheza mdudindo vyovyote vile uwezavyo
Nchi kwanza na siyo Mtu kwanza
Nchi iko imara chini ya Dr Samia na hilo linawaumiza sana watu wa Parokia
Huo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu Nchemba
Keep waiting
Tunaanza kuogopa sasa sababu Brits siyo mtu wa kispotispotiMizizi yake was deep!
Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon
Naiona Kesho Yenye matumaini,
naanza Kushusha makala ndefu,
Soon
Britanicca
Nchi iko imara hadi VP anajiuzulu.??Wewe piga ramli,cheza mdudindo vyovyote vile uwezavyo
Nchi kwanza na siyo Mtu kwanza
Nchi iko imara chini ya Dr Samia na hilo linawaumiza sana watu wa Parokia