Profesa Kitila Mkumbo: Wapinzani wanarukia hatua juu ya suala la mkataba wa Bandari

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,564
3,472
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Ila bongo 🤣🤣🤣🤣
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
huyo ni mpumbavu aliyehongwa na warabu ili kutetea upumbavu wa ccm hata mwanzo alikuwa anapiga porojo ili apate uteuz.
 
Hapa ndiyo ninapowashangaa wengi!..
Hoja hujibiwa kwa hoja tusichangie kwa jazba sana na tusitumie lugha Kali kama nguvu ya hoja zetu.

Tusiubeze usomi wa mtu yoyote ila turuhusu akili zetu kuwa wazi kujifunza au kukataa kwa hoja. Tukiweza kufanya mijadala inayoruhusu kufanya uchambuzi yakinifu "critical analysis" tutakuwa katika nafasi nzuri sana ya ujenzi wa hoja.

Hoja yoyote ile inaweza kuwa na udhaifu na uimara lakini udhaifu na uimara huo hubainishwa Kwa nguvu ya hoja nyingine na siyo vinginevyo. Uwezo wa kutawala hisia katika kupokea na kutoa hoja ni jambo muhimu sana ingawa wengi wetu (sijitoi) tuna udhaifu mkubwa eneo hilo
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Mmoja wa maprofesa vilaza kuwahi kutokea
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Nia ovu na kosa kubwa ktk makubaliano ya mkataba huu, ni kuwapa waarabu wa DP World bandari zote za Tanganyika (za bahari kuu na maziwa makuu) huku za Zanzibar zikiachwa..

Kwa sababu hii, mkataba wa makubaliano huu wote unakosa sifa ya uzuri wowote..

Na sijui kati ya TLS na ISSA SHIVJI na Kitila Mkumbo ni nani anaweza kuaminika ktk kutafsiri lugha ya kisheria na watu wakamwelewa..?

Bila shaka ni hawa wabobezi wa sheria. Sasa Mkumbo ni nani hasa? Si huyu ni miongoni mwa waliohongwa?
 
Ni kawaida ya wapinzani huwa hawana hoja za msingi.

Ila bora ya wapinzani kuliko CCM
 
Nia ovu na kosa kubwa ktk makubaliano ya mkataba huu, ni kuwapa waarabu wa DP World bandari zote za Tanganyika (za bahari kuu na maziwa makuu) huku za Zanzibar zikiachwa..

Kwa sababu hii, mkataba wa makubaliano huu wote unakosa sifa ya uzuri wowote..

Na sijui kati ya TLS na ISSA SHIVJI na Kitila Mkumbo ni nani anaweza kuaminika ktk kutafsiri lugha ya kisheria na watu wakamwelewa..?

Bila shaka ni hawa wabobezi wa sheria. Sasa Mkumbo ni nani hasa? Si huyu ni miongoni mwa waliohongwa?
Hizo Bandari za zanzibar zikiachwa wapi? Wakati Bandari sio suala la muungano
 
Hapa ndiyo ninapowashangaa wengi!..
Hoja hujibiwa kwa hoja tusichangie kwa jazba sana na tusitumie lugha Kali kama nguvu ya hoja zetu.

Tusiubeze usomi wa mtu yoyote ila turuhusu akili zetu kuwa wazi kujifunza au kukataa kwa hoja. Tukiweza kufanya mijadala inayoruhusu kufanya uchambuzi yakinifu "critical analysis" tutakuwa katika nafasi nzuri sana ya ujenzi wa hoja.

Hoja yoyote ile inaweza kuwa na udhaifu na uimara lakini udhaifu na uimara huo hubainishwa Kwa nguvu ya hoja nyingine na siyo vinginevyo. Uwezo wa kutawala hisia katika kupokea na kutoa hoja ni jambo muhimu sana ingawa wengi wetu (sijitoi) tuna udhaifu mkubwa eneo hilo
Angekuwa prof shivji tungemwelewa vizuri sio huyo
 
Katika mahojiano kati ya Profesa Kitila Mkumbo na Mwandishi wa habari nimeweza kuelewa mambo yafuatayo:

Mosi, suala hili la mkataba wa Bandari kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai linapitia katika hatua kadhaa na hatua iliyopo ni hatua ya makubaliano kati ya Serikali na Serikali "Intergovernmental agreement" hatua hii haijaonesha makubaliano mahususi juu ya maeneo mahususi.

Pili, Ipo hatua fuatizi ambayo ni makubaliano mahususi "consessional agreement" hatua hii ndiyo itakayobainisha makubaliano juu ya maeneo mahususi na ndiyo itakayoonesha kwa mawanda Serikali ya Tanzania itapata nini na Kampuni husika itapata nini.

Juu ya nukta hizo mbili kulingana na majibu ya Profesa alipokuwa akihojiwa ni kama upande wa upinzani unakimbilia kupinga kabla ya kukamilika kwa hatua zote muhimu za makubaliano.
Huyu ni Profesa wa nini kila siku anabadili santuli?
 
Ujinga utakuwa umezaliwa nao wewe mwenyewe au upo kwenye DNA ya familia ya wazazi wako yaani umeurithi huo ujinga.

Maelezo yake yanaeleweka vyema kabisa.
Maelezo yake yanaeleweka vizuri kwa watu punguani.

Ni sawa na mtu anayekuambia kuwa hata kama katiba ni mbaya, subiria sheria zitakazotungwa ndio uone kama katiba ni mbaya au nzuri.

Ni ujinga wa hali ya juu kufikiria kuwa mikataba midogo itakuwa mizuri wakati mkataba mkuu ni wa hovyo. Mkataba mdogo ni lazima utii masharti ya jumla ya mkataba mkuu.
 
Hizo Bandari za zanzibar zikiachwa wapi? Wakati Bandari sio suala la muungano
Kama siyo suala la Muungano, Mbarawa na Aisha wanafanya nini pale wizarani, kwenye Wizara isiyo ya Muungano?

Ebu orodhesha hapa mambo 22 ya Muungano.
 
Back
Top Bottom