Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,759
Ok,basi sawa![emoji30]Vunja Ukimya kwa kutumia jina lako halisi Mkuu. Watakuandika tu.
Ok,basi sawa![emoji30]Vunja Ukimya kwa kutumia jina lako halisi Mkuu. Watakuandika tu.
ukitoa maoni mazuri watu watakupongeza na kukushangilia na ukitoa maoni mabovu watu watakudharau na kukuzomea bila kujali kwamba,kuna siku ulitoa maoni mazuri, lazima uelewe hivyo,asielewe hivyo anajilazimisha upumbavuAlipotoa Maoni yake kuwa bora zibaki Serikal Mbili aliitwa Mnafiki akatukanwa sana humu Kama vile Yeye haruhusiwi kuwa na Mawazo binafsi!
Hiki Kizazi cha Zika kimeshaalaaniwa!
ukitoa maoni mazuri watu watakupongeza na kukushangilia na ukitoa maoni mabovu watu watakudharau na kukuzomea bila kujali kwamba,kuna siku ulitoa maoni mazuri, lazima uelewe hivyo,asielewe hivyo anajilazimisha upumbavu
Angalau wale tuliokuwa tumekata tamaa ya kutokuwepo maprofesa Tanzania imani imerejea sasa![/hata mimi Imani imerejea kidogo kwa hawa viumbe wanaoitwa maprofessa
Angeyasema haya live kwenye makongamano ningemuona muungwana kwelikweli lakini kuandika kwenye mitandao tena ambao wananchi wengi hawawezi pata ujumbe bado namuona walewale tu, [HASHTAG]#POPO[/HASHTAG].
sio kila media ina nguvu ya kupenyeza hayo maneno ni watanzania wangapi wenye account twitter?! Angeyasema kwenye kongamano live au hata mikutanono media nyingine zingeweza kuandika na kutangaza kuwa profesa kasema hivi, uliza mtaani kwako kama kuna mtu amepata huu ujumbe wa profesa.Nashindwa kukuelewa mtu kama wewe usiyejua nguvu ya media. haya maneno yanapenya haraka sana kuliko unavyoweza kuamini.