Promotion za leo jeshini zimenistua

Promotion za leo jeshini zimenistua

Hii point siyo kweli sana kma unavyoamini kuwa lazima ukae na cheo fulani cha ujeneral kwa miaka mitatu ndipo upande, in fact wao mambo ni kinyume kabisa kuwa lazima upande ndani ya hiyo miaka mitatu ama sivyo utatakiwa kustaafu. Yaani iwapo utakuwa Brigedia General (1-star), ikipiata miaka mitatu kabla hujapanda tena kuwa Major General (2-star) basi unastaafu jeshi; vile vuile ukiwa Major General (2-star)ikapita miaka mitatu hujapanda kuwa Luteni General (3-star)basi na wewe unastaafu utumishi wa jeshi; ni vivyo hivyo ukiwa Luteni General (3-star) ikapipita miaka mitatu kabla hujapanda kuwa General (4-star), pia unastaafu. Utaratibu huu unatokana na kuwa kwenye kupanda kutoka 2d LT mpaka Colonel ni lazima uwe umeshatumikia jeshi kwa zaidi ya miaka 22 ikiwa ulikuwa unapata promotions za haraka haraka kila baada ya miaka mitatu au minne. Lakini kwe vile unaweza kuwaa visiki hapo jini, inawezekana kuwa utakuwa umetumikia jeshi kwa miaka 25; ambapo kwa kawaida utakuwa na umri kama miaka 47 au 48 hivi. kwa vile Umri wa kustaafu ni miaka 62; na hawataki mtu anafikia miaka hiyo 62 bado akiwa hajawa 4-star General nasi ndiyo maana wana utaratibu huo. In fact limit ya kukaa cheo kimoja ni mpaka miaka mitano, ila ukishapitisha miaka mitatu bila kupanda, basi unaaza kujiandaa kustaafu.

Mifano yake ipo mingi sana kwenye jeshi la marekani: Lt Gen Ricardo Sanchez aliyekuwa anaongoza vita Iraq, baada ya skendo ya Abu Ghraib alishindwa kupanda kuwa 4-star General na hivyo kustaafu baada ya miaka mitatu tangu awe Lt. Gen. Halafu Maj. Gen Antonio Taguba aliyetoa taarifa ya jeshi kutesa wafungwa huko Abu Ghraib na Guantanamo, hakupandisha cheo kuwa Lt Gen na baada ya miaka mitatu naye aalistaafu. Vile vile General Michael Flyinn, alikuwa Lt General, lakini alipovurga kwenye handling ya Classified information hakupandishwa kuwa 4-start General na baada ya miaka mitatu naye akastaafu. List ipo ndefu sana ila hao ni wale maarufu wanaojulikana.
Mnaongelea mifumo tofauti hapo, tanzania ipo wazi katika miaka ya kustaafu na ndio maana hata mtu akipanda cheo mapema sawa ila inapokuja umri wa kustaafu anaondoka. Sasa sijui nyie mnaongelea kupanda cheo badala ya miaka ya kustaafu?!
MASAMILA

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi

Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)

Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi

Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi

Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
Uko sahihi mkuu ,lakini ukilitazama hili Jambo lazima utajiuliza maswali ila inavyoonekans mkuu was Kara ga karanga wanaandaliea kuja kuwa wakuu was hivi vyombo mark my words mkuu
 

Nakwrnda kwenye quote ya kuwa zodoa Yanga.Kusafiri kea sasa kunataka mzunguko mkali sana na kama myu anakataa options zilizopo anataka direct flights.zipo ? Makocha wamepanda maroli toka Tomania mpaka wapi sijui ndo wakaokoteza ndege.Kijogoo wa simba naye hivyo hivyo kaja na mashua na vitu gani sijui.wetu analeta ubishoo hivyo asubiri tu kwani msaidizi yuko vizuri anaweza endelea kwa sasa
 
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi

Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)

Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi

Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi

Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
wewe mbuge ndio cdf wa mwakan hapo.
 
Kuna jamaa anaitwa Major Msira wakat huo walikuwa rank sawa but madaraka tofaut.... huyo major bhana alipigwa KZ gurd getin ...main entrance ya kikosini two weeks, Mbuge alikuwa anamkubali RSM tu pale wengne ni mwendo wa drill dakika 45 na KZ deadly, watu walikuwa na nidhamu ya juu kupita kiasi.
IDD MSIRA alikuwa bulombola sio huyo mkuu?bado ni major tu mpaka Leo?
 
Hii point siyo kweli sana kma unavyoamini kuwa lazima ukae na cheo fulani cha ujeneral kwa miaka mitatu ndipo upande, in fact wao mambo ni kinyume kabisa kuwa lazima upande ndani ya hiyo miaka mitatu ama sivyo utatakiwa kustaafu. Yaani iwapo utakuwa Brigedia General (1-star), ikipiata miaka mitatu kabla hujapanda tena kuwa Major General (2-star) basi unastaafu jeshi; vile vuile ukiwa Major General (2-star)ikapita miaka mitatu hujapanda kuwa Luteni General (3-star)basi na wewe unastaafu utumishi wa jeshi; ni vivyo hivyo ukiwa Luteni General (3-star) ikapipita miaka mitatu kabla hujapanda kuwa General (4-star), pia unastaafu. Utaratibu huu unatokana na kuwa kwenye kupanda kutoka 2d LT mpaka Colonel ni lazima uwe umeshatumikia jeshi kwa zaidi ya miaka 22 ikiwa ulikuwa unapata promotions za haraka haraka kila baada ya miaka mitatu au minne. Lakini kwe vile unaweza kuwaa visiki hapo jini, inawezekana kuwa utakuwa umetumikia jeshi kwa miaka 25; ambapo kwa kawaida utakuwa na umri kama miaka 47 au 48 hivi. kwa vile Umri wa kustaafu ni miaka 62; na hawataki mtu anafikia miaka hiyo 62 bado akiwa hajawa 4-star General nasi ndiyo maana wana utaratibu huo. In fact limit ya kukaa cheo kimoja ni mpaka miaka mitano, ila ukishapitisha miaka mitatu bila kupanda, basi unaaza kujiandaa kustaafu.

Mifano yake ipo mingi sana kwenye jeshi la marekani: Lt Gen Ricardo Sanchez aliyekuwa anaongoza vita Iraq, baada ya skendo ya Abu Ghraib alishindwa kupanda kuwa 4-star General na hivyo kustaafu baada ya miaka mitatu tangu awe Lt. Gen. Halafu Maj. Gen Antonio Taguba aliyetoa taarifa ya jeshi kutesa wafungwa huko Abu Ghraib na Guantanamo, hakupandisha cheo kuwa Lt Gen na baada ya miaka mitatu naye aalistaafu. Vile vile General Michael Flyinn, alikuwa Lt General, lakini alipovurga kwenye handling ya Classified information hakupandishwa kuwa 4-start General na baada ya miaka mitatu naye akastaafu. List ipo ndefu sana ila hao ni wale maarufu wanaojulikana.
Nimecheki sana CV za majenerali wa UK wa zama hizi yaani wao licha ya kuwa na experience ya kufanya operesheni na formations kubwa kubwa kama Brigades, Divisions hawajaruka ranks kwa miezi aisee

Hapa nchini kituko huyo alietumia miezi kupanda hadi u'meja jenerali' hajawahi kuwa kamanda brigedi
 
Kuna jamaa anaitwa Major Msira wakat huo walikuwa rank sawa but madaraka tofaut.... huyo major bhana alipigwa KZ gurd getin ...main entrance ya kikosini two weeks, Mbuge alikuwa anamkubali RSM tu pale wengne ni mwendo wa drill dakika 45 na KZ deadly, watu walikuwa na nidhamu ya juu kupita kiasi.
Sio mchezo

JKT watamkumbuka sana Busungu maana alikuwa mpole, mcheshi na mkarimu kama kawaida ya wasukuma walivyo

Sasa wamepewa kamanda ambae anawaburuza mpaka ambao wako rank moja, wale ma kanali ma luteni kanali waliojaa pale Makao makuu ya JKT watakiona
 
Genaral huanzia hata kwenye u brigedia mzee,mana hata brigedia nae ni general na gari yake ina nyota 2 ,meja genaral ni general nae pia
Mnakosea sana mnaposema jenerali tu. Sikatai ni jenerali lakini ni wa ngazi ipi? Semeni Meja jenerali. Ukisema jenerali tupu unamaanisha ni 4star general.

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Genaral huanzia hata kwenye u brigedia mzee,mana hata brigedia nae ni general na gari yake ina nyota 2 ,meja genaral ni general nae pia
Narudia tena kwako na wewe hata kama unaanzia kwa brigedia. Inachotakiwa useme brigedia jenerali na sio je jenerali tu, kwa maana hata kama unaanzia kwa brigedia ila upo kwa ngazi mbali mbali
Brigedia hadhi yake ni nyota 1 na ndio maana anaitwa (single star jeneral), meja generali hadhi yake ni nyota 2 (2star jeneral), luteni jenerali hadhi yake ni nyota 3 (3star general). Ukisema neno general peke yake basi ujue unamaanisha mwenye hadhi ya nyota 4 (4star general).

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Sawa mkuu wa komandi
Narudia tena kwako na wewe hata kama unaanzia kwa brigedia. Inachotakiwa useme brigedia jenerali na sio je jenerali tu, kwa maana hata kama unaanzia kwa brigedia ila upo kwa ngazi mbali mbali
Brigedia hadhi yake ni nyota 1 na ndio maana anaitwa (single star jeneral), meja generali hadhi yake ni nyota 2 (2star jeneral), luteni jenerali hadhi yake ni nyota 3 (3star general). Ukisema neno general peke yake basi ujue unamaanisha mwenye hadhi ya nyota 4 (4star general).

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Sawa mkuu wa komandi
Unachotakiwa kujua ni kwamba neno jeneral linasimama pekee kwa CDF (4star) only. Kwani hicho ndicho cheo chake hawa wengine wote kushuka chini ni lazima utaje vyeo vyao kwa ukamilifu kama huamini waite hawa hapa chini.
Mabeyo
Mbuge, waite jeneral uone jinsi ambavyo haiko sawa.

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Unachotakiwa kujua ni kwamba neno jeneral linasimama pekee kwa CDF (4star) only. Kwani hicho ndicho cheo chake hawa wengine wote kushuka chini ni lazima utaje vyeo vyao kwa ukamilifu kama huamini waite hawa hapa chini.
Mabeyo
Mbuge, waite jeneral uone jinsi ambavyo haiko sawa.

ᵃʳᵉᵉᵐ
Kichuguu anadai ni sahihi kutumia miezi kufika meja jenerali
 
Kichuguu anadai ni sahihi kutumia miezi kufika meja jenerali
Kuna vyeo vina ukomo wa muda wa kukaa navyo kabla ya kuvaa vingine na kuna vyeo havina muda maalum wa kukaa navyo. Hivyo kutumia muda wa miezi kuwa meja jenerali ni sawa tu. Kwa vile vyeo hivyo hutolewa na Amirijeshi mkuu.

ᵃʳᵉᵉᵐ
 
Kuna vyeo vina ukomo wa muda wa kukaa navyo kabla ya kuvaa vingine na kuna vyeo havina muda maalum wa kukaa navyo. Hivyo kutumia muda wa miezi kuwa meja jenerali ni sawa tu. Kwa vile vyeo hivyo hutolewa na Amirijeshi mkuu.

ᵃʳᵉᵉᵐ
Ninavyofahamu rank jeshini ni stahili ya mtu na sio favour

Anyway siku hizi naona hapa nchini tunaenda na mdundo tu maana chochote kitakachofanywa na jiwe watu wanasema ni sahihi
 
M
Kupanda kwa mkubwa wa karanga karanga leo kutoka ubrigedia hadi meja jenerali ndani ya miezi aisee nimepigwa na bumbuazi

Anyway katika taaluma ya kijeshi cheo mtu hapandi haraka haraka au kurushwa kwa kigezo cha uwezo au umahiri peke yake bali kuna kitu experience (service)

Wanaohusika kushauri hilo sidhani kama wameshauri (CDF nadhani), ngazi za kijeshi (ranks) zina heshima na mantiki yake kwa kila ngazi

Makakala pamoja na umahiri wake na kipaji mpaka anastaafu hakurushwa rushwa kutoka rank moja kwenda nyingine kwa miezi

Kama mtu analijua jeshi basi atakubaliana nami kuwa katika Merit jeshini maafisa wanafanana tu hawajapigana gap na ndio maana promotion mpaka wakati wa JK zilikuwa zimebase kwenye seniority sababu kwenye merit maafisa hawajapigana gap bali wako wote sawa tu by majority
Makakala yule RC wa kigoma? Ana umahiri wa kitu gani jeshini?
 
Mimi naomba kujua kuhusu MASLAHI yao. Ina maana wanakula mishahara Mara mbili?? Kwa maana ya mshahara wa jeshini na wizara?? Naomba wajuvi mnijuze
Hakuna anayelipwa mishahara miwili bali hulipwa mshahara uliomkubwa kati ya hiyo miwili
 
Ungeambatanisha vifungu vya sheria vinavyozuia au kuruhusu uliyoyaandika
 
Back
Top Bottom