CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 11,618
- 25,600
Mwaga motto mwingi Mkuuu
Tukusaidie nini sasa, unalalamika sana kama mama mjaneHakuna ujuacho, unaotea otea tu, unatembela humo humo na upepo !!!! Kipndi cha uchaguzi umeongea vingi sana, 99.7 vilikuwa uongo...
Unatembelea upepo wa kipindi fulani !
Dotto Magari na ManaraDah napata shida sana ni nani anayebaki kama mtu wa kuaminika ndani ya chama changu cha CCM.
Ukiwa na msongo wa mawazo sio lazima kukimbilia JF kupumulia,nenda hata kwa kina mama wenzio mkapige umbeaNa nguchiro wa bavicha weengi eti wanaona yeye ni hero...!!
Teh teh teh
JF ina vituko
Ukiwa na msongo wa mawazo sio lazima kukimbilia JF kupumulia,nenda hata kwa kina mama wenzio mkapige umbea
Wengi wazuri wapo.Dah napata shida sana ni nani anayebaki kama mtu wa kuaminika ndani ya chama changu cha CCM.
Tukusaidie nini sasa, unalalamika sana kama mama mjane
Janga/maafa.catastrophe
Ndo nn
Huo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu NchembaUkija na uzi wa manyonyo makubwa kufa, ahh moja kwa moja naenda bar, bia nyingi, bangi nyingi, kitimoto mlima
Kwamba mpishi ndie aliyetaka kumuua jamaa kama ulivoandika au mpishi alitumwa then mambo yakavurugika?View attachment 3656747
Inadaiwa huyu mpishi alimtengea chakula jamaa akatonywa asiguse huo msosi mdada akalazimishwa ale ili tukio lake lipeleke salam kwa walio mtuma.
Eh then?Huo Bado Ila nyingine ya moto ni kwamba hata waziri Mkuu naye anatolewa soon, Huyu Huyu Nchemba
Keep waiting
😁Shida sio wewe, shida ni wanao amini story zako
Big unalombwa, QLMYWewe piga ramli,cheza mdudindo vyovyote vile uwezavyo
Nchi kwanza na siyo Mtu kwanza
Nchi iko imara chini ya Dr Samia na hilo linawaumiza sana watu wa Parokia
Unatafuta WAZALENDO kwenye mfumo? Umechelewa sanaKinachotakiwa nchi iwe imara na irudie hadhi yake imebagazwa na kubanangwa sana huku rasilimali za nchi zikihomondolewa na kikundi kidogo cha wahuni.
Taifa kwanza mtu baadaye ni wakati wa wazelendo wachache walioko kwenye vyombo kufanya maamuzi kwa mstakabali mpana wa taifa.