Sley Shabani Rashid
Member
- Dec 25, 2022
- 71
- 92
miamba hawa hahaaaaa
miamba hawa hahaaaaa
Huyu kama anaondoka ni sahihi, maana PM alikuwa anapandisha watoto jukwaani kuhutubia wananchiPamoja na mbwembwe zote za kusifia na kuunga juhudi?
Ni mtu aliyechafuka sanaHuyu kama anaondoka ni sahihi, maana PM alikuwa anapandisha watoto jukwaani kuhutubia wananchi
Kabla na baada ya UpmNi mtu aliyechafuka sana
Hivi kuna power zaidi iko juu ya samia sio?Mwigulu anatemwa pia Samia anataka aunde Baraza jipya la mawaziri aanze upya japo kachelewa
Tuendelee kupiga goti kwa wote tuaminio,natamani kupata neno la faraja kutokea kwa Mzee kalikawe,na father aliyeponea makucha ya hawa viumbe wenye kushupaza shingo,🤔Mizizi yake was deep!
Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon
Naiona Kesho Yenye matumaini,
naanza Kushusha makala ndefu,
Soon
Britanicca
Twende kazi. Werawera.Mizizi yake was deep!
Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon
Naiona Kesho Yenye matumaini,
naanza Kushusha makala ndefu,
Soon
Britanicca
Kwa wabunge hawa waliopo na Ccm yake..... hakuna jipya.Mwigulu anatemwa pia Samia anataka aunde Baraza jipya la mawaziri aanze upya japo kachelewa
Whaaat?View attachment 3656747
Inadaiwa huyu mpishi alimtengea chakula jamaa akatonywa asiguse huo msosi mdada akalazimishwa ale ili tukio lake lipeleke salam kwa walio mtuma.
Inasikitisha sanaUkija na uzi wa manyonyo makubwa kufa, ahh moja kwa moja naenda bar, bia nyingi, bangi nyingi, kitimoto mlima
Sawa, tunasubirinaanza Kushusha makala ndefu,
Soon
Duuh,View attachment 3656747
Inadaiwa huyu mpishi alimtengea chakula jamaa akatonywa asiguse huo msosi mdada akalazimishwa ale ili tukio lake lipeleke salam kwa walio mtuma.
Aisee,View attachment 3656747
Inadaiwa huyu mpishi alimtengea chakula jamaa akatonywa asiguse huo msosi mdada akalazimishwa ale ili tukio lake lipeleke salam kwa walio mtuma.
Nilikuwa najiuliza wakoloni waliwezaje kutawala Africa, kumbe walikuwa wanasaidiwa na wenyeji wenye tamaa ya maslahi binafsi. Ndicho nakiona leo, watanganyika wenzetu wameamua kutuuza kwa wapemba wa zanzibar. Inaumiza sana.Mizizi yake was deep!
Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon
Naiona Kesho Yenye matumaini,
naanza Kushusha makala ndefu,
Soon
Britanicca
Wewe ulirudisha kadi ya chama pendwa? I’m confusedKuna haja ya kuwa na popcorn za kutosha kipindi hiki
Wewe piga ramli,cheza mdudiko vyovyote vile uwezavyo
Nchi kwanza na siyo Mtu kwanza
Nchi iko imara chini ya Dr Samia na hilo linawaumiza sana watu wa Parokia
Tena tujikune hadi bondeni sauzi tutoke na kinyesiMwaga upupu, tujikune wote
Balaza la fully zanzibaris or muslims.?Mwigulu anatemwa pia Samia anataka aunde Baraza jipya la mawaziri aanze upya japo kachelewa