Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,217
Unaweza ukawa hukuwa unaitumia hivyo kwa sababu lengo halikuwa kujidhaminisha,ila baada ya kujadili unapaswa jiuliza mswali ya msingi ya ulichokuwa ukifanya na umefanya vipi.Sidhani evaluation ya ulichofanya kama ni ombi.Hilo ni jukumu kwa mtu makini.Naona bado unapambana na self esteem ndio maana hujaona km unaweza jibu kirahisi sana kwa moyo mwema tuu,na biashara ikawa imekuwisha upande huu.Sidhani kama hii session in any way, shape or form nilikuwa naitumia kujithaminisha. Ni mada kama mada nyingine tu.
Kwa sababu tukienda to the extremes hivi ni vitu tofauti visivyoweza kuwa kwa mtu mmoja kwa kazi moja.Pia majibu yako ,kauli zako nyingi hazikusupport kuwa mmojawapo wa critics wenye positive contributions kwa CDM.Somewhere nilimention Kaskazini ukang`aka sana na kwenda upande wa wanaopenda wapa CDM sifa ya ukanda.Kwa ujumla umenipa kazi kukurudisha kwenye discussion zaidi ya moja ili ujikita kwenye hoja.Sijui kwanini unashindwa jibu hayo maswali ambayo yangeturudisha katik mada haraka.Yaani yangekupambanua kuhsu msimamo wako.Why only two choices? na kwanin iwe a au b why not both? In short kutegemeana na mambo yanavyokwenda I could either of them, both or more. Kama mshauri nikiulizwa naweza kutoa ushauri, nisipoulizwa bado naweza kutoa ushauri na wakati mwingine naweza kuwa mkosoaji. Vyovyote itakavyokuwa ni makusudio yangu kuisaidia CDM kushika madaraka kwanza kabisa kwa kuhamasisha ijipange na kufanya necessary internal reforms.
Nilishapitia mengi jana ambayo watu wameuliza; mengine sijayajibu kwa sababu mbalimbali.
te teh..sababu zipi sasa ambazo hazirmridhisi muulizaji?Sasa kama CDM wangekualika katk panel wakakuuliza maswali makali na mengine ambayo unaweza dhani ni ya hovyo ila yanawapa picture halis na uelewa wa malengo yako na applicability ya unachokililia sana.Ungewajibu kwa namna hii?