Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

Professor Shivji avunja Ukimya juu ya Maxence Melo

watanzania bwana yani sasa shivji ni mtu safi,Alivyo tugeuka kwenye katiba yetu
Hapa tunajadili alicho kisema Shivji hatujadili personality ya mtu hapa.

Pia nilivyomjibu huyo ndugu nililenga kuonyesha mtandao wa twitter unaweza kutumika tu kufika ujumbe. Hii haijalishi anayetoa ujumbe ni nani sawa wewe ndugu.

Usisome kwa mihemuko
 
Shivji kaandika kitu cha maana sana! Ila kingeandikwa na mtu mwingine kama Mzee Butiku au Jenerali ulimwengu kingekuwa na maana zaidi! Kwangu mimi mtu ambaye HANA msimamo huwa hana nafasi kabisa na wala huwa simuamini hata kidogo!!! Nikikumbuka wakati wa bunge la Katiba ya wananchi alichosema Prof huyu naona aibu hata kusema bandiko lake la leo lina maana yoyote! Kiongozi au mwanafalsafa asieamini hata aliyoandika mwenyewe ni hatari kuliko hata gaidi!
Shida yenu vijana wa chadema mnataka kusikia Yale yanayowafurahisha tu,hamtaki kuona upande mwingine wa shilingi,,laiti mkijifunza hapo mtakuwa mmepiga hatua moja kuelekea kujitambua,prof hajawahi kuwa mnafiki tangu enzi ya nyerere,hajawahi kufanya vitu kwa kuwafurahusha watu,Bali kulingana na ukweli na uhalisia uliopo, [HASHTAG]#freemaxmello[/HASHTAG]
 
Katika judiciary hii tunahitaji majaji kama waenzi hizo; wakina MWALUSANYA, LUGAKINGIRA wakiongozwa na CJ SAMATTA!! The bench had INDEPENDENCE and INTERGRITY and was not receiving directives from the executive!!
Hawa wa sasa ni waoga tu , hawakustahili kuburuzwa na mtu wa kiwango cha huyu jamaa , mtu asiyejua hata ukurasa mmoja wa katiba anawaburuzaje ?

Ukiacha vifungu vya kuapa hajui lingine lolote .
 
Katika judiciary hii tunahitaji majaji kama waenzi hizo; wakina MWALUSANYA, LUGAKINGIRA wakiongozwa na CJ SAMATTA!! The bench had INDEPENDENCE and INTERGRITY and was not receiving directives from the executive!!

Indeed
 
Laana za mababu ni nini? Mababu ni wakina nani? Laana zitashukaje sambamba na Malaika waliotumwa kufungia Mitandao ya kijamii? Wakianza kupaza sauti watu aina ya Prof Shivji ba

si ...

Every human being is mad and that the degree of madness is measured when some one is angry,our Leaders do not let us reach that state it will not be healthy for the country
 
UNAJUA TUNAWEZA KUWA TUNAMNYOOSHEA KIDOLE BWANA MKUBWA KULE JUU LAKINI INAWEZA KUWA HAWA MAPIMBI HAPA CHINI NDIYO CHANZO CHA YOTE HAYA.

TIZAMA TU BACKGROUND YAO HAWANA EXPOSURE KABISA WENGI WAO WAMETOKA KULIMA MAHINDI HUKO VIJIJINI NA KUCHUNGA NG'OMBE NA MARA YA KWANZA KUJA DAR ES SALAAM ILIKUWA WAKATI WANAKUJA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU.

MPAKA LEO HII VICHWANI BADO KUNA HARUFU ZA MAVI YA KUKU, NG'OMBE NA MBUZI SASA UNATEGEMEA NINI WAKIINGIA KWENYE OFISI ZENYE VIYOYOZI ACHILIA MBALI HAYO MAGARI MAKUBWA.

LAZIMA WAJIONE MUNGU WATU SABABU HAWAJUI DUNIA YA SASA INAENDAJE?
tatizo ni la huyu mkuu wetu, hajiamini kabisa
 
Taratiiibuu akili zinaanza kuwarejea baadhi ya watu.

"Sio kila mwenye akili ni timamu" MMM
 
Najaribu kuchanganya kwa pamoja ujumbe wa muota ndoto wa kisongo, Mtoto Mtukutu wa Mwanakijiji na Mavuno yanenwayo ya Prof. Shivji NADHANI tujitathmini.
 
Shida yenu vijana wa chadema mnataka kusikia Yale yanayowafurahisha tu,hamtaki kuona upande mwingine wa shilingi,,laiti mkijifunza hapo mtakuwa mmepiga hatua moja kuelekea kujitambua,prof hajawahi kuwa mnafiki tangu enzi ya nyerere,hajawahi kufanya vitu kwa kuwafurahusha watu,Bali kulingana na ukweli na uhalisia uliopo, [HASHTAG]#freemaxmello[/HASHTAG]
Acha kuongea ujinga! Machapisho yake umeyasoma au unakariri kama kasuku!! Unawezaje kuandika kitu then uje kujikana? Hivi wewe unajitambua? Then nani kakwambia mimi ni chadema? Unajua akili yako ni kama ya funza?
 
One after another failure is becoming eminent of the dear leader kim jp un
 
Pasko alileta uzi kua alimhoji Shivji juu ya mwenendo wa nchi hii katika mlengo wa sheria (nadhani walikua kwenye kongamano).

Shivji hakujibu, alikaa kimya na kuonesha kua hataki kujibu.

Eti leo nimuamini? Hapana aisee.
Ahsante sana
Toka ageuke msimamo wake juu ya katiba mpya nilimtoa kwenye watu wa maana. Na alikuwa mpiga debe wa Huyu Bwana sana tu! Leo anaona ananyemelewa anaanza kujihami. Akae kimya!
 
Back
Top Bottom