Niliwahi sikia iko hivi
Baada ya kutoka monduli military academy na kuwa commissioned ya nyota moja
Luteni usu atakaa kwa muda fulani atapewa nyota ya pili Bila kozi
Then ili awe captain inabidi apigwe kozi kwanza ndio atapewa nyota ya tatu .
Then rank ya major Haina kozi hii nishawahi shuhudi kwa macho yangu captain akipewa umeja na hakuenda kozi
Ukitoka kwenye u major ili uwe luteni kanali lazima upigwe kozi t
Baadae utapewa u kanali Kama na Kuna nafasi ya vitengo vikubwa jeshi na watu wanahitajika
Then mwisho wa kozi ni hapo
So from there Ni matakwa ya Rais kwa kwa ushauri wa CDF kuwapa makanali fulani ubrigedia kwenye kuongoza brigedi na idara muhimu za Jeshi .Hadi kufika huko juu kabisa .
Jeshi si lelemama
Sent using
Jamii Forums mobile app