Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,256
- 133,459
:focus::focus:
MM umeonyesha kweli wewe ni mkomavu. Hizi ndiyo changamoto za kudanya mambo yasonge mbele. Naamini kabisa kwa mada hii ni darasa kwa wengi lakini zaidi ni kwa viongozi wa CDM.Ujinga wetu ni nini basi? Je unaathari zaidi ya upuuzi wako na wa wenzako ambao mnataka watu wote waimbe sifa za CDM bila kukosoa au wakosoe sirini kana kwamba ni chama kisichostahili kukosolewa? Ujinga wetu ni nini kudai na kuonesha bila kuwiwa na mtu kuwa CDM kama ilivyo sasa ikishika madaraka tutakuwa na tatizo lile lile ambalo tunalo ndani ya CCM yaani siasa zenye kufuata watu, sera zisizoangaliwa na kuandaliwa vizuri na mfumo mzuri wa kutawala? Ama ujinga wetu nini hasa kulinganisha na upumbavu wa kushabikia chama ilimradi ni chama? Ama ujinga wetu hasa ni nini? Kwamba tunapenda CDM na tunaamini inahitaji kujengwa kujiandaa kushika madaraka ya kuliongoza taifa siyo kutawala? Au ni ujinga gani unaozungumzia ule wa kusema uongozi wa CDM ulivyo sasa umenata kwenye watu kiasi kwamba fikra za kutoka nje zinakutna na ukuta wa kukwamisha ambao ni mgumu kubadilika kama vile ilivyo CCM?
Ama ni ujinga gani ambao tumeudhihirisha zaidi ya kusema kile ambacho tunaamini na kukiweka bayana kwa kila mtu kukiona? Kwamba hatuamini umati wa watu; kwamba kwa vile watu wengi wanajitokeza kwenye mikutano na kuvaa nguo za rangi ya CDM haina maana ni wingi wa kura? Au ni ujinga upi huu?
Au ni huu wakusema kuwa miaka miwili baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 na mitatu kabla ya ule wa 2015 CDM bado ni chama kile kile? Kina katiba ile ile, kina mifumo ile ile, kina mwelekeo ule ule na dhana zile zile? Kwamba hakijajionesha kuwa kiko adaptive na adoptive wa siasa mamboleo (modern politics) na badala yake kimeendelea kutumia mifumo ile ile iliyoundwa na CCM. Leo hii bado Kamati Kuu ya CDM ina nguvu za kuinfluence local politics kama vile ilivyo kamati kuu ya CCM? Ama ni ujinga wa watu kusema CDM inahitaji kujipnga, kuboresha miundo mbinu yake, kusasaisha sera na mwelekeo wake, na kutengeneza taasisi zake ambazo zitahakikisha kinatoka kuwa chama cha upinzani wa kuduma na kuwa chama kinachoweza kushika utawala wa nchi.
Wakati mwingine ujinga wetu una hekima zaidi kuliko werevu wenu.
Unajua unachekesha sana. Sasa naona umeanza kubali kuwa katika maandishi unaweza pata tone. Ingawa umesikia loudness mahali isipokuonyesha jinsi ulivyo tarai kufa ukitetea self esteem. Unanifurahisha kwa kuyarudia matapishi. Tumekufundisha sana humu ndani kuhusu hili ukawa mbishi kama kawa sasa unaota utafute resort.I wouldn't be so sure. It is screaming louder like a thunderbolt on a summer day.
Niwe scared? Kwa lipi? Mimi sijulikani popote nje ya JF. Niogope nini? Umepanic nini? Ningekuwa napoteza control tusingefika hapa kwani nimekuburuza sana wakati ulikuwa ukideka, ukisusa, ukitishia mtu mzima kwa doll etc. Nimekuwa nikushtua kila mara kuwa unaleta uvivu kwa kususa. Embu rudia wapi ulinikumbusha na wapi nimekukumbusha halafu uone nani alikuwa in control. Hivi analysis zako unafanya vipi? Mbona unazidi thibitisha kuwa CDM walikuwa makini sana. Hii ndio raja ya maandishi hakuna wahuni wa kupiga makelele wakikushabikia.You are losing control and it scares you. Inaonekana umezoea kupata, kukubaliwa na kutokupingwa. Bahati nzuri I'm used katika kupingwa sana. But, my friends the level of your desperation to maintain self control while recogning it is fleeing you inakutisha.
Kwanini ufanye gueswork ktk invalid issue? Kwanza si valid kungalia position ya mtoto, na ulivyoreason ni kitoto.Kama ulidhani nataka control wengine angalau unge guess mtoto wa kwanza kama alilelewa akiwa na wadogo zake na hivyo kujifunza waongoza. Sasa katikati? Unanishangaza mutu mukubwa.Inaonekana unapata shida kucollect mawazo yako taratibu na kuyapanga; what is this? I can easily see some other familial issues. Mtoto wa katikati possibly but may be something more profound. Nazidi kujifunza.
Do you think nilikuwa nataka ku control? So now you mean you are the one who is scared and fighting to be free? Kwanini uanze jiweka under controll kabla hata mtu kukuweka? Au kwanini unania accuse kwa hilo?ina maana hiyo ya fartherly issue inakuhusu.Una shida ya esteem ndio maana unahisi njia pekee ya kuw ahuru ni kutaka watu wengine wote wakusikilize. Ndio unalia sana kuwa CDM hawakusikii ukiuliza nini hawakusikii unaanza kulia, kususa etc. Kama yule jamaa aliyeleta story kuwa wewe ni mtoto mama siwezi shangaa kwanini unadeka sana,unasusa sana, unataka elimu uliyosotea na kuitamani sana sasa na wengine waitamani hata kama mpangilio wake kichwani na jinsi ya kumanipulate information na principles bado si sawa.A radical you are not. Kukatalia au kujaribu kucontrol watu wengine siyo radicalism kabisa. Radicalism is principle driven not loyalty driven.
Nakutisha tena? sijatumia neno la kutisha hata moja na siwezi kukutisha kwani sina sababu. Najaribu kuelewa motivations zako na especially the underlying psychological traits ambazo zinekufanya uwe ulivyo.
Well, wala sian haja ya kukuambia ulete relevant kwani tutapotelea mno nje ya thread. Wenye akili wanaona na watakuwa na majibu yao.kwani unadhani Nyerere hakupata upinzani zaidi ya CDM toka kwa makundi kama ya leo? Aliyapata ila alikwenda nao hivyo hivyo na kuna kipindi alisimamia ukweli hadi wakajificha wenyewe, wengine walifikia pa kumuogopa kwa vile walimwona kama light na wao ni giza. Sasa ndio wanachomoza.
Irrelevant.
Yaani hukumbuki ahat nilikuambia siwezi rudiarudia kwani tutajaza database junks, n apia kuwafanya wafuatiliaji wapate kazi kutrack issue ndogo kabla ya kurudi ktk flow tena.Ni wewe unazileta; ukizeleta nitazijibu. Nilisema mwanzoni tufanye mjadala wa kistaarabu lakini mwenzangu inaonekana ustaarabu na heshima vinakukimbia. Ukitaka tuendelee na mjadalaa vizuri na kuulizana maswali tunaweza kufanya hivyo; ukileta psychoanalysis of first grade, well I do that for a living.
Yaani hukumbuki ahat nilikuambia siwezi rudiarudia kwani tutajaza database junks, n apia kuwafanya wafuatiliaji wapate kazi kutrack issue ndogo kabla ya kurudi ktk flow tena.
Nimekuambia mimi ni radical n akazi yangu hapa si ku appease watu.Sasa huo ustaarabu unaoutaka hapa kama wa muuza chumvi anayataka umsalimie kwa adabu halafu umwambia unataka dawa ya mboga.Sidhani kama ndicho ulichojifunza USA ktk soko huria ili ufanye biashara?Unless unaenda omba kazi ktk nchi ya kijamaa.
Kwa mtaji huu kama hiyo psychoanalysis yako fo a living utakuw aumeajiriwa permanently kwani ungekuwa soko huria ungekufa njaa.Au pengine unawatreat wateja wako kama unavyojaribu cheza kamikaze humu ndani.
Sasa unaona fahari gani hapa? Hujui kuwa database inabeba hizi postings, na display yake ipo ordered na kwa msomaji kufuatilia vizuri tunahitaji jibu vitu ktk session moja ili pasiwe na postings nyingi in between na hivyo kumuwia ngumu msomaji kuunganisha idea? Au ndivyo upendavyo ili watu wapotee ujione kuwa mjuaji? Kwanini usirudi thread kadhaa nyuma ujibu ambacho hujajibu halafu kitasogezwa automatically mbele? Sasa hata ktk profile yako ukirudi utaona reply zangu na ukajibu. Sasa nayo ni shida? Ndio unajaribu tena kuchukua escape nyepesi kama hivi? Bado unahitaji tena nianze kukumbusha kuwa visababu vidogo visi ku distract? Sasa composure impoteza wapi wakati bado nahitaji control kudeka kwako, kususa, kukasirika, na mara nyingine kuleta kebehi za kukimbia issue na si kebehi za kubaki na kumaliza session tukiwa tume tick kila kitu?Oh boy; u have lost control of yourself; ni vile unavyojitahidi kuonesha kuwa una control and composure ndivyo unavyojionesha kuwa you have lost both. Bila ya shaka unapenda sana kusikilizwa.
Mbona nilishajibu yote ya msingi? Unataka nikujibu kila kitu kwa sababu hutaki kutokujibiwa? Kwamba ukiuliza ni lazima ujibiwe na usipojibiwa unajisikia vipi hasa? Mimi kutokujibu baadhi ya maswali yako ambayo naweza kujibu kunakukera sana kwanini? Najibu maswali ambayo naamua kujibua au ambayo naona umuhimu wake kujibu; mengine ni maswali ambayo nayaacha kuyajibu kwa sababu sitaki kuyajibu au nayapuuzia tu kwa sababu hayajaulizwa vizuri au hayana msingi. Uliza mengine, nitaamua kujibu au kutokujibu kutokana na vigezo vyangu mwenyewe vya nini nijibu na nini nisijibu.Sasa unaona fahari gani hapa? Hujui kuwa database inabeba hizi postings, na display yake ipo ordered na kwa msomaji kufuatilia vizuri tunahitaji jibu vitu ktk session moja ili pasiwe na postings nyingi in between na hivyo kumuwia ngumu msomaji kuunganisha idea? Au ndivyo upendavyo ili watu wapotee ujione kuwa mjuaji? Kwanini usirudi thread kadhaa nyuma ujibu ambacho hujajibu halafu kitasogezwa automatically mbele? Sasa hata ktk profile yako ukirudi utaona reply zangu na ukajibu. Sasa nayo ni shida? Ndio unajaribu tena kuchukua escape nyepesi kama hivi? Bado unahitaji tena nianze kukumbusha kuwa visababu vidogo visi ku distract? Sasa composure impoteza wapi wakati bado nahitaji control kudeka kwako, kususa, kukasirika, na mara nyingine kuleta kebehi za kukimbia issue na si kebehi za kubaki na kumaliza session tukiwa tume tick kila kitu?
Mbona unajiyeyusha zaidi ya unavyodhani unawayeyusha wengine? Wewe si huwa unawaambia watu warudi wakasome magazeti yako marefu kama mzalendo na daily news vile ktk thread nyingi, sasa inakuweje wewe unashindwa rudi soma za thread moja? Kumbuka nilikuambia mwanzoni uispende wapa watu vipimo ambavyo hata wewe mwenyewe huwiwezi.
Huwa unajua wenzine wanachoka kusoma posting ndefu halafu zina mpangilio mbaya wa kuweza eleweka, hapo ndipo unapoburuza watu kwa kuwaambia wafuate au wasubiri ukaandike. Hufai kupewa project ambazo ni time stamped.
Hapa WOWOWO nipo na wewe 100%. kwenye red hapo political scientists wanaita cooptation, na inakubalika kabisa kisiasa, na kinachofanyika ni kujaribu kuvunja nguvu ya upinzani kwa kuiga mipango mikakati na mawazo yao yenye mashiko na kwasababu wao bado wananguvu ya miundombinu na rasilimali inakua rahisi kuhalalisha mbele ya umma kwamba ni initiative zao!! sio tu mawazo hata watu (i mean potential leaders) wanakua coopted!! that how system works...
Bado naamini cdm hawajafanya vibaya kwa kutumia precautious publicity tactic maana wanajua upande wa pili kuna njaa kubwa ya ideas na mipango!! na mfano ndio huo wa V4C!!!!
kiukweli vita ndio hii... kuendeleza mapambano ya kukosoa na kuonyesha dhahiri namna sera na mifumo ya upande wa pili zilivyoshindwa na zinavyodidimiza azimio la kuondoa umasikini, ujinga na maradhi kwa mtz!! while at the same time wakiconstruct a model yanamna watakavyoweza kubadili na kuleta maendeleo. (without disclosing the contents)
Kweli haya majibu na sabau zako undhani wasomaji wote wataya buy? Pengine inabidi nisikuulize vitu au kuambia kwani inakuwa kama vile nakulaani au upo uchi sana. Nilikupa wazo la kufanya utafiti katika familia yako"ili uweze jua wapi hawaridhiki" bahati mbaya kidogo ilionekana natukana hadi nika clarify ila hapa umethibitisha kuwa unahitaji soma mwitikio wa watu.Mbona nilishajibu yote ya msingi? Unataka nikujibu kila kitu kwa sababu hutaki kutokujibiwa? Kwamba ukiuliza ni lazima ujibiwe na usipojibiwa unajisikia vipi hasa? Mimi kutokujibu baadhi ya maswali yako ambayo naweza kujibu kunakukera sana kwanini? Najibu maswali ambayo naamua kujibua au ambayo naona umuhimu wake kujibu; mengine ni maswali ambayo nayaacha kuyajibu kwa sababu sitaki kuyajibu au nayapuuzia tu kwa sababu hayajaulizwa vizuri au hayana msingi. Uliza mengine, nitaamua kujibu au kutokujibu kutokana na vigezo vyangu mwenyewe vya nini nijibu na nini nisijibu.
. Nani kakuambia msingi wa maswali unaouona unayeulizwa? Msingi wake upo kwa anayeuliza na msingi upo kataka majibu amabyo yanakwenda kwa waulizaji.
Sasa wewe mwandishi wa dot.com haya majibu yako na maswali yako ya kuchekesha. Embu jiulize, km JK angekujibu au kukuliza hivyo ulivyoandika; kesho yake ungeandika vitabu vingapi huku vingine vikiwa havipo katika order?
Inaonekana umezoea kupata mno; nakunyima kitua ambacho unaamini unastahili kupewa. Sijaona maswali ambayo kwa kweli yanahitaji kujibiwa hadi unakosa raha hivyo. Usingizi siwezi kuwa nao bado mapema kwangu labda upande wako. Unajua ukiuliza swali muulizaji anaweza kuona kaulia jambo la msingi sana lakini ni yule anayeulizwa anaamua kama hilo jibu linastahili kujibi, na kama kujibiwa lijibiwe vipi na kwa kiwango gani na kama si la kujibu kulibrush aside.
Una maswali mengine mapya? labda yatakuwa more interesting.
Kwa vile umeshaonyesha uliyakimbia makusudi na si honest player ktk hii discussion basi nikupe vitu rahisi:
-Unajithaminishaje baada ya hi session?
-Je unadhani wewe unafiti wapi linapokuja suala la CDM? Kuwa consultant or critic? Weka sababu za msingi.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Ukimaliza, fanya mambo mengine uliyoulizwa ktk thread. Mengine wasomaji na wachangiaji wataangalia wenyewe.Nategemea kusoma umahiri wako hapa.Ni hayo tuu.Pia nadhani yatakuwa interesting kama hutakula kona.
Kwa vile umeshaonyesha uliyakimbia makusudi na si honest player ktk hii discussion basi nikupe vitu rahisi:
-Unajithaminishaje baada ya hi session?
-Je unadhani wewe unafiti wapi linapokuja suala la CDM? Kuwa consultant or critic? Weka sababu za msingi.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Ukimaliza, fanya mambo mengine uliyoulizwa ktk thread. Mengine wasomaji na wachangiaji wataangalia wenyewe.Nategemea kusoma umahiri wako hapa.Ni hayo tuu.Pia nadhani yatakuwa interesting kama hutakula kona.
Nicholas na Mzee Mwanakijiji someni post ya kwanza ya WOWOWO pia reply ya kwanza ya MM, zilikua zimekaa vizuri sana, naona kama sasa hivi imekua tu sushambuliana watu wawili.
Mmoja anaweza kuamua tu kukaa kimya yaishe na wala hatokuwa dhaifu au kuhesabika kwamba ni dhaifu.
iyo maneno yako imenchanganyaEdson, Aiseee......?!!:shock:
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana kila kilichoandikwa kwenye uzi huu.. Huwezi kuweka hadharani Silaha zako za kivita!.
Hebu tupanue mjadala kidogo: Je, ni muhimu kuiondoa CCM madarakani na maovu yake sasa hivi au muhimu kwanza ni kuiondoa CCM madarakani na mengine yatafuata baadaye? Kama lengo ni kuiondoa CCM madarakani na sio lazima kuondoa na maovu yake mara moja, then MMM is right. Otherwise, he is missing the point.
Mimi msimamo wangu siku zote ni wazi kabisa: cha muhimu kwa sasa hivi ni kuiondoa CCM madarakani. Kwa maneno mengine, madamu CCM ipo madarakani itakuwa vigumu kwa sisi kupiga hatua ya maana katika jambo lolote. Kuyaondoa maovu yote iliyoyazalisha inapaswa kuwa agenda ya muda mrefu kwa sababu ni jambo litakalochukua muda.
Kwa hiyo tunapaswa kuiangalia CDM kama jahazi la kutuvusha katika gharika.