prof,tibaijuka akiri asema hakuwai kumpa mtu yeyote pesa tofauti na Dr faustine Ndugulile.
Ndio hiyo ni rushwa kwanini anze kulipwa mbunge hiyo ni rushwa ili anyamaze kuteteaImagine, holy **** tena... false 101% u post this lies
shame on u....!!! I listened the full speech ya Prof. Tibaijuka.... She is really THE BEST MINISTER the country
is proud of.... kajipanga... tuache kuongea hovyo hovyo...
concerning Ndungulile alisema hivi; Ndungulile alikuwa anadai fedha kwa ajili ya plot yake Kigamboni...na akakiri alilipwa na yeye ili hali wananchi wengi bado hawajalipwa ila wako ktk process ya kulipwa eneo la mji mpya wa Kigamboni......
So corruption inatoka wapi..!!?? Nosense to u poorone not richone
prof,tibaijuka akiri asema hakuwai kumpa mtu yeyote pesa tofauti na Dr faustine Ndugulile.
Magwanda mnajulikana kwa uzushi na uongo na kugeuza maneno, hivi watu kama nyinyi mnategemea haswa tuwape hii nchi muongoze? mtateseka sana. Watanzania wameshawashtukia.
Waswahili hunena "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka". Magwanda kwisha, hamna hoja wala sera kazi kudanganya tu.
Ndio hiyo ni rushwa kwanini anze kulipwa mbunge hiyo ni rushwa ili anyamaze kutetea