Tetesi: Pukutiko linaendelea...

Tetesi: Pukutiko linaendelea...

""Ehee wameanza kujichanganya makamu mteule anasema atakuwa ni makamu atakayemsaidia zaidi na si kumpinga"" Kwani ni nani aliyekuwa makamu aliyempinga rais. Mama Samia ruhusu michakato wa kumpata mgombea kupitia Ccm kwani tuna utaratibu kila baada ya miaka 10 tunaweka ingizo jipya wewe na Magufuli mmekamilisha awamu yenu. Japo si kwausahihi sana lakini nakiri HHP alikuwa mbele ya wakati sana. Aendelee kupumzika kwa amani kokote aliko awe walimuua au hata kama bado wako naye.
 
Happy Maulid Day ,tuko tunakula kisinia hapa Meerah
62622.jpg
 
Back
Top Bottom