Babylon,
Sasa hiyo habari umeisoma? Wananchi hawataki ardhi yao ikodishwe kwa miaka 99. Unajua yaliyotokea Madagascar?Serikari inaytakiwa iwawezeshe wananchi kutumia ardhi yao sio kuwapa wageni ardhi kwa miaka 99 wakati wananchi wanabaki kuwa wafyeka majani katika nchini kwao.
Wewe unajua maana ya slave plantation?
Sasa hiyo habari umeisoma? Wananchi hawataki ardhi yao ikodishwe kwa miaka 99. Unajua yaliyotokea Madagascar?Serikari inaytakiwa iwawezeshe wananchi kutumia ardhi yao sio kuwapa wageni ardhi kwa miaka 99 wakati wananchi wanabaki kuwa wafyeka majani katika nchini kwao.
Wewe unajua maana ya slave plantation?