Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Asante sana, ile kusikia tuu "hamjajipanga" unakaba mpaka kona!, matokeo ya 2015 yatakapotoka si utazimia kabisa?!..
Endelea kusoma na kusomaga, na kusikila na kusikilaga, lakini kumbuka "ukweli utasimama"!.

Na ukweli ni ule ule. CCM chini ya Lowassa wanashinda 2015!!
 
Asante sana, ile kusikia tuu "hamjajipanga" unakaba mpaka kona!, matokeo ya 2015 yatakapotoka si utazimia kabisa?!..
Endelea kusoma na kusomaga, na kusikila na kusikilaga, lakini kumbuka "ukweli utasimama"!.

Uzuri ni kwamba ktk dynamic world watu waliopo ndani yake huona vitu jinsi vinavyobadilika.Sasa kam CCM wataiba kura na kila mtu akawashika kama polisi na mwangosi,au wakatangaza ya Mugabe sasa nizimie ya nini sasa?Pasco upo katik level yako kimizaha.
 
Ndugu yangu ni kwamba unafanya kusudi au hujui usemacho...nimewahi soma mahali watu wa jinsi zote wanasoma maandiko na kufikia kileleni kimapenzi na katika tafiti zangu na vijana walishawahi thibitisha hili.Nilipojaribu angalia machapisho waliyoyachagua kuwa yanawaamsha hisia hayakuwa hata na picture.Hii inaonyesha power ya scripts intentionally ila kuna mengi ambayo si intentional na yanareflex tabia n ahisia za mwandishi.

Posting yako mbali na sentence inyosema hasira zako pia kuna inayoconfirm.Hembu rudia.

well, kama umejiaminisha unajua ninavyojisikia au nilivyokuwa najisikia wakati naandika basi una uwezo wa ajabu.
 
bahati mbaya sana; unazungumza kana kwamba unazijua hisia zangu. Hakuna kitu ambacho kimeweza kunifanya niwe na hasira. So usiwe na shaka ndugu yangu. Ukisoma tu ukafikiria mtu kakasirika unashindwa kuelewa dynamics za majadiliano ya kwenye mitandao. Mimi sijui unavyoandika sasa hivi kama una hasira, kinyongo, wivu, husuda n.k Nikianza kufikiria hisia zako kwa kukusoma nitakuwa sikutendei haki.
Mkuu Mzee Mwanakijiji, naomba ufike mahali ujikubali kuwa na wewe you are only human na sio super human, hivyo unaweza kufika mahali ukakasirika!. Kwenye maandishi kuna kitu kinaitwa "graphalogy" ambapo msomaji wa andiko anaweza kabisa kuona mwandishi alikuwa kwenye mood gani au state gani wakati anaandika!. Kwa vile tumekaa wote muda mrefu humu, tumefika stage baadhi yetu tunafahamiana kupitia maandishi yetu. Kiukweli pale ulipojibu na kuweka neno "upumbavu", ulijibu kwa hasira, uliporekebishwa, ukanote, ukaliondoa as if mwanzo ulikosea!. Pia unafahamika vizuri katika baadhi ya mijadala, ukizidiwa sana huwa unasusa, its all human!.

Ukiandika kitu with genuine love, kama kwenye love leters, real love inatoka moyoni mwako ina stick kwenye maandishi yako, ikimfikia mlengwa akiisoma barua yako, ile love inamwingia na ana feel good!. Ukiandika umekasirika, zile hasiri zinamfikia mlengwa, na kuna maswali ukiulizwa, megine una ignore kuyajibu just kwa kua ignore, na kuna megine huyajibu kwa kuyasusa!. Its all human!.

Miongoni mwa wafuasi wa CDM humu ndani ya jf miongoni mwao ni ma fanatics kabisa kwao wanaiabudu kama mungu fulani. Ukiendelea kubishana nao, kama sio mvumilivu na mstahimilivu mwenye endurance ya kutosha, unawea kutukana watu humu au kususa kabisa kujibishana nao na sometimes kuisusa jf!.

Uthibitisho ni huu
"mwanakijiji@jamiiforums.com
Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz"

Kama na mimi pia nimeassume ndivyo sivyo, sorry in advance, I'm only human born to make mistakes!.
P.
 
well, kama umejiaminisha unajua ninavyojisikia au nilivyokuwa najisikia wakati naandika basi una uwezo wa ajabu.

teh teh..sasa umeamua toa maamuzi yanayopitisha walichoona wenzio kwa bwerere ?Au ndio presentation nyingine ya kususa?Au ndio ugumu wa kusema ukweli moja kwa moja?
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, naomba ufike mahali ujikubali kuwa na wewe you are only human na sio super human, hivyo unaweza kufika mahali ukakasirika!. Kwenye maandishi kuna kitu kinaitwa "graphalogy" ambapo msomaji wa andiko anaweza kabisa kuona mwandishi alikuwa kwenye mood gani au state gani wakati anaandika!. Kwa vile tumekaa wote muda mrefu humu, tumefika stage baadhi yetu tunafahamiana kupitia maandishi yetu. Kiukweli pale ulipojibu na kuweka neno "upumbavu", ulijibu kwa hasira, uliporekebishwa, ukanote, ukaliondoa as if mwanzo ulikosea!. Pia unafahamika vizuri katika baadhi ya mijadala, ukizidiwa sana huwa unasusa, its all human!.

Ukiandika kitu with genuine love, kama kwenye love leters, real love inatoka moyoni mwako ina stick kwenye maandishi yako, ikimfikia mlengwa akiisoma barua yako, ile love inamwingia na ana feel good!. Ukiandika umekasirika, zile hasiri zinamfikia mlengwa, na kuna maswali ukiulizwa, megine una ignore kuyajibu just kwa kua ignore, na kuna megine huyajibu kwa kuyasusa!. Its all human!.


Miongoni mwa wafuasi wa CDM humu ndani ya jf miongoni mwao ni ma fanatics kabisa kwao wanaiabudu kama mungu fulani. Ukiendelea kubishana nao, kama sio mvumilivu na mstahimilivu mwenye endurance ya kutosha, unawea kutukana watu humu au kususa kabisa kujibishana nao na sometimes kuisusa jf!.

Kama na mimi pia nimeassume ndivyo sivyo, sorry in advance, I'm only human born to make mistakes!.
teh teh...mzee wa mizaha kaamua leta nusu mzaha na nusu serious thing.Hapo ndipo unaponifurahisha. Umamua weka fani yako vyema upande mmoja ili isijekuwa kikwazo kwako baadaye, na ukaamua bana ule upande unaopenda kufanya mizaha ili usikubane tena katk siku za usoni.Kind of genius and funny.

Tatizo lako Pasco ni kwamba unamiss san kuwa crooked.Unafahamu mengi ila ile sehmu yako ya wwekness inakuzumkuma sana upende wanasiasa wa ajabu,vyama vya ajabu, na matukio ya ajabu.Ndio maana naona unapata shida sana tetea hayo maeneo ya ajabu na watu wako wa ajabu.Inaelekea uongo umejifunza ukubwani katika uandishi wa fasta a.k.a wa kipaji kama Boban na chuji wanavyokacha mazoezi kwa vile wanaamini wana kipaji,matokeo yake ni fujo ktk soka letu,kama tunavyowaona waandishi humu ndani.
 
Atakua anamzidi marehemu Sheikh Yahaya Hussein!! JF bana!!

teh teh.huu si utabiri ni kitu asilia,unasema unachokiona ,kitu ambacho kimeshafanyika na si kitakachofanyika.Hukupitia "Map Reading za Shuleni". Hivi ndivyo vitu nivipigavyo vita humu ndani,watu wanapotoshwa sana na hawa nianobishana nao humu ndani.Sasa kama wanakosea hivi ktk majadiliono ya mojakwa moja,itakuweje akitafsiri kazi Shakespeare au za space technologies?Au hata vitabu kama vya kiislam?Na kuwakilisha kwa watu ambao hawajawahi ona hayo maandishi ni vipi hawa watu watatambua kuwa kuna maosa mengi na kuyatoa?

Hata pasco kaona alichoweza ona ingawa ana watu wake kuwa support ni mwiko.At least nampa pasco 5 kwa uaminifu uliobaki ktk nafsi yake.
 
teh teh.imebidi nikiangalia hiki kwa makini...Ndio maana mnarudiarudia sana kuhusu CDM huo ujinga wenu?

Tatizo lako unaona CDM ni kama chama kulichoshushwa kutoka kwa Mungu kimekamilika kila idara hakipaswi kukosolewa, vyama vya kukosolewa ni CCM, CUF, TLP, NCCR Mageuzi, unaona sasa unaenda mbali zaidi na kuwaita wenzako wajinga.
 
Mkuu Mzee Mwanakijiji, naomba ufike mahali ujikubali kuwa na wewe you are only human na sio super human, hivyo unaweza kufika mahali ukakasirika!. Kwenye maandishi kuna kitu kinaitwa "graphalogy" ambapo msomaji wa andiko anaweza kabisa kuona mwandishi alikuwa kwenye mood gani au state gani wakati anaandika!. Kwa vile tumekaa wote muda mrefu humu, tumefika stage baadhi yetu tunafahamiana kupitia maandishi yetu. Kiukweli pale ulipojibu na kuweka neno "upumbavu", ulijibu kwa hasira, uliporekebishwa, ukanote, ukaliondoa as if mwanzo ulikosea!. Pia unafahamika vizuri katika baadhi ya mijadala, ukizidiwa sana huwa unasusa, its all human!.

Ukiandika kitu with genuine love, kama kwenye love leters, real love inatoka moyoni mwako ina stick kwenye maandishi yako, ikimfikia mlengwa akiisoma barua yako, ile love inamwingia na ana feel good!. Ukiandika umekasirika, zile hasiri zinamfikia mlengwa, na kuna maswali ukiulizwa, megine una ignore kuyajibu just kwa kua ignore, na kuna megine huyajibu kwa kuyasusa!. Its all human!.

Miongoni mwa wafuasi wa CDM humu ndani ya jf miongoni mwao ni ma fanatics kabisa kwao wanaiabudu kama mungu fulani. Ukiendelea kubishana nao, kama sio mvumilivu na mstahimilivu mwenye endurance ya kutosha, unawea kutukana watu humu au kususa kabisa kujibishana nao na sometimes kuisusa jf!.

Kama na mimi pia nimeassume ndivyo sivyo, sorry in advance, I'm only human born to make mistakes!.


U guys are inferring on something unnecessarily. Nicholas ameandika na kuita kinachofanywa na wengine kuwa ni "ujinga". Sasa sikufikiria ameandika hivyo kwa sababu amekasirika bali aliamua kutumia neno hilo kuelezea kile anachoamini (si lazima awe amekasirika). Na mimi nikaandika hivyo hivyo kwa kutumia maneno ambayo katika mazingira ya kawaida siyatumii; ujumbe wangu ulikuwa kwamba, ukiandika kuwashusha wengine na wengine wanaweza kuandika kwa kushusha.

Na inawezekana mlikosa nilichomuandikia mwanzoni (alipoanza kutumia haya maneno dhaifu); kwamba ukiandika kistaarabu utajibiwa kistaarabu. Akaja na kuelezea kuwa aliandika kama kejeli nk Sasa kwanini mimi kuandika ifikiriwe ni kwa sababu ya hasira? wakati na miye nimeandika kwa dharau na kejeli ile ile? Point yangu ni kuwa kama tunafanya mijadala ya kistaarabu tunaweza kufanya mijadala ya kistaarabu; lakini kama ni lugha ya kukebehiana well.. sote tunaiweza na hatuhitaji kuwa na hasira au chuki kuandika hivyo. Ni lugha tu.
 
Tatizo lako unaona CDM ni kama chama kulichoshuwa kutoka kwa Mungu kimekamilika kila idara hakipaswi kukosolewa, vyama vya kukosolewa ni CCM, CUF, TLP, NCCR Mageuzi, unaona sasa unaenda mbali zaidi na kuwaita wenzako wajinga.

karibu sana.Swali zuri sana.Ni kwamba umeuliza kinyume chake tuu kwani nilishawauliza hao jamaa zako na we pia unaweza wajibia.Kwanini tuu waishauri CDM na si hao wengine ambao wapo hoi kuliko?Au pengine mtoe Mungu uweke shetani,na kushusha weka kupanda pengine utapa ladha la kujibu.

Normaly huwa tunawasaidia wasio na msaada,hatuwapi wanaosaza au walio shiba.TLP,CUF,NCCR PP-sijui maendeleo wapo hoi,CCM usfisadi na rushwa hata wenyewe wanahofia.CDM wanasaza washabiki na wafuasi watiifu,hawahitaji ruziku wala amari za mafisadi au kutumia TRA na NSSF,EPA kupata hela.

Karibu sana mkuu.Usiogope kwa kuambia badilisha Mungu na shetani huku ukiwa na avatar inayofanana na wenyeji wa jehanum.
 
karibu sana.Swali zuri sana.Ni kwamba umeuliza kinyume chake tuu kwani nilishawauliza hao jamaa zako na we pia unaweza wajibia.Kwanini tuu waishauri CDM na si hao wengine ambao wapo hoi kuliko?Au pengine mtoe Mungu uweke shetani,na kushusha weka kupanda pengine utapa ladha la kujibu.

Normaly huwa tunawasaidia wasio na msaada,hatuwapi wanaosaza au walio shiba.TLP,CUF,NCCR PP-sijui maendeleo wapo hoi,CCM usfisadi na rushwa hata wenyewe wanahofia.CDM wanasaza washabiki na wafuasi watiifu,hawahitaji ruziku wala amari za mafisadi au kutumia TRA na NSSF,EPA kupata hela.

Karibu sana mkuu.Usiogope kwa kuambia badilisha Mungu na shetani huku ukiwa na avatar inayofanana na wenyeji wa jehanum.

Mkuu jamaa zangu kina nani Pasco, na Mzee Mwanakijiji, ? ha haa haaa! Imebidi nicheke toka lini Ritz, hakawa na jamaa humu JF.
 
Last edited by a moderator:
U guys are inferring on something unnecessarily. Nicholas ameandika na kuita kinachofanywa na wengine kuwa ni "ujinga". Sasa sikufikiria ameandika hivyo kwa sababu amekasirika bali aliamua kutumia neno hilo kuelezea kile anachoamini (si lazima awe amekasirika). Na mimi nikaandika hivyo hivyo kwa kutumia maneno ambayo katika mazingira ya kawaida siyatumii; ujumbe wangu ulikuwa kwamba, ukiandika kuwashusha wengine na wengine wanaweza kuandika kwa kushusha.

Na inawezekana mlikosa nilichomuandikia mwanzoni (alipoanza kutumia haya maneno dhaifu); kwamba ukiandika kistaarabu utajibiwa kistaarabu. Akaja na kuelezea kuwa aliandika kama kejeli nk Sasa kwanini mimi kuandika ifikiriwe ni kwa sababu ya hasira? wakati na miye nimeandika kwa dharau na kejeli ile ile? Point yangu ni kuwa kama tunafanya mijadala ya kistaarabu tunaweza kufanya mijadala ya kistaarabu; lakini kama ni lugha ya kukebehiana well.. sote tunaiweza na hatuhitaji kuwa na hasira au chuki kuandika hivyo. Ni lugha tu.

Mkuu naona unaamua kuwekeza katika udhaifu kabisa.Sidhani kuita kazi ya mtu ujinga kunamdhuru mhusika ua kuvuja utu wake kwa aina yoyote.Pengine hiki huwezi ona ndio maana ulilipuka haraka.

Sijui unaamini lipi katika ya hili "the end justifies the mean au vice versa".Kuwekeza katk imani kuwa kurudia uongo kunaufanya kuwa ukweli ni kufanya kazi ambayo mwishowe huishia kuwa ujinga kwani,hakuna prove kuwa uongo unaweza kuwa ukweli.hata scenarios ambazo watu wanaita partial truth, ni kwamba ukitazama kwa vipande vipande utapata wapi ni kweli na wapi ni uongo, na hivyo kujikuta umechanga vitu vya kweli n avya uongo ila si ukweli nusunusu. Ni kwanini simwiti "Mkwawa shujaa wa waafrica achilia mbali wa wahehe"?Mkwawa hakupigana vita ya mwafrica kama mwafrica ila ya mwarabu kama kibaraka kupitia uislam.Ushujaa wake wanaweza utazama waarabu na bado universally akabaki kuwa villain kw akuangalia angle zote kupiti auniversal values
Hii ni mitazamo yangu na nitaitetea kwa hoja hadi pale nitakapopata melezo yenye ushawishi imara toka kwingine.Ni kiapo changu kuwa hii historia inahitaji rudiwa au nitairudia Mungu akipenda,kama ilivyo kwa vitu vingine ktk mitaala yetu.

MMK sijakataa kuwa kuna sehemu nimekupush, na nimeshakujibu somewhere kuwa kuna mara naweka sarcasm unapojaribu andika kitu kama mzaha halafu unakitetea sana kwa nguvu kuliko hoja,au unapokuwa distracted easily kwa vitu vidogo halafu unataka chukuli akama kisingizio ch akutojibu maswali na hoja zangu.Kwa nayefuatilia majadiliano ataona wazi jinsi ulivyoskip vitu,ulivyokuwa unadeka ,unasusa na mengine kama haya.ki ukweli hadi ukimwona pasco kakiri basi viwango vyake vya juu kwa asioafikiana nao vimerukwa sana kama si kitu cha upande wake.

.
 
Mkuu jamaa zangu kina nani Pasco, na Mzee Mwanakijiji, ? ha haa haaa! Imebidi nicheke toka lini Ritz, hakawa na jamaa humu JF.

Jibu hoja kwanza halfu ujichekeshe na kuuliza yako.Si umeingia na kukaribishwa kujichekesha kwanini tena?kwanza nani kakuambia hao ndio jamaa zako tuu?

Kinyume cha maelezo(ukiexchange hizo parameters nilizokupa) yako ndicho ninachokimbizana nacho dhidi ya hawa jamaa?
 
MMK sijakataa kuwa kuna sehemu nimekupush, na nimeshakujibu somewhere kuwa kuna mara naweka sarcasm unapojaribu andika kitu kama mzaha halafu unakitetea sana kwa nguvu kuliko hoja,au unapokuwa distracted easily kwa vitu vidogo halafu unataka chukuli akama kisingizio ch akutojibu maswali na hoja zangu.Kwa nayefuatilia majadiliano ataona wazi jinsi ulivyoskip vitu,ulivyokuwa unadeka ,unasusa na mengine kama haya.ki ukweli hadi ukimwona pasco kakiri basi viwango vyake vya juu kwa asioafikiana nao vimerukwa sana kama si kitu cha upande wake.

.

Inaonekana kua kitu hukipati kabisa. Uliposema kuwa uliandika kama kejeli sikubisha; nikakubali. Lakini nilivyokusoma mwanzoni nilisoma vile ilivyo kuwa umeamua kuita watu majina. Sikutaka kufikiria kama ulifanya kwa chuki, hasira au kitu kingine chochote kile. Kejeli hata mimi naweza na ninaelewa; na kwa vile umesema unaitumia hivyo siwezi kudhani unaandika kwa hisia nyingine. Nisichoelewa ni kwanini hukubali kuwa sijaandika kwa hasira wakati nimekuambia sijaandika kwa hasira wakati unataka nikubali hukuwa unaita watu majina bali ni matumizi tu ya lugha ya kejeli?
 
Inaonekana kua kitu hukipati kabisa. Uliposema kuwa uliandika kama kejeli sikubisha; nikakubali. Lakini nilivyokusoma mwanzoni nilisoma vile ilivyo kuwa umeamua kuita watu majina. Sikutaka kufikiria kama ulifanya kwa chuki, hasira au kitu kingine chochote kile. Kejeli hata mimi naweza na ninaelewa; na kwa vile umesema unaitumia hivyo siwezi kudhani unaandika kwa hisia nyingine. Nisichoelewa ni kwanini hukubali kuwa sijaandika kwa hasira wakati nimekuambia sijaandika kwa hasira wakati unataka nikubali hukuwa unaita watu majina bali ni matumizi tu ya lugha ya kejeli?
Ninashindwa pata picture ni kwamba mwandishi mkubwa kama wewe unapoteza muda mwingi sana kukataa kuwa maandisi hubeba ujumbe zaidi na humwelezea sana mwandishi na dunia yake katk maeneo fulani ya maisha yake.

Nilishawahi kuambia kama hujui hilo na huna nia ya kulijua hilo na ikibidi kulitumia katika maandishi yako basi sahau uandishi.Kwani hakuna utakachomwandikia mtu kikampa ujumbe uliokusudia wala hisia ulizo nazo ambazo naye anaweza kuwa nazo.wanpokuambia wenzako wanaandika with passion nadhani huwa unaona kama kwa mitizamo kama ya wale mafundi magari ambao huwa wanakata vifaa vinavyosaidia vitu vya kielectonics na wanapoona kifaa kinafanya kazi basi huishia mwambia mteja kuwa hakina kazi ni wazungu tuu hupenda kuongeza marembo ili bei ipande na kuficha utaalamu.Wanashindwa jua kukiweka kitu kwa kupendeza hakuaamnishi hakina kazi ni marembo.Unanishawishi nikufikiria hivyo katika uandishi.Pia unazidi nithibitishia hujui vitu vingi unvayojaribu tushawishi tukubali kama ushauri.
 
Mkuu MMK naona tuondoke kwenye issue ya maandishi kubeba hisia za mwandishi au kwa makusudi au kwa bahati mbaya ili tuendelee na viporo ulivyotuachia.

Haya kubeba hisia hata wale vijana wanaojua soma vizuri viashiria vya mabinti huwa wana success rate kubwa sana, kwani huwaambia maneno sahihi ambayo hufanya kazi sahihi ktk fikra na hisia za binti. Nadhani ukiwakuta mitaani watakuthibitishia. Pia waandishi wenzio nao hufikisha ujumbe sana kupitia hizi hiden signs. Na wataalamu husoma sana kazi za waandishi na kupata clue za maisha binafsi ya hao waandishi. Ni waandishi wachache sana huweza sumbua watu kwa kuandika vitu tofauti na wao makusudi ktk mazingira fulani ila kazi fulani zitabakisha traces. Sasa wewe usiye hata jua hilo ni vipi utaficha?
 
Ndugu yangu ni kwamba unafanya kusudi au hujui usemacho...nimewahi soma mahali watu wa jinsi zote wanasoma maandiko na kufikia kileleni kimapenzi na katika tafiti zangu na vijana walishawahi thibitisha hili.Nilipojaribu angalia machapisho waliyoyachagua kuwa yanawaamsha hisia hayakuwa hata na picture.Hii inaonyesha power ya scripts intentionally ila kuna mengi ambayo si intentional na yanareflex tabia n ahisia za mwandishi.

Posting yako mbali na sentence inyosema hasira zako pia kuna inayoconfirm.Hembu rudia.

MMK wana historia huwa wanaangalia viashiria kama hivi kabla y akujiuliza maswali ya msingi yatakayopelekea kufanya utafiti zaidi.Kumbuka hasira huwa inapoteza uvumilivu na subira za watu.Ndipo nilipoangalia mbali na kujiuliza kama kweli ulikuwa ukijibu kitu kinachokuhusu.Nikakuta sivyo ulikuwa ukimjibia pasco kwa papara.
Nico, MMMK naye ni binaadamu na kiukweli pale alikasirika, mwenyewe keshasema hajakasirika na akikasirika, hutaweza kusoma!. Using'ang'ane sana kupitiliza na kulazimisha kuwa alikasirika!, kama hapo hajakasirika, wewe unamuona amekasirika, jee akikasirika kweli, itakuwaje?.
 
Nico, MMMK naye ni binaadamu na kiukweli pale alikasirika, mwenyewe keshasema hajakasirika na akikasirika, hutaweza kusoma!. Using'ang'ane sana kupitiliza na kulazimisha kuwa alikasirika!, kama hapo hajakasirika, wewe unamuona amekasirika, jee akikasirika kweli, itakuwaje?.

teh teh...naona umeamua nifanya nicheke kwa kunipa hidden meaning intentionally na si bahati mbaya.nashukuru kwa somo.Nimekusomaa inabidi ni ....ha ha ha.
 
well ni wakati wa MMK kuja kuelezea vizuri kama kweli kabadilika au lah.Na kuwaamabia watu nini kimembadili au kwanini ahahisi hajabadilika kwa moyo mwema kabisa na sababu zenye uzit😵therwise kichani mwangu naanza pata hisia kabadilishwa bila jijua au pia kaanza jibihave kama mtu mwenye mchanganyiko wa fikra usioeleweka.
 
Back
Top Bottom