Promotion za leo jeshini zimenistua

Promotion za leo jeshini zimenistua

Hapo Ni seniority imehusika

Usikute huyo major msira amemkuta mbuge kwenye u major so hata Kama Kama Wana rank sawa still atapiga salute kwa mbuge yaani Ni mkubwa wake

Ndio maana kapewa amri na doso juu .

Nilikuwa kuwa kambi fulani hivi kuna maluteni sita .

Sasa alikuja jamaa mmoja mfupi hivi nae Ni luteni halafu Ni MP

Nikashangaa jamaa wote sita wanapiga salute kwa luteni mgeni kuja kuchunguza nikabaini jamaa alitangulia kupewa nyota

Sent using Jamii Forums mobile app
Wote sita walikuwa sehemu moja? Then wote wakampigia salute huyo mmoja aliekuja? Au mmoja tu aliwatuliza wenzake na kumpigia salute huyo aliekuja?? Fafanua hapa

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Niliwahi sikia iko hivi

Baada ya kutoka monduli military academy na kuwa commissioned ya nyota moja

Luteni usu atakaa kwa muda fulani atapewa nyota ya pili Bila kozi

Then ili awe captain inabidi apigwe kozi kwanza ndio atapewa nyota ya tatu .

Then rank ya major Haina kozi hii nishawahi shuhudi kwa macho yangu captain akipewa umeja na hakuenda kozi

Ukitoka kwenye u major ili uwe luteni kanali lazima upigwe kozi t

Baadae utapewa u kanali Kama na Kuna nafasi ya vitengo vikubwa jeshi na watu wanahitajika

Then mwisho wa kozi ni hapo

So from there Ni matakwa ya Rais kwa kwa ushauri wa CDF kuwapa makanali fulani ubrigedia kwenye kuongoza brigedi na idara muhimu za Jeshi .Hadi kufika huko juu kabisa .

Jeshi si lelemama

Sent using Jamii Forums mobile app
kozi ngumu rasmi inaishia capt☆☆☆.

baada ya hapo kama ukisikia kozi basi ujue ni maswala ya darasani zaidi,na mara nyingi huwa ni nje ya nchi.




Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
hujui mamlaka ya rais mkuu,au unajisahaulisha.

kiongozi ambaye anatoa amri jeshi liingie vitani au litoke,anakosa nguvu vipi kwa manajeshi mmoja mmoja????

hauko mbali kuuliza mbuge amepigan vita gani


Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Nimeamini watu wengi wamesoma ila hadi Leo wameshindwa kuelewa:
Function of President as:-
1. Head of state
2. Head of government
3. Commander In Chief

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Nadhan kaptiwa tu jamaa kwenye kudadavua, hiyo sio goose march wote kupga salute.
Kiutaratibu kila kwenye wawili lazima mmoja awe mkubwa kwa mwenziwe, na hata kama akija mkubwa zaidi yao, yule mkubwa alikuwepo pale ndie atakaesalimia. Na hata kama kukiwa na kundi kubwa vipi lazima mmoja awe mkubwa wa wote.

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Ninavyojua wanajeshi wakishaingia shida ni kuingia kwenye top brass level i.e Brigadier General, ukifika hapo kwenda kwenye Major General sio issue sana, ni maamuzi tu ya mkuu.
 
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi

Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)

Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi

Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi

Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
Kaz yangu kusoma comment tu naomba muongeze speed ya kucoment nainjoy sana

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi

Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)

Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi

Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi

Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
Mkipatiwa vyeo mnalia mkitumbuliwa mnalia msipo pandishwa mishahara mnalia mkipandishwa midhahara mnalia sasa tukueleweni vip
 
Ninavyofahamu rank jeshini ni stahili ya mtu na sio favour

Anyway siku hizi naona hapa nchini tunaenda na mdundo tu maana chochote kitakachofanywa na jiwe watu wanasema ni sahihi
Pole kaka, hiyo ni dhana potofu kabisa. Rank za General officer siyo stahiki ya mtu husika hata siku moja bali ni utashi wa Commander in Chief. Ingekuwa ni stahiki ya askari, basi sehemu kubwa ya watu walio-graduate Cadet School na Mabeyo nao sasa hivi wangekuwa ni ama 4-star Generals au 3-star Generals. Ma-CDF na Ma-CoS wote waliopita walikuwa accelerated katika vyeo fulani ili wawekewe kwenye nafasi hizo; hata huyo unayempinga amekuwa accelerated kusudi aongoze JKT. Kwa viongozi wa sasa wa jeshi, utagundua kuwa Mabeyo alikuwa Lt Gen chini ya mwaka mmoja kabla ya kuwa Full Gen, na Mohammed alikuwa Maj General kwa mwaka mmoja tu kabla ya kuwa Lt. General, unaweza kupitia historia za Ma-CDF wote kuanzia Mboma mpaka Mabeyo hakuna CDF aliyewahi kuwa LT. Gen kwa miaka mitatu.

Halafu elewa kuwa General officers wanaheshimiana sana kuliko unavyodhania kufuatia rank zao. Lt Gen, Maj Gen na Bde Gen wanajiona wote ni wamoja tu, na utakuta wote wanaitana General tu, hawatenganishani kuwa mmoja ni junior anyanyaswe na mwingine eti ni senior atetemekewe. Zamani sana nilimtembelea Brigedia Mboma (wakati huo) angali akiwa mkuu wa jeshi la anga pale nyumbani kwake Osterbay kulikuwa na party na mimi nilikuwa mmoja wa waalikwa. Marafiki zake wa jeshini aliokuwa amealika kwenye pati ile walikuwa ni makanali, maluteni kanali, na mameja wengi kiasi. Wote walikuwa wanajichanganya kama nini bila kujua wanatofautiana vyeo mpaka alipoanza kuwatambulisha kwa vile walikuwa wamevaa kiraia. Kwa hiyo usichukulie kuwa kuna mabrigadier jenerali watachukia kwa vile kuna mmoja wao kapanda haraka kuwa meja jenerali; wao wanaijua process kikamilifu kabisa.

Kiukweli command ya JKT huwa inatoa ma-CoS wengi sana ndani ya JWTZ ikiwa ni pamoja na Mwamunyange ambaye alipanda hadi kuwa CDF, kwa hiyo siyo ajabu Mbuge akawa CoS huko mbeleni; that is the process! For some reason namwona kama ana deserve!!
 
Ivi wale maafande wanavaaga nguo zimepauka kabisa waga wana matatizo gani?
 
Nashukuru uzi huu wamejadiri watu wenye akili na sisi tusioelewa mambo haya tunasoma kwa makini.
 
Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
Tofautisha kupanda cheo kwa mujibu wa kanuni za kijeshi na kupandishwa cheo na amiri jeshi mkuu
Hao wanajeshi wamepewa kazi nje ya jeshi,huwezi kumuacha mkuu wa takukuru na cheo cha meja jenerali,ataongea vipi.na IGP au CDF kwenye mambo ya kazi?
 
Back
Top Bottom