johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Waziri na Mbunge mstaafu mh Anna Tibaijuka amewashukuru Maaskofu wa Kanisa Katoliki kwa kusimama Imara kwenye mkataba wa Bandari
Prof Tibaijuka amesema hakuna Udini Kwenye mkataba wa Bandari kwani Viongozi hawakuambatana na Mashehe wala Maaskofu walipoenda Dubai kutia Saini
Amesema Anna kwenye ukurasa wake wa twitter
Kwako FaizaFoxy 😂🔥
Prof Tibaijuka amesema hakuna Udini Kwenye mkataba wa Bandari kwani Viongozi hawakuambatana na Mashehe wala Maaskofu walipoenda Dubai kutia Saini
Amesema Anna kwenye ukurasa wake wa twitter
Kwako FaizaFoxy 😂🔥