Promotion za leo jeshini zimenistua

Promotion za leo jeshini zimenistua

sasa kama cheo ni stahiki ya mtu unadhani kuna watu wangapi wana sifa ya kuwa ma lut gen???

mkuu jeshi sio taasisi za katibu mkuu hizo kwamb ni lazima upande cheo,jeshi ni nidhamu wakati wote ndipo utapanda tofuti na wengine.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Makosa yaliyofanywa na mataifa likaja kubumburuka vita ya pili ya dunia

Wafaransa,Waitaliano na Warusi walitanguliza siasa vyeo jeshini wakawa wanagawa kwa wanajeshi wanaounga mkono chama badala ya wale wanaostahili i.e experience,successes vita vikaja wakaprove incompetent wakayavaa
 
Makosa yaliyofanywa na mataifa likaja kubumburuka vita ya pili ya dunia

Wafaransa,Waitaliano na Warusi walitanguliza siasa vyeo jeshini wakawa wanagawa kwa wanajeshi wanaounga mkono chama badala ya wale wanaostahili i.e experience,successes vita vikaja wakaprove incompetent wakayavaa
mwanajeshi mzalendo anajua cheo ni zawadi,sio vinginevyo.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Mimi mlima mahindi na mpunga tu, hata mgambo akipanda na kuwa brigedia hata hainipunguzii kero za kilimo. Wajuzi wa ranks za kijeshi na promotion wakuje hapa wakusaidie.
[emoji23]

Poa poa, na jiwe anaweza kweli yule kufanya hivyo hahahaahhahah
 
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi

Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)

Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi

Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi

Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
KUNA GERAL ELECTION THIS YEAR....NAOMBA UNISOME SIFUNGUKI ZAIDI.

ILA JESHI LETU NI JESHI LA WANANCHI NDIVYO LINAVYOITWA.

ONLY OBJECTIVE INSTITUTE .

NDIO TEGEMEO MAMBO YANAPOENDA TENGE, HALINA BEI WALA .

WACHA BUNGE LIVUNJWE SIKU KADHAA ZIJAZO, TUONE RANGI HALISI.

BUNGE KIBINDONI,MAHAKAMA KIBINDONI.

JESHI LA WANAINCHI LINABAKI LA WANANCHI.

CHOMBO PEKEE CHA KUSIMAMA OBJECTIVE KWA MASLAHI YA NCHI WAKATI UKIFIKA NA INAPOBIDI.
 
Mgambo anaweza kuwa brigedia hahahah na rais akasifiwa kwa kumpandisha cheo hahahahhahahahah
Sasa unashangaa nini wakati hata Fidel Castro watu humwita Field Marshall wakati ni mwanamapinduzi na hajawahi kuwa mwanajeshi! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Mgambo anaweza kuwa brigedia hahahah na rais akasifiwa kwa kumpandisha cheo hahahahhahahahah
hujui mamlaka ya rais mkuu,au unajisahaulisha.

kiongozi ambaye anatoa amri jeshi liingie vitani au litoke,anakosa nguvu vipi kwa manajeshi mmoja mmoja????

hauko mbali kuuliza mbuge amepigan vita gani[emoji847][emoji847]


Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Sasa unashangaa nini wakati hata Fidel Castro watu humwita Field Marshall wakati ni mwanamapinduzi na hajawahi kuwa mwanajeshi! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
[emoji23]

Dola kongwe duniani kote kwa sasa na lenye utamaduni wa kidola wa kueleweka ni Uingereza ukiona taifa halifuati utamaduni wa Muingereza litoe kwenye viwango
 
KUNA GERAL ELECTION THIS YEAR....NAOMBA UNISOME SIFUNGUKI ZAIDI.

ILA JESHI LETU NI JESHI LA WANANCHI NDIVYO LINAVYOITWA.

ONLY OBJECTIVE INSTITUTE .

NDIO TEGEMEO MAMBO YANAPOENDA TENGE, HALINA BEI WALA .

WACHA BUNGE LIVUNJWE SIKU KADHAA ZIJAZO, TUONE RANGI HALISI.

BUNGE KIBINDONI,MAHAKAMA KIBINDONI.

JESHI LA WANAINCHI LINABAKI LA WANANCHI.

CHOMBO PEKEE CHA KUSIMAMA OBJECTIVE KWA MASLAHI YA NCHI WAKATI UKIFIKA NA INAPOBIDI.
na usifunguke sana maana utaharibu zaidi.

hizi ulizoandika tunaita trash.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23]

Dola kongwe duniani kote kwa sasa na lenye utamaduni wa kidola wa kueleweka ni Uingereza ukiona taifa halifuati utamaduni wa Muingereza litoe kwenye viwango
[emoji16][emoji16]mkuu kijeshi hata rais ni cheo cha kijeshi,japo anaweza asiwe anajua hata mgui sawa ni nini.usilewe tafadhali.

sasa kama mtu amefanya ambayo yamefanywa na wanajeshi nchi nyingi,unadhani ni dhambi akapewa cheo cha wenzake???au unadhani ujeshi ni mavazi!!!!

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
hujui mamlaka ya rais mkuu,au unajisahaulisha.

kiongozi ambaye anatoa amri jeshi liingie vitani au litoke,anakosa nguvu vipi kwa manajeshi mmoja mmoja????

hauko mbali kuuliza mbuge amepigan vita gani[emoji847][emoji847]


Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Sirro yuko sahihi watu kupanda vyeo kirahisi rahisi mara ya mwisho kwa Ernest Mangu

Murilo,Hamduni wanasota miaka kama sio sita hivi kwenye u'ACP'

Angebaki Mangu kungekuwa kumejaa makamishna CP kama wote pale makao makuu ya PT leo hii kina shana wangekuwa kwenye SACP kama sio DCP now
 
Sirro yuko sahihi watu kupanda vyeo kirahisi rahisi mara ya mwisho kwa Ernest Mangu

Murilo,Hamduni wanasota miaka kama sio sita hivi kwenye u'ACP'

Angebaki Mangu kungekuwa kumejaa makamishna CP kama wote pale makao makuu ya PT leo hii kina shana wangekuwa kwenye SACP kama sio DCP now
mkuu kadri unavyozidi kwenda juu ndio njia inazidi kuwa nyembamba zaidi.hata wao wanajua kabisa pale walipo wana bahati mno wala sio tatizo

tena afadhali polisi maana uwanja ni mpana kidogo ukitokea kwa IGP.ila jeshini ni tight sio mchezo.rais ataonekana mbaya tu hata angefanyaje.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Mimi naomba kujua kuhusu MASLAHI yao. Ina maana wanakula mishahara Mara mbili?? Kwa maana ya mshahara wa jeshini na wizara?? Naomba wajuvi mnijuze
Jeshi ni serikali,wizara ni serikali yani mlipajinni mmoja hazina hivyo mshahara ni mmoja tu ila marupurupu anachukua kote
 
Maoni yako hayana ukweli kabisa; Vyeo vya kijeshi kuanzaia Second Lieutenant hadi Lieutenant Colonel huenda kwa ngazi kwa vile kila cvheo kina kozi yake, lakini kuanzai Colonel na kuendelea, yaani wale wenye godgets nyekundu kwenye collar, hawana kozi ya cheo bali kisheria ni Uamuzi wa Amiri jeshi tu, ingawa kwa jumla anaweza kuwa amashauriwa na uongozi wa juu wa Jeshi. Mifano ya namna hiyo imetokea mingi sana hapa Tanzania, siyo leo mingine ni tangua uasisis wa taifa hili. Nyerere alimpandishs Sarakikya kutoka cpteni kuwa Brigedier, Nyerere alimpandisha Twalipo kutoka Luteni Kanali kuwa Luteni General, huku jeshi halina hata Major General mmoja zaidi ya Sarakikya. Marehemu Nsa kaisi alipanda cheo kutoka Cadet kuwa Kanali, Moses Nnaye alipanda Cheo kutoka cadet Kuwa Kanali
Niliwahi sikia iko hivi

Baada ya kutoka monduli military academy na kuwa commissioned ya nyota moja

Luteni usu atakaa kwa muda fulani atapewa nyota ya pili Bila kozi

Then ili awe captain inabidi apigwe kozi kwanza ndio atapewa nyota ya tatu .

Then rank ya major Haina kozi hii nishawahi shuhudi kwa macho yangu captain akipewa umeja na hakuenda kozi

Ukitoka kwenye u major ili uwe luteni kanali lazima upigwe kozi t

Baadae utapewa u kanali Kama na Kuna nafasi ya vitengo vikubwa jeshi na watu wanahitajika

Then mwisho wa kozi ni hapo

So from there Ni matakwa ya Rais kwa kwa ushauri wa CDF kuwapa makanali fulani ubrigedia kwenye kuongoza brigedi na idara muhimu za Jeshi .Hadi kufika huko juu kabisa .

Jeshi si lelemama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa anaitwa Major Msira wakat huo walikuwa rank sawa but madaraka tofaut.... huyo major bhana alipigwa KZ gurd getin ...main entrance ya kikosini two weeks, Mbuge alikuwa anamkubali RSM tu pale wengne ni mwendo wa drill dakika 45 na KZ deadly, watu walikuwa na nidhamu ya juu kupita kiasi.
Hapo Ni seniority imehusika

Usikute huyo major msira amemkuta mbuge kwenye u major so hata Kama Kama Wana rank sawa still atapiga salute kwa mbuge yaani Ni mkubwa wake

Ndio maana kapewa amri na doso juu .[emoji1787]

Nilikuwa kuwa kambi fulani hivi kuna maluteni sita .

Sasa alikuja jamaa mmoja mfupi hivi nae Ni luteni halafu Ni MP

Nikashangaa jamaa wote sita wanapiga salute kwa luteni mgeni kuja kuchunguza nikabaini jamaa alitangulia kupewa nyota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kadri unavyozidi kwenda juu ndio njia inazidi kuwa nyembamba zaidi.hata wao wanajua kabisa pale walipo wana bahati mno wala sio tatizo

tena afadhali polisi maana uwanja ni mpana kidogo ukitokea kwa IGP.ila jeshini ni tight sio mchezo.rais ataonekana mbaya tu hata angefanyaje.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Pale juu huwa tunasema ni triangle [emoji832]juu ni nyembamba chini pana [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Back
Top Bottom