Prof. Tibaijuka akiri kumpa rushwa Ndungulile

Prof. Tibaijuka akiri kumpa rushwa Ndungulile

richone

Senior Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
146
Reaction score
37
prof,tibaijuka akiri asema hakuwai kumpa mtu yeyote pesa tofauti na Dr faustine Ndugulile.
 
Husomeki ndg.yangu!funguka watu tukuelewe!Ndugulile ndio nani,na ilikua issue gani ndio akayasema hayo?funguka mukubwa!
 
prof,tibaijuka akiri asema hakuwai kumpa mtu yeyote pesa tofauti na Dr faustine Ndugulile.


Imagine, holy **** tena... false 101% u post this lies
shame on u....!!! I listened the full speech ya Prof. Tibaijuka.... She is really THE BEST MINISTER the country
is proud of.... kajipanga... tuache kuongea hovyo hovyo...
concerning Ndungulile alisema hivi; Ndungulile alikuwa anadai fedha kwa ajili ya plot yake Kigamboni...na akakiri alilipwa na yeye ili hali wananchi wengi bado hawajalipwa ila wako ktk process ya kulipwa eneo la mji mpya wa Kigamboni......
So corruption inatoka wapi..!!?? Nosense to u poorone not richone
 
Imagine, holy **** tena... false 101% u post this lies
shame on u....!!! I listened the full speech ya Prof. Tibaijuka.... She is really THE BEST MINISTER the country
is proud of.... kajipanga... tuache kuongea hovyo hovyo...
concerning Ndungulile alisema hivi; Ndungulile alikuwa anadai fedha kwa ajili ya plot yake Kigamboni...na akakiri alilipwa na yeye ili hali wananchi wengi bado hawajalipwa ila wako ktk process ya kulipwa eneo la mji mpya wa Kigamboni......
So corruption inatoka wapi..!!?? Nosense to u poorone not richone
Ndio hiyo ni rushwa kwanini anze kulipwa mbunge hiyo ni rushwa ili anyamaze kutetea
 
Magwanda mnajulikana kwa uzushi na uongo na kugeuza maneno, hivi watu kama nyinyi mnategemea haswa tuwape hii nchi muongoze? mtateseka sana. Watanzania wameshawashtukia.

Waswahili hunena "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka". Magwanda kwisha, hamna hoja wala sera kazi kudanganya tu.
 
CDM kwishneyy bungeni kama mpira tu wndundadunda hamna lolote
 
Magwanda mnajulikana kwa uzushi na uongo na kugeuza maneno, hivi watu kama nyinyi mnategemea haswa tuwape hii nchi muongoze? mtateseka sana. Watanzania wameshawashtukia.

Waswahili hunena "ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka". Magwanda kwisha, hamna hoja wala sera kazi kudanganya tu.

Zombaaa! Mweupe, Zomba mweupe!
 
Then wote
Tibaijuka na Ndugulile hawatufai tanzania.
Kama tungekuwa na chombo cha kudhibiti RUSHWA Tanzania kingewahenyesha hawa.
 
Hizo ni changamoto za kawaida katika utendaji kazi ila kiukweli mama amedhamiria na anaweza kama tukimpa ushirikiano. Let's move together because we are sailling on the same boat
 
Duu na hii kali yaani kulikuwa na fedha ya kumlipa ndugulile tu. Kusema kweli hapa kuna mushkeli kwa nini alipwe yeye tu mtu mmoja na wengine waachwe kamwe haiingii akilini.
Nadhani ndio maana inawezekana ikaonekana kama rushwa ya kumziba mdomo asiwatetee wananchi wake
 
Hiyo ni rushwa tena ya wazi kabisa,atoe sababu iliyomfanya wakulipwa awe Ndungulile peke yake na siyo mtu mwingine ndiyo tutamuuelewa.
 
Hajasema zaidi ya Ndugulile ni nani mwingine aliye lipwa. Bila shaka kama ni malipo halali ya fidia ya nyumba yake sidhani kama ni rushwa labda tuite upendeleo wa wazi baina ya viongozi.
 
Ndio hiyo ni rushwa kwanini anze kulipwa mbunge hiyo ni rushwa ili anyamaze kutetea

Kweli Lynix, hata kumpa upendeleo mtu japokuwa ni haki yake nayo ni rushwa maana yake hapo amefungwa mdomo tayari hawezi kupiga kelele kwa niaba ya wengi, bado ZAWADI pia ni rushwa hata kama ulitoa kwa nia njema lakini impact yake ni kwamba unaweza kurudi siku nyingine ukamkuta yule uliempa zawadi ukiwa kwenye foleni kubwa matokeo yake utapata upendeleo wa kuhudumiwa kabla ya wengine. Tatizao tumezoea rushwa mpaka utoe hela mfukoni umpe mtu akupatie huduma flani. Inabidi tubadilike maana kuna mazingira hata kumpa lift Hakimu ni rushwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom