Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Upendeleo nao ni sehemu ya rushwa maana umemfunga mdomo asitetee maslahi ya wengi hasa ukizingatia na yeye ni kiongozi
Zomba,'Magwanda mnajulikana kwa uzushi na uongo na kugeuza maneno, hivi watu kama nyinyi mnategemea haswa tuwape hii nchi muongoze? mtateseka sana. Watanzania wameshawashtukia.
Waswahili hunena "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka". Magwanda kwisha, hamna hoja wala sera kazi kudanganya tu.
Then wote
Tibaijuka na Ndugulile hawatufai tanzania.
Kama tungekuwa na chombo cha kudhibiti RUSHWA Tanzania kingewahenyesha hawa.
prof,tibaijuka akiri asema hakuwai kumpa mtu yeyote pesa tofauti na Dr faustine Ndugulile.
Magwanda mnajulikana kwa uzushi na uongo na kugeuza maneno, hivi watu kama nyinyi mnategemea haswa tuwape hii nchi muongoze? mtateseka sana. Watanzania wameshawashtukia.
Waswahili hunena "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka". Magwanda kwisha, hamna hoja wala sera kazi kudanganya tu.
Husomeki ndg.yangu!funguka watu tukuelewe!Ndugulile ndio nani,na ilikua issue gani ndio akayasema hayo?funguka mukubwa!
Imagine, holy **** tena... false 101% u post this lies
shame on u....!!! I listened the full speech ya Prof. Tibaijuka.... She is really THE BEST MINISTER the country
is proud of.... kajipanga... tuache kuongea hovyo hovyo...
concerning Ndungulile alisema hivi; Ndungulile alikuwa anadai fedha kwa ajili ya plot yake Kigamboni...na akakiri alilipwa na yeye ili hali wananchi wengi bado hawajalipwa ila wako ktk process ya kulipwa eneo la mji mpya wa Kigamboni......
So corruption inatoka wapi..!!?? Nosense to u poorone not richone
Source pls!
Imagine, holy **** tena... false 101% u post this lies
shame on u....!!! I listened the full speech ya Prof. Tibaijuka.... She is really THE BEST MINISTER the country
is proud of.... kajipanga... tuache kuongea hovyo hovyo...
concerning Ndungulile alisema hivi; Ndungulile alikuwa anadai fedha kwa ajili ya plot yake Kigamboni...na akakiri alilipwa na yeye ili hali wananchi wengi bado hawajalipwa ila wako ktk process ya kulipwa eneo la mji mpya wa Kigamboni......
So corruption inatoka wapi..!!?? Nosense to u poorone not richone
Inaonekana swala la CHADEMA kuitawala Tanzania linakutesa saana tena hulali maana naona kila post yako unaligusa hilo, basi pole saana maana usemalo laja tena kwa kasi ya ajabu!!!!Magwanda mnajulikana kwa uzushi na uongo na kugeuza maneno, hivi watu kama nyinyi mnategemea haswa tuwape hii nchi muongoze? mtateseka sana. Watanzania wameshawashtukia.
Waswahili hunena "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka". Magwanda kwisha, hamna hoja wala sera kazi kudanganya tu.
Kwa hapo unaunganisha dots, kuna nini alipwe huyu Daktari basi???? Maghamba system kimyaaaa kimyaaa!!!prof,tibaijuka akiri asema hakuwai kumpa mtu yeyote pesa tofauti na Dr faustine Ndugulile.
Inaonekana swala la CHADEMA kuitawala Tanzania linakutesa saana tena hulali maana naona kila post yako unaligusa hilo, basi pole saana maana usemalo laja tena kwa kasi ya ajabu!!!!