Proper recording: Nini kilimbadili Mzee Mwanakijiji?

Mwanakijiji ana mawazo yake mwenyewe ambayo kwa wengine 'wasio waangalifu' yana madhara makubwa. Wanaochagua kufuata fikra zake wanatakiwa kufuata kwa mbali na kwa tahadhari. Yeye anaunga mkono CCJ, anaunga mono CHADEMA na anaunga mkono na CCM. Kwake ni heri CCM iliyo kwenye mgawanyiko iendlee kushika dola kuliko jukumu hio kulipeleka kwa CHADEMA iliyogawanyika na isiyo na matarajio ya kujipanga kabla ya uchaguzi wa 2015. Nimuulize kipo chama kilichoko madarakani kinachotoa fursa kwa chama kinachotaka kuingia madarakani kufanya maandalizi yote anayopendekeza yafanywe na CHADEMA? Niliwahi kusema wakati fulani kuwa CHADEMA inao umma nyuma yake umma ambao umekerwa na yale yanayofanywa na CCM na ambayo wanaona hayawezi kubadilika. Hakuna chama (hata kiwe na mikakati mizuri kiasi gani) ambacho kitakataliwa na wananchi, kinachoweza kushinda kirahisi katika chaguzi. Kama nia yako ni kuitia shime CHADEMA isibweteke kwa mafanikio iliyoyapata njia unayoitumia inainufaisha zaidi CCM. CCM imeshindwa. Haina tena uhalali wa kuendlea kuitawala nchi hii. Itafanya hivyo kwa ujinga tu wa wananchi wake. Watu wenye nia safi ya kuleta mabadiliko wataendelea kuja CHADEMA au chama chochote chenye dhamira ya kweli ya kuleta mabadiliko. Sera bora zitaendelea kupatikana, na CCM itaondolewa madarakani. Yaliyofanywa na CCM (na yanayoendelea kufanywa yanakera kuliko upungufu wowote ulioonyeshwa na Chadema hadi sasa. Najua CCM itafanya kila lililo kwenye uwezo wake kung'ang'ania isitoke hata kama hakuna jema analowafanyia Watanzania (au niseme hata kama imeshindwa kuondoa kero zinazowaumiza watu zilizo kwenye uwezo wake) Siamini (mpaka hapo atakaponishawishi) kwamba kwa sasa Mwanakijiji anaona Tanzania isiyo na CCM ni jambo linalowezekana. Huenda angetamani kumuona Nyerere anafufuka na kuifufua CCM kuliko kumuona anafufuka na kuiimarisha chadema - maana kazi ya kuifufua CCM ni rahisi kuliko Chadema. Yeye kama mmoja wa watunga sera wa Chadema alitakiwa aje atuambie alipendekeza nini kuhusu maeneo anayoyatilia shaka kama polisi, usalama wa taifa n.k. Kama alishiriki kwa kiwango kikubwa kama hicho kuijenga Chadema anatokeaje kwa walio nje 'ya chama' na madai ya kukatisha tamaa kama haya. Niliwahi kumuuliza Zito kuwa ikiwa ndani ya Chadema kuna mambo hayaendi sawa kwa nini wasiyaseme kwa maslahi ya chama badala ya kuja na kauli zinazoashiria kuwa wameanza kumwagiana mboga na ugali. Mi naamini chadema ni ya umma uliochoka na ukandamizwaji, na ikiwa wenye matarajio hayo wamejidanganya kufikiri hivyo, watatafuta chombo kingine kitakachokidhi kiu yao, na chadema kitapoteza umaarufu wake. Maelezo yako kwa sehemu kubwa yameonyesha kukihurumia (kukibeba) CCM zaidi kuliko Chadema huku ukijua madhambi ya CCM hayawezi kabisa kulinganishwa na udhaifu wowote wa chadema. Nilishawahi kuona watu niliowaamini sana kwa kupanga hoja, nikatekwa nao na kuleweshwa nao. Lakini ulifika wakati walichukua msimamo tofauti kabisa. Nikaamini kuwa hakika hakuna asiyenunulika. Waandishi wa RAI kabla mkapa hajaingia madarakani walimpamba lakini aliposhika madaraka walimponda. Naomba usije ukawa miongoni mwa hao. Hata hivyo nitakuwa mwangalifu zaidi katika kufuatilia mawazo yako kuliko huko nyuma. Kwa mara ya kwanza hoja yako imeniacha na kiu.
 
Nicholas,nikweli mkuu cdm imepata wafuasi na wanachama wengi kwasababu kuna wanaofanya kazi ya kukijenga chama,hatahivyo,kuna wasio appreciate,wanadai eti sababu pekee ni kuwa ccm imechokwa,na ndiyo maana wanakuja na criticism zisizo na kichwa wala miguu.

Walitakiwa wakija na criticism,basi si wazidharau juhudi zao to begin with, kwa kusema eti ni mashabiki wafuata mkumbo ndo wanakipa chama hicho umaarufu,ama kwamba eti wafuata mkubo ndiyo wamekifikisha hapo kilipo,that's really dissrespectfull!

Kama wana nia njema,basi kuna namna ya kujenga juu ya msingi na si jinsi wanavyoonekana kama vile wanataka kuubomoa msingi wenyewe!Very sad!
 
Last edited by a moderator:
Nicholas,nikweli mkuu cdm imepata wafuasi na wanachama wengi kwasababu kuna wanaofanya kazi ya kukijenga chama,hatahivyo,kuna wasio appreciate,wanadai eti sababu pekee ni kuwa ccm imechokwa,na ndiyo maana wanakuja na criticism zisizo na kichwa wala miguu.

Walitakiwa wakija na criticism,basi si wazidharau juhudi zao to begin with, kwa kusema eti ni mashabiki wafuata mkumbo ndo wanakipa chama hicho umaarufu,ama kwamba eti wafuata mkubo ndiyo wamekifikisha hapo kilipo,that's really dissrespectfull!

Kama wana nia njema,basi kuna namna ya kujenga juu ya msingi na si jinsi wanavyoonekana kama vile wanataka kuubomoa msingi wenyewe!Very sad!

jmushi1. Nimeuliza mara nyingi sana. Kama issue ni CCM na ufanisi wa viongozi wa CDM na sera makini, kwa nini sasa vyama vigine visifaidike na hiyo boom ya ccm runaways?Na hata wao kuwa busy kujipa nafasi ya ushauri kwa CDM ba si vyama vingine?majibu yao ni kichekesho,wapo tayari kuleta majibu yanayopingana na waliyoyatumia previously ili tuu watete nafasi yao ya ku brain wash watu.

CCM wenyewe wanajua kuwa CDM ni superior kwao,kwani wakati wakileta kebehi kuhsu CDM soon wanajutia ingawa kila kitu kinawasaidia CCm makosa makubwa yaonekane madogo.Jk alisema vyma vya msimu muda mfupi hathubutu hata rudia huo msemo.
 
CCM wenyewe wanajua kuwa CDM ni superior kwao,kwani wakati wakileta kebehi kuhsu CDM soon wanajutia ingawa kila kitu kinawasaidia CCm makosa makubwa yaonekane madogo.Jk alisema vyma vya msimu muda mfupi hathubutu hata rudia huo msemo........[/QUOTE]

Ofcourse cdm ni superior!ndiyo maana wanadhibitiwa kwa kutumia dola!ndiyo maana vingozi wao wanauwawa!ndiyo maana hata mwandishi kama Mwanakijiji aliuwawa!all because of cdm!The party is doing fine dispite cynicism and pundicism!
 
Nicholas, jmush1, hakika kwa sasa MMK ametuweka njia panda, wengi wetu tulipenda kuyasoma mawazo yake, mara leo utamsikia akikijenga CCJ mara CCM (anaandika mambo saba ya kuifanya ccm iendelee kutawala) siku zote hauwezi kuwa popo mara hili mara lile... mwandishi yoyote ni lazima aoneshe msimamo kwa kile anachokiamini, Nicholas labda ujiulize hebu MMK kwa sasa ni muumini wa chama kipi hapa TZ?
 
Nicholas, jmush1, hakika kwa sasa MMK ametuweka njia panda, wengi wetu tulipenda kuyasoma mawazo yake, mara leo utamsikia akikijenga CCJ mara CCM (anaandika mambo saba ya kuifanya ccm iendelee kutawala) siku zote hauwezi kuwa popo mara hili mara lile... mwandishi yoyote ni lazima aoneshe msimamo kwa kile anachokiamini, Nicholas labda ujiulize hebu MMK kwa sasa ni muumini wa chama kipi hapa TZ?

Chama cha nini sasa, ukimsoma vizuri katika majibizano ni kwamba yupo kwenye mission,na hiyo mission haina maslahi na CDM wala ukombozi wa taifa.Kwishney.
 
You can say that again
kwake tatizo la Kikwete ni uislam wake tu
na Magufuli ni bora sababu ni mkatoliki mwenzie tu...

hakuna kingine...ndo maana alimpenda Dr Slaa tu ndani ya CHADEMA...
Sasa tunaweza kuanza kujenga profile ya huyu ndugu yetu.
Elimu: Huyu alisoma seminari ya Kikatoliki, pengine kiasi cha kufikia senior seminary (eg. Segerea seminary).
 
You can say that again
kwake tatizo la Kikwete ni uislam wake tu
na Magufuli ni bora sababu ni mkatoliki mwenzie tu...

hakuna kingine...ndo maana alimpenda Dr Slaa tu ndani ya CHADEMA...
Huyu Mzee ni mtu wa ajabu sana!!

UKATOLIKI ndio priority kwake!
 
Jamani fungukeni macho muone waafrika mmetawaliwa na kukandamizwa kwa miaka mingi kwa kutumia hizo dini leo mnajifanya mnazijua dini kuliko waliowaletea kufikia hatua ya kubaguana kwa kuwa huyu dini hii na yule dini nyingine huo ni upofu wa akili na kutoona mbali.
Tufungue minyororo ya fikra tufikiri nje ya box.
 
Huu nimwanzo tu tutajua mengi sana yanayohusu uchuguzi uliopita kuhusu mwanakijiji na wengine wengi amboa ni vigeugeu hasa inapotokea ishu ya fisiemu na maslai wanayoyajua wao
 
Back
Top Bottom