- Thread starter
- #41
Imagine, holy **** tena... false 101% u post this lies
shame on u....!!! I listened the full speech ya Prof. Tibaijuka.... She is really THE BEST MINISTER the country
is proud of.... kajipanga... tuache kuongea hovyo hovyo...
concerning Ndungulile alisema hivi; Ndungulile alikuwa anadai fedha kwa ajili ya plot yake Kigamboni...na akakiri alilipwa na yeye ili hali wananchi wengi bado hawajalipwa ila wako ktk process ya kulipwa eneo la mji mpya wa Kigamboni......
So corruption inatoka wapi..!!?? Nosense to u poorone not richone
mr president umenitukana nakubali ulivyonitukana ila naomba uniambie nini maana ya kumlipa mtu mmoja fedha ambaye ndiye sauti ya watu huku akiwaacha wengine wakikaa bila kulipwa hii siyo rushwa akiwa nalengo la kumfunga mdomo? hebu tafakari na ujipime kwa hilo tusi ulilonipa ni kwanini wewe usijiite hivyo. nakwambia hivyo kwasababu Prof tibaijuka alisema amamlipa Mh. ndugulile na hajasema hiyo pesa ya kumlipa ameitoa wapi.kwa maana hiyo wewe Mr presdent kwanini nisikuambia wewe unatiwa?tana na hao unao watetea!