Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

teh teh...naona umeamua nifanya nicheke kwa kunipa hidden meaning intentionally na si bahati mbaya.nashukuru kwa somo.Nimekusomaa inabidi ni ....ha ha ha.
Umechukua mpira, umemsukumiza mtu mpaka kwenye kona kabisa, unakaba mpaka kona!. Haya umefanya faul kwenye 18, amepewa penalt, unataka kukaba mpaka penalt?!. Ila pia wewe Niko uu miongoni mwa mijitu mibishi humu jf hakuna mfano!, Baada ya lile kubwa jinga kukimbia humu, nikadhani maubishi ya ving'ang'anizi wanapungua, kumbe nilikosea!, wanapungua huku wanaibuka watu wabishi kuliko waliokuwepo!. Uwege na heshima japo kidogo kwa wengine, ukisha make a point, inatosha wa kuelewa tunaelewa sio unang'ang'ana wee mpaka basi!. Tuendelee na hoja ilyopo mezani hadi sikumbuki ilipoishia!.
P.
 
well ni wakati wa MMK kuja kuelezea vizuri kama kweli kabadilika au lah.Na kuwaamabia watu nini kimembadili au kwanini ahahisi hajabadilika kwa moyo mwema kabisa na sababu zenye uzit😵therwise kichani mwangu naanza pata hisia kabadilishwa bila jijua au pia kaanza jibihave kama mtu mwenye mchanganyiko wa fikra usioeleweka.
Nakushauri kwa sasa lala uendelee kesho!.
 
Pasco kama ulibvyosema tuendelee, hoja ni MMK kubadilika.Ni yeye tuu kuja na kusema kuwa kabadilika au hajabadilika halafu anatoa utetezi wake.Bado tunaweza ata vingi kutoka kwake hata kama nia yake ni kusema kwa malengo tofauti ila kuna vitakavyoponyoka kupitia maandishi.Na tutajaribu Mpush aweke clear.
 
Nakushauri kwa sasa lala uendelee kesho!.

Ni vyema ukianza utani uniambie ili niwe huru kucheka,otherwise wengine watafiri nawadhihaki wakati mwingine nahitaji cheka kilichosemwa au hata jinsi kilivyoandikwa.Nadhani wewe ni mwandishi na unatumia sana hivi viashiria kupeleka ujumbe.Hasa nikikumbuka ktk maishu ya EL...naogopa tumia EL kubwa natamani ziandika zote kwani kitahudi EL ni habari ingine Ni Boss wa space yote .
 
Pasco kama ulibvyosema tuendelee, hoja ni MMK kubadilika.Ni yeye tuu kuja na kusema kuwa kabadilika au hajabadilika halafu anatoa utetezi wake.Bado tunaweza ata vingi kutoka kwake hata kama nia yake ni kusema kwa malengo tofauti ila kuna vitakavyoponyoka kupitia maandishi.Na tutajaribu Mpush aweke clear.

Unategemea kwa akili yako mwanakijiji ataweka utetezi gani? Mwanakijiji amebadilishwa na moja ya haya mambo 2; alichotegemea kuvuna CCM hakukipata au ahadi za hapa na pale upande pili; porojo za kutetea maslahi ya watanzania ni usanii wa waandishi wa habari; unaweza kutetea maslahi bila ya kujihusisha na siasa!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Unategemea kwa akili yako mwanakijiji ataweka utetezi gani? Mwanakijiji amebadilishwa na moja ya haya mambo 2; alichotegemea kuvuna CCM hakukipata au ahadi za hapa na pale upande pili; porojo za kutetea maslahi ya watanzania ni usanii wa waandishi wa habari; unaweza kutetea maslahi bila ya kujihusisha na siasa!

Chama
Gongo la mboto DSM

Ila kweli kuna mengi tuu ka skip na mengine nikamwambia nitakuwa nafanya kazi offline yeye atolee maelezo yale anahisi yanahitaji maelezo na ajibu yote ambayo nimemuuliza ili tufunge hizo chapter,kwani baadaye tunaweza hitaji refer mazungumzo ya nyuma ambayo tulipeana majibu.

Cha kushangaza kuna hata vile vitu alivyokiri kuwa kaamia CDM kwa vile kaona kuna pontential (something) ya kuchukua madaraka ya nchi.Halafu akazungukazunguka kuelezea kuna kitu CDM wanahitaji kibadili halfu akiulizwa nini CPU inakuwa (....loading.....plse wait...).Kisha nachanganya terminolgies hapo halafu anarudi palepale.

Anyway sishangai uliopamua malizia maelezo kuwa hana cha kujibu.Kwani kwanza footer uliyoweka gongo la mboto,enzi hizo za pugu, huwa watu wakienda angalia mpira kuna mida huwa walikuwa wakiondoka wakiwa na hakika na matokeo.

naona wameamu kuwa mawazo yao hawajatoi ng`o kwa sijui CCM,NCCR,CUF,TLP wala sijui nani hata kama wanawapenda sana ila wanayatoa kwa CDM tuu kwa vile ina pontential ya kuchukua nchi...inafurahisha.
 
Mkuu MMK naona tuondoke kwenye issue ya maandishi kubeba hisia za mwandishi au kwa makusudi au kwa bahati mbaya ili tuendelee na viporo ulivyotuachia.Haya kubeba hisia hata wale vijana wanaojua soma vizuri viashiria vya mabinti huwa wana success rate kubwa sana,kwani huwaambia maneno sahihi ambayo hufanya kazi sahihi ktk fikra na hisia za binti.Nadhani ukiwakuta mitaani watakuthibitishia.Pia waandishi wenzio nao hufikisha ujumbe sana kupitia hizi hiden signs.Na wataalamu husoma sana kazi za waandishi na kupata clue za maisha binafsi ya hao waandishi.Ni waandishi wachache sana huweza sumbua watu kwa kuandika vitu tofauti na wao makusudi ktk mazingira fulani ila kazi fulani zitabakisha traces.Sasa wewe usiyehata jua hilo ni vipi utaficha?

Nikisema kuwa kwa maandishi yako unaandika kwa sababu una wivu nitakuwa sahihi kwa sababu naweza kusoma kwenye maandishi yako? Au kwamba naweza kuona una chuki ya aina fulani hivi? utasema ni kweli kwa sababu mimi naamini hivyo?
 
Ila kweli kuna mengi tuu ka skip na mengine nikamwambia nitakuwa nafanya kazi offline yeye atolee maelezo yale anahisi yanahitaji maelezo na ajibu yote ambayo nimemuuliza ili tufunge hizo chapter,kwani baadaye tunaweza hitaji refer mazungumzo ya nyuma ambayo tulipeana majibu.

Cha kushangaza kuna hata vile vitu alivyokiri kuwa kaamia CDM kwa vile kaona kuna pontential (something) ya kuchukua madaraka ya nchi.Halafu akazungukazunguka kuelezea kuna kitu CDM wanahitaji kibadili halfu akiulizwa nini CPU inakuwa (....loading.....plse wait...).Kisha nachanganya terminolgies hapo halafu anarudi palepale.

Anyway sishangai uliopamua malizia maelezo kuwa hana cha kujibu.Kwani kwanza footer uliyoweka gongo la mboto,enzi hizo za pugu, huwa watu wakienda angalia mpira kuna mida huwa walikuwa wakiondoka wakiwa na hakika na matokeo.

naona wameamu kuwa mawazo yao hawajatoi ng`o kwa sijui CCM,NCCR,CUF,TLP wala sijui nani hata kama wanawapenda sana ila wanayatoa kwa CDM tuu kwa vile ina pontential ya kuchukua nchi...inafurahisha.
NIKO , wee ni king'ang'anizi mpaka basi!. Mbona MMMK kajibu kila kitu!. Yeye kajitanabaisha kwa nini anasupport CDM, mimi niko wazi mtu wangu ni EL, nyie Chadema kazi yangu ni kuwapa tuu ushauri wa bure kwa kutumia formular ya "mti wenye matunda"!.
 
Nikisema kuwa kwa maandishi yako unaandika kwa sababu una wivu nitakuwa sahihi kwa sababu naweza kusoma kwenye maandishi yako? Au kwamba naweza kuona una chuki ya aina fulani hivi? utasema ni kweli kwa sababu mimi naamini hivyo?
Utakuwa right only if utaoina huo wivu kwenye maandishi yake kupitia "graphology". Na akiandika kwa chuki, utaiona hiyo chuki!. Ili uweze kuiona hiyo graphology lazima uwe na uwezo wa uoni huo, ndio maana sio kila mtu asnaweza kumsoma mtu in between the lines kama utetezi wa kwa EL asimamishwe kugombea kupitia CCM!. Nicholas anao huo uoni wa graphology na aliona ulikasirika, mimi pia niliona na aliye kurekebisha nae aliona akifikiri ulikosea kwa bahati mbaya, na wewe ukakubali kurekebishe ili ionekane kweli ulikosea, ila wewe ndani ya moyo wako unajua wazi kuwa hukukosea uliintend, Nico aliona na mimi niliona!.

Binadamu wote tunazo zile five senses, lakini pia wote tuna sixth sense ya "intuition", mtu akikudanyanya utajua unadanganywa!. Ist date zatu nyingi sisi ngozi nyeusi huwa tunataka kumaliza kila kitu, hivyo wasichana weak, hutumia kinga ya kisingizio kuwa wako ... na kuvaa kabisa ... just incase utalazimisha!. Ukiwa na sharp intuition, utajua tuu unafungwa kamba hivyo baada tuu ya date you just kiss good bye bila kudemand anything!. Mara kibao unapatwa na shida, unakwenda kwa a friend/ndugu/jamaa au rafiki kukopa, anakujibu hana hela, intuition inakuambia anamekutolea tuu nje, you just go!.

Kupitia post yako fulani niliwahi kukueleza wewe Mkuu Mzee Mwanakijiji jinsi ulivyo "powerfull" kwenye some of your writings na nikakuambia it all works of powers to make things happen!, Hivyo naamini ukidanganywa, utajua unadanganywa, pale ulikasirika na tulijua umekasirika na kuna wakati huwa unasusa na tunajua umesusa!.

Ukienda mahali kwenye kundi la watu wanaongea ongea issues, miongoni mwao kuna watu watatu, wamenyamaza kimya kabisa bila kuchangia chochote!, mmoja amekaa kimya kwa sababu yeye ni mkimya tuu, mwingine amekaa kimya kwa sababu hana kabisa cha kuchangia, na mwingine ni mkimya kwa sababu kaamua kujikalia kimya tuu!, ukiwaangalia utawajua tuu, au kama mtu a hide someting kukuambia utamjua tuu!.

Watu wengi wanadhani wale sniff dogs wanatumia harufu kunusa ndipo kutambua!, no!, wanatumia intuition!.

Kwani kukasirika ni kosa?. kukasirika ni human, ila kutukana baada ya kukasirika ndilo kosa na uliliona na kulifuta!.
Tuendelee!.
P.
 
NIKO , wee ni king'ang'anizi mpaka basi!. Mbona MMMK kajibu kila kitu!. Yeye kajitanabaisha kwa nini anasupport CDM, mimi niko wazi mtu wangu ni EL, nyie Chadema kazi yangu ni kuwapa tuu ushauri wa bure kwa kutumia formular ya "mti wenye matunda"!.

haya mkuu,but this time mti wenye matunda ni CDM.Nimemkaribisha Ritz nikamwomba ageuze kidogo swali lake aulize wenzake wampe majibu kwani ubishi wote unamezwa na swali "why CDM, somebody`s house?"Ritz akachagua kuwakana watu kadhaa.kisha kala kona.
 
Nikisema kuwa kwa maandishi yako unaandika kwa sababu una wivu nitakuwa sahihi kwa sababu naweza kusoma kwenye maandishi yako? Au kwamba naweza kuona una chuki ya aina fulani hivi? utasema ni kweli kwa sababu mimi naamini hivyo?

Bado unakomaa ndugu yangu?Sasa kama wewe unauliza kama huna hakika, na inathibitika kabisa kuwa hujui tambua hayo ni wazi haiwezi kuwa kweli.Umejiuliza kwanini nikuonee wivu?Pasco amekupa mifano mingi tuu ambayo nadhani ni sehemu tuu ya experience yake.Nimeupenda ule wa mtu kuw akimya wakati ukiongeaktk kundi la watu.hapa ukiangalia sura zao utajua wana maanisha nini?hapa nilitoa mfano wa internet tunayotumia au hata M-pesa.naweza kutumia huko ulipo ila is hela inayokuja ndugu yangu.Yaani huko ni taarifa zinatafsiriwa na wewe unapewa hela huko ulipo.Ni protocol tuu hutumika kuwea fikisha haya maandishi ulipo.Sasa yanaweza kuja yakiwa bare kama ilivyo text msg, au multimedia km MMS au tofauti.Watu wanafanya research siku hizi ili ikewezekana siku hizi watu wakiwasiliana vitu kama harufu ,,gestures n.k navyo viwepo.najua utaruka juu ya meza..oh Yes its possible, na mojawapo ni kuwa na module pande mbili, upande wa kwanza module inaanalayse harufu yako halafu inaweka chemical combination ya material ktk hiyo harufu, inapeleka fomula upande wa pili kama electrical signal,pande wa pili kuna module inayoweza tafsiri na kuchanganya hizo chemical kuupata harufu husika ambayo itaspray kiaina.usiniulize presidaa akijamba vipi?au watu wakitoka katk uchafu harufu zao vipi?Kwani pia patakuwa na error kwamba formula haitambuliki, au hata hakuna chemical za kutengeneza harufu...ambazo nazo zitauzwa na kuwa refilled.Watu wamefanya majaribio na kukuta ulimi unaweza tumika kunusa na si kuonja tuu.

MMK naona pia inaweza kuwia ngumu kuelewa kuwa unaweza sisitiza neno kwa kurudia na si kuweka bold au color.Hii pia watu wanaweza iona unaporudiarudia maneno fulani au hata kumaanisha kilichojaza fikra zako n ahivyo kukuponyoka mara nyingi.na hivyo kufanya kazi ya ku prove tuu kuwa si fator ingine kama kigugumizi.

Mfani ni tabia yako ya kupenda kuacha viporo ukidhani utakuja vifanya vyema baadaye.Naweza kuambia nahisi hufai kupewa project ambayo time is a factor.Kwanza utachelewa pili utafanya kwa fikra zako na si kama atakavyo mhusika.Na pia ikija ukipewa ukafanya marekebisho pia utairudisha ktk queque na uwezekano wakurudia makosa ni mkubwa kwani haupo flexible kihivyo.Una viporo vingi sana huku ndani.Hata vitu vyepesi vya kujibu ktk session moja unataka uvipange ili uje andika kitabu kabisa.Sasa CDM wakifuata ushauri wake si watatumia generations kuendelea na issues za watanzania achilia mbali za chama chenyewe?Hii hujaandika directly popote ila ulichokuwa ukikiandika na timing zake hili ni wazi.

Homework ingine nakupa ni katika familia fanya mazoezi na kwa mkeo kutokana na experience yako ujue ni wapi hajaridhika,ni wapi karihdika na kwanini.majibu na maeneo utkatojifunza siyataki useme humu ila yatakusaidia sana usije ibiwa.Hata mwanao anaweza kuwa haridhiki na mambo mengi sana juu yako kama si kukuzidi ktk ufahamu wa mambo fulani bila wewe kujua.Its time ujifunze hayo maeneo ili uweze chagua maneno sahihi ya kuwaeleza na kuwafanya wakutii hata mahali usipoweza wafikia kwa ubabe,kama disco,guest house, ktk nchi nyingine etc.Wape kweli ili kweli iwaweke huru.
 
Homework ingine nakupa ni katika familia fanya mazoezi na kwa mkeo kutokana na experience yako ujue ni wapi hajaridhika,ni wapi karihdika na kwanini.majibu na maeneo utkatojifunza siyataki useme humu ila yatakusaidia sana usije ibiwa.Hata mwanao anaweza kuwa haridhiki na mambo mengi sana juu yako kama si kukuzidi ktk ufahamu wa mambo fulani bila wewe kujua.Its time ujifunze hayo maeneo ili uweze chagua maneno sahihi ya kuwaeleza na kuwafanya wakutii hata mahali usipoweza wafikia kwa ubabe,kama disco,guest house, ktk nchi nyingine etc.Wape kweli ili kweli iwaweke huru.


Asante sana kwa ushauri huu na nitaufanyia kazi. Natumaini na wewe utafanyia kazi tabia yako ya kung'ang'ania kitu ambacho unajua tayari umepoteza kwa sababu kwa kukubali kuwa kimepotea inapoteza control ambayo uliamini unayo. Mara kwa mara hii ni dalili ya unresolved fatherly issues ambazo kama hujaziangalia na kuzishughulikia utaona zinajitokeza hata katika mahusiano yako na watu mbalimbali (mwenza wako na watoto yumkini). Jaribu kuwauliza jamaa zako wa karibu kama unakuwa too controlling katika maisha yao. Kama baba yupo ni vizuri ukae nae na kujaribu kushughulikia yale ambayo yamewafanya msiwe karibu.
 
Asante sana kwa ushauri huu na nitaufanyia kazi. Natumaini na wewe utafanyia kazi tabia yako ya kung'ang'ania kitu ambacho unajua tayari umepoteza kwa sababu kwa kukubali kuwa kimepotea inapoteza control ambayo uliamini unayo. Mara kwa mara hii ni dalili ya unresolved fatherly issues ambazo kama hujaziangalia na kuzishughulikia utaona zinajitokeza hata katika mahusiano yako na watu mbalimbali (mwenza wako na watoto yumkini). Jaribu kuwauliza jamaa zako wa karibu kama unakuwa too controlling katika maisha yao. Kama baba yupo ni vizuri ukae nae na kujaribu kushughulikia yale ambayo yamewafanya msiwe karibu.

Nilishadeal nayo ndio maana nakushauri na wewe, ndio maana pia niliwahi kuuliza hayo mawazo yako kwa CDM ulishawahi yatumia wapi kwingine hadi uwe na hakika kihivyo?Wanayofanya CDM yanawork ila hatuna hakina na ya kwako.Yaani yao yapo practical ndio maana unaona potential ya kuchukua nchi,wewe yako siyo practical ndio maana hayajawavutia wala kuona kama ni potential kwao ktk kuelekea kuchukua nchi.

Sipendi endeleza ubishi kwani nikivunja ulichoandika juu na chini ni vitu tofauti sana.Ni kama mbingu na jehanum ,imani ya kuwa na control na kuwa na control ni vitu tofauti sana.Moja ni imaginary na nyingine ni real.Naweza elewa kuwa sasa hivi unafight kumaintain self esteem unayodhani umepoteza.Its too sad kitu ambacho ulipaswa kifanya kirahisi umechukuliwa kuwa ni defeat.Sasa you find it hard to swallow.Ulichofanya hapa ni kugeuza na kujieleza ulivyo ukiamini utawafanya watu waamini hivyo kwa upande wa pili.Hata Ritz kauliza swali nililokuwa nawauliza indirectly kwa kuligeuza,nilipoliweka sawa akala kona.Emotionally MMK huwezi kanyaga nilipo,nipo very stable and very much self controlling, ingawa bado nakukubali ktk juhudi zako za kiandishi.Kwa mazungumzo haya tayari umeonekana kukata tamaa,kususa, kudeka, na mengine halafu unategemea uwashauri makamanda ktk enzi ya CCM yenye ubabe na hila hizi ambzo haziishi..?.Next time usipende uliza mswali au mifano inayokuhusu mwenyewe kwa kupitia njia rahisi ya kufanya kinyume, au accuse mtu kwani ni rahisi sana watu kuliona kwako.Bora ukamuulize mtu directly ili akusaidie, au utumie akili sana kuliuliza kwani next question baada ya jibu unaweza jiweka wazi kirahisi sana.Hasa wewe ambaye hujui kuwa maandishi yanapeleka habari zaidi.kama ilivyo katka files za computer zinavyoweza peleka info kibao.wanaocopy CV na doc nyingine wanaweza edit kila kitu ndnai ila kama wamesahau edit file info msomaji wa hiyo document akiwa makini anaweza jua ilicopiwa kwa nani.

Usisahau mimi ni radical na huwa sipendi sana kuridhia vitu visivyo na usahihi.Ndivyo nilivyo na sina woga hata kama kitakuwa ni minor thing.Naweza achana nacho ila siwezi kubali upotoshaji just because unanitisha,unadeka, unalilia,au hata unasusa,tutaburuzana hivyohivyo mambo yaende.kwani unadhani Nyerere hakupata upinzani zaidi ya CDM toka kwa makundi kama ya leo?Aliyapata ila alikwenda nao hivyo hivyo na kuna kipindi alisimamia ukweli hadi wakajificha wenyewe,wengine walifikia pa kumuogopa kwa vile walimwona kama light na wao ni giza.sasa ndio wanachomoza.

Well, rudi basi katika thread.Hizi side discussion zisiwe main issue.
 
Homework ingine nakupa ni katika familia fanya mazoezi na kwa mkeo kutokana na experience yako ujue ni wapi hajaridhika,ni wapi karihdika na kwanini.majibu na maeneo utkatojifunza siyataki useme humu ila yatakusaidia sana usije ibiwa.Hata mwanao anaweza kuwa haridhiki na mambo mengi sana juu yako kama si kukuzidi ktk ufahamu wa mambo fulani bila wewe kujua.Its time ujifunze hayo maeneo ili uweze chagua maneno sahihi ya kuwaeleza na kuwafanya wakutii hata mahali usipoweza wafikia kwa ubabe,kama disco,guest house, ktk nchi nyingine etc.Wape kweli ili kweli iwaweke huru.
Asante sana kwa ushauri huu na nitaufanyia kazi. Natumaini na wewe utafanyia kazi tabia yako ya kung'ang'ania kitu ambacho unajua tayari umepoteza kwa sababu kwa kukubali kuwa kimepotea inapoteza control ambayo uliamini unayo. Mara kwa mara hii ni dalili ya unresolved fatherly issues ambazo kama hujaziangalia na kuzishughulikia utaona zinajitokeza hata katika mahusiano yako na watu mbalimbali (mwenza wako na watoto yumkini). Jaribu kuwauliza jamaa zako wa karibu kama unakuwa too controlling katika maisha yao. Kama baba yupo ni vizuri ukae nae na kujaribu kushughulikia yale ambayo yamewafanya msiwe karibu.
Mzee Mwanakijiji na Nicholas, this is too far!, please stop it!, don't go personal, don't involve family!, Please! Enough is Enough!. Next step mkikutana face to face, mnaweza kugeuzana punching bags!.
 
Well, rudi basi katika thread.Hizi side discussion zisiwe main issue.
Nadhani kwa tuylipofikia inatosha. Mzee Mwanakijiji, please usijibu post ya mwisho ya Nico, and just incase umeshajibu, Nico, please usijibu next post ya Mzee Mwanakijiji, naogopa tusiwapoteze!. Jukwaa litapooza!.
 

Mzee Mwanakijiji na Nicholas, this is too far!, please stop it!, don't go personal, don't involve family!, Please! Enough is Enough!. Next step mkikutana face to face, mnaweza kugeuzana punching bags!.

hatuendi far..sidhani kama kuna tusi au personal.Nimesuggest maeneo ya kuweza practice tulichokuwa tunabishan kwa faida sidhani kama nimetukana.Na sijatazama in any negative way alichokisema kwani najua emotionally yupo very volatile.Au pengine kusema mke ndipo kumeonekana tusi?hapana hata machinga anaweza kuuzia gauni zuri akakuambia kamjaribishie mkeo bwana.Anaweza kuuzia hata Ile nguo ya ndani akakuambia kamjaribishie mkeo kama han aneno lingine laini kwa wabongo. Ni watu wenye mitizamo negative tuu au waliowahi tukanwa kwa staili hiyo wanaoweza chukulia vibaya na personal.Hope tutafundishana humu ndani as time goes on.Na uhuminu wa kusoma tone za maandishi pia ni mkubwa .Nadhani Pasco una uelewa mkubwa kwa hilo.

Mara ya mwisho kuingia dukani kununua nguo ,niliona nguo ya ndani ya kike nilipouliza wafanyakazi wakaniambia mchukulie wife nikawaambia sijui size ingawa niliipenda.Nikawaambia nina ugonjwa wa kutojua size hata ya vile nivaavyo na mara nyingi hutegemea kujipima zaidi.Wakaniambia mpelekee mkeo akajaribu ikikataa nije chukua hela yangu.mimi sikuona kitu offensive hapo.So nafurahi kupata experience mpya hapa.
 
Nilishadeal nayo..

I wouldn't be so sure. It is screaming louder like a thunderbolt on a summer day.

Sipendi endeleza ubishi kwani nikivunja ulichoandika juu na chini ni vitu tofauti sana.Ni kama mbingu na jehanum ,imani ya kuwa na control na kuwa na control ni vitu tofauti sana.Moja ni imaginary na nyingine ni real.Naweza elewa kuwa sasa hivi unafight kumaintain self esteem unayodhani umepoteza.Its too sad kitu ambacho ulipaswa kifanya kirahisi umechukuliwa kuwa ni defeat.Sasa you find it hard to swallow.Ulichofanya hapa ni kugeuza na kujieleza ulivyo ukiamini utawafanya watu waamini hivyo kwa upande wa pili.Hata Ritz kauliza swali nililokuwa nawauliza indirectly kwa kuligeuza,nilipoliweka sawa akala kona. Emotionally MMK huwezi kanyaga nilipo,nipo very stable and very much self controlling, ingawa bado nakukubali ktk juhudi zako za kiandishi

You are losing control and it scares you. Inaonekana umezoea kupata, kukubaliwa na kutokupingwa. Bahati nzuri I'm used katika kupingwa sana. But, my friends the level of your desperation to maintain self control while recogning it is fleeing you inakutisha.

Kwa mazungumzo haya tayari umeonekana kukata tamaa,kususa, kudeka, na mengine halafu unategemea uwashauri makamanda ktk enzi ya CCM yenye ubabe na hila hizi ambzo haziishi..?.Next time usipende uliza mswali au mifano inayokuhusu mwenyewe kwa kupitia njia rahisi ya kufanya kinyume, au accuse mtu kwani ni rahisi sana watu kuliona kwako.Bora ukamuulize mtu directly ili akusaidie, au utumie akili sana kuliuliza kwani next question baada ya jibu unaweza jiweka wazi kirahisi sana.Hasa wewe ambaye hujui kuwa maandishi yanapeleka habari zaidi.kama ilivyo katka files za computer zinavyoweza peleka info kibao.wanaocopy CV na doc nyingine wanaweza edit kila kitu ndnai ila kama wamesahau edit file info msomaji wa hiyo document akiwa makini anaweza jua ilicopiwa kwa nani.

Inaonekana unapata shida kucollect mawazo yako taratibu na kuyapanga; what is this? I can easily see some other familial issues. Mtoto wa katikati possibly but may be something more profound. Nazidi kujifunza.

Usisahau mimi ni radical na huwa sipendi sana kuridhia vitu visivyo na usahihi.

A radical you are not. Kukatalia au kujaribu kucontrol watu wengine siyo radicalism kabisa. Radicalism is principle driven not loyalty driven.

Ndivyo nilivyo na sina woga hata kama kitakuwa ni minor thing.Naweza achana nacho ila siwezi kubali upotoshaji just because unanitisha,unadeka, unalilia,au hata unasusa,tutaburuzana hivyohivyo mambo yaende.

Nakutisha tena? sijatumia neno la kutisha hata moja na siwezi kukutisha kwani sina sababu. Najaribu kuelewa motivations zako na especially the underlying psychological traits ambazo zinekufanya uwe ulivyo.

][quotekwani unadhani Nyerere hakupata upinzania zaidi ya CDM toka kwa makundi kama ya leo?Aliyapata ila alikwenda nao hivyo hivyo na kuna kipindi alisimamia ukweli hadi wakajificha wenyewe,wengine walifikia pa kumuogopa kwa vile walimwona kama light na wao ni giza.sasa ndio wanachomoza.[/quote]

Irrelevant.


Well, rudi basi katika thread.Hizi side discussion zisiwe main issue.

Ni wewe unazileta; ukizeleta nitazijibu. Nilisema mwanzoni tufanye mjadala wa kistaarabu lakini mwenzangu inaonekana ustaarabu na heshima vinakukimbia. Ukitaka tuendelee na mjadalaa vizuri na kuulizana maswali tunaweza kufanya hivyo; ukileta psychoanalysis of first grade, well I do that for a living.
 
hatuendi far..sidhani kama kuna tusi au personal.Nimesuggest maeneo ya kuweza practice tulichokuwa tunabishan kwa faida sidhani kama nimetukana.Na sijatazama in any negative way alichokisema kwani najua emotionally yupo very volatile.Au pengine kusema mke ndipo kumeonekana tusi?hapana hata machinga anaweza kuuzia gauni zuri akakuambia kamjaribishie mkeo bwana.Anaweza kuuzia hata Ile nguo ya ndani akakuambia kamjaribishie mkeo kama han aneno lingine laini kwa wabongo. Ni watu wenye mitizamo negative tuu au waliowahi tukanwa kwa staili hiyo wanaoweza chukulia vibaya na personal.Hope tutafundishana humu ndani as time goes on.Na uhuminu wa kusoma tone za maandishi pia ni mkubwa .Nadhani Pasco una uelewa mkubwa kwa hilo.

Mara ya mwisho kuingia dukani kununua nguo ,niliona nguo ya ndani ya kike nilipouliza wafanyakazi wakaniambia mchukulie wife nikawaambia sijui size ingawa niliipenda.Nikawaambia nina ugonjwa wa kutojua size hata ya vile nivaavyo na mara nyingi hutegemea kujipima zaidi.Wakaniambia mpelekee mkeo akajaribu ikikataa nije chukua hela yangu.mimi sikuona kitu offensive hapo.So nafurahi kupata experience mpya hapa.
Sikupanga kucheka ila imebidi nicheke.

This is subjective with defamatory statements by innuendo!.
katika familia fanya mazoezi na kwa mkeo kutokana na experience yako ujue ni wapi hajaridhika,ni wapi karihdika na kwanini.Wape kweli ili kweli iwaweke huru.

Ila ni kweli, huku bongo, ukienda na mkeo kwa wa machinga pale Mwenge, unaweza kumpiga marufuku kununua nguo mtumbani, jeuri ya kuingia madukani hauna, na mke anataka kuonekana wa kisasa, za kushonesha kwa mangi hataki!.

Vile vile vibanda, wake zetu wanavua nguo zote humo vibandani na kubaki na chu.. tuu na kujaribu hivyo viwalo!, wanaowasaidia kuvaa ni hao vijana!. Kuna siku anakuja na several na kusema amamwachia atalipa siku yoyote!.

Kiafrika kusema lolote kuhusu mke japo sio tusi sio fair kutaja lolote la mke au familia kwa sababu sio subject matter ya mjadala!. Tushambuliane wenyewe kwa wenyewe mpaka basi, please let olone wake na familia zetu!. Yule member fulani aliposhutumiwa mambo ya kukimbia family support, alihama humu kwa visingizio kibao!.
 
Nadhani kwa tuylipofikia inatosha. Mzee Mwanakijiji, please usijibu post ya mwisho ya Nico, and just incase umeshajibu, Nico, please usijibu next post ya Mzee Mwanakijiji, naogopa tusiwapoteze!. Jukwaa litapooza!.

Oops!! ok..
 
Back
Top Bottom