Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

Mkuu wa chuo kutumia 4m kwenda iringa na ndege mbona watu wa NGO wanaruka kila mara, wakati mwingine muda pia unathamani jamani hatuwezi kuendelea kama mtaendelea kumind vitu vidogo hivyo, Wakina Jay Z wanandege za kwao na wanaruka tu. Mtoa hoja katia chumvi, mbona 14 seaters zinaruka sana Iringa - Mbeya na wala mtu haitaji kukodi.

VC nchi zingine anatembea kwa msafara kama waziri mkuu, nimeona India hawa wakuu wa chuo ni watu wanoheshimika sana. Kila zama zina nabii wake, Luhanga alishapita kitambo.

''Dream big dreams you guys: only big dreams have the power to move men's soul''. Marcus Aurelius
 
Previous Vice Chancellors


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Name [/TD]
[TD] Position [/TD]
[TD="width: 215"] YEAR[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Mr. Cranford Pratt[/TD]
[TD="width: 215"] Principal[/TD]
[TD="width: 215"] 1961 -1965[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Dr. W.K. Chagula[/TD]
[TD="width: 215"] Principal[/TD]
[TD="width: 215"] 1965 -1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Mr. Pius Msekwa[/TD]
[TD="width: 215"] Vice Chancellor[/TD]
[TD="width: 215"] 1970 -1977[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Mr. Ibrahim Kaduma[/TD]
[TD="width: 215"] Vice Chancellor[/TD]
[TD="width: 215"] 1977 -1980[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"]Mr. Nicholas Kuhanga

[/TD]
[TD="width: 215"]Vice Chancellor [/TD]
[TD="width: 215"]1980 - 1988[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Prof. G.R. V. Mmari[/TD]
[TD="width: 215"] Vice Chancellor[/TD]
[TD="width: 215"] 1988 - 1991[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Prof. Matthew Luhanga
[/TD]
[TD="width: 215"] Vice Chancellor[/TD]
[TD="width: 215"] 1991 - 2006[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Prof. Rwekaza S. Mukandala[/TD]
[TD="width: 215"] Vice Chancellor[/TD]
[TD="width: 215"] 2006 – to date[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Atakayeshindwa kusoma hapo juu na kuelewa basi atakuwa zumbukuku!
 
mkuu mm apo kwenye red hzo gari zinafana na zile ndege zinazoendeshwa bila rubani? mana unasema bila m2 yyto ndani

GT naamini unaelewa mtoa hoja ana maanisha nini. Kwa akili yako kweli Tanzania ina magari ambayo ni auto pilot? Dereva ndio apeleke gari ila asiwepo mtu mwingine zaidi ya dereva. Mwisho big up kwa post zako
 
Ndugu Ole Saidimu, acho kujipotosha, ninauhakika na ninachokisema ndiyo maana nimeweka namba za hao mabwana hapo na kukuelewesha kuwa ninafanya utafiti kabla ya kunena na kwa kuwa nimeshuhudia ndege aliyoitumia na kufanya utafiti alipoenda hapa Iringa - Mkwawa. Ni bora ukatae kwa ushahidi siyo kuwa lucky man au boss. Cha msingi tutoe taarifa zenye tija na za kujenga na siyo za kinafiki wajameni.
 
Mimi siyo mtu wa kukanusha au kukubaliana na jambo bila utafiti maana tunapaswa kujenga hii nnchi kwa pamoja na siyo kupotosha au kukwepesha ukweli. Kesho naingia Dar from Iringa nitafuatilia kwa ukaribu swala hili na mwisho nitaweka ukweli humu ndani bila kuficha kitu. Mbinu nitakayoitumia siiweki wazi ili kuondoa uchakachuaji na wenyewe kunikwepa.
 
Vut-Nkuvute hili la kwenda Bukoba na hao wasaidizi wake nitalifanyia kazi. Kama kweli Prof. Ishumi amefiwa na Mke wake apole sana nmfahamu yule mama alikuwa secretary kule Engineering na alinisaidia kuchapa thesis nilipokuwa nafanya Mastes pale na kwa jitihada nakumbuka alijiendeleza akawa administrative officer. Ila la kwamba amerudi Dar leo kwa ndege ya kukodi unawadanganya watu maana nimeshaweka wazi kuwa ni alirudi jana 21/03/2012 kwa Auric Air, pili kama gari zake zilitangulia jana aliendaje airport? maana kikawaida kama gari imeenda kumhudumia mkubwa lazima ihakikishe amekwea ndege ndipo dreva aanze safari ya kurudi huku mipango ikifanyika kumpokea anakoelekea, Kwa uongo uliouweka hapa unaitwa uongo wa kishetani na siyo mtakatifu.
 
Vut-Nkuvute hili la kwenda Bukoba na hao wasaidizi wake nitalifanyia kazi. Kama kweli Prof. Ishumi amefiwa na Mke wake apole sana nmfahamu yule mama alikuwa secretary kule Engineering na alinisaidia kuchapa thesis nilipokuwa nafanya Mastes pale na kwa jitihada nakumbuka alijiendeleza akawa administrative officer. Ila la kwamba amerudi Dar leo kwa ndege ya kukodi unawadanganya watu maana nimeshaweka wazi kuwa ni alirudi jana 21/03/2012 kwa Auric Air, pili kama gari zake zilitangulia jana aliendaje airport? maana kikawaida kama gari imeenda kumhudumia mkubwa lazima ihakikishe amekwea ndege ndipo dreva aanze safari ya kurudi huku mipango ikifanyika kumpokea anakoelekea, Kwa uongo uliouweka hapa unaitwa uongo wa kishetani na siyo mtakatifu.

Sasa nimeamini kwamba wewe ni Personal Secretary wa Prof. Mukandala. Hongera sana kwa kuwa sehemu ya kudidimiza UDSM katika malengo yake kama Chuo kikubwa sana Tanzania. Vipi, mbona maswali yangu ya jana bado haujayajibu?
 
na ishu ya MUkandandala kutoa upendeleo wa vyeo kwa wakufunzi wa kabila lake pale chuo unalizungumziaje???
Ndugu zangu kama kwaida huwasikurupuki kuchangia mada humu nafanya utafiti kwanza. Kwa hili mtoa hojaameshindwa kuthibitishia umma ukweli wa swala hili, naungana na Satellitekuomba source ya aliyoaandika. Labda mimi niweke wazi unafiki wa mtoa mada nakuueleza umma kuwa mtoa mada is not matured interms of reasoning and factsearching bali ni mchochezi yeye pamoja na wanaowahamasisha wanafunzi wastrikebila kuwaeleza uwazi wa jambo lenyewe. Ingawa mimi siyo msemaji wa USDM wala waserikali ila tu mdau wa chuo kile kwa utafiti wangu napenda kujibu hoja kamaifuatavyo ili mwenye akili atafakari na mwenye kutafiti apinge majibu kwautafitina bila unafiki.

1. Kwenda Iringa: Ni kweli Prof. Mukandala na Msaidizi wake walienda Iringa
2. Kutembelea MUCE: Ukweli ni kwamba Prof. Mukandala alikwenda MUCE kuhudhuriamkutano wa 21 wa Governing Board Na sio just kutembelea chuo.
3.Hoja ya kukodi ndege: Ndege haijakodishwa ila Ukweli ni kwamba Prof.Mukandala na msaidizi wake walikwenda iringa kwa ndege ya shirika la ndegelinalojulikama kama Auric Air inayofanya safari zake kwenda Iringa na Mbeyakila siku kwenda asubuhi kurudi mchana. Kupata ukweli wa hili wasiliana naAuric Air kwa namba zifuatazo 0783233334.
4. Kukodi Ndege kwa Million nne (4): Hivi ni nani atakubali kutoa ndege yakekutoka Dar kwenda Iringa kwa milion 4? tuache uongo Kwenda Iringa kwa kukodindege nulizia Tanzaniair watakupa gharama ambazo ni minimum costs. Garamahalisi walizotumia kwenda Iringa kwa wote waeili wanazo Auric Air na unawezakupitia website yao. Nimefanikiwa kupata invoice na receipt ya malipoyaliyolipwa mkitaka kujua amount mseme nitawapatia.
5. Magari V8 kutangulia bila mtu: Acheni uongo wajameni muangalie tu UDSM wanaV8 ngapi? Kampuni yetu ndiyo inatengeneza magari yao ila fanyeni utafiti.Mukandala mwenyewe anatumia VX la kizamani. Hapa nipo Iringa na wakati Raisanasuburiwa kuingia Prof. Mukandala ndiyo alikua anaondoka na nimeona ameletwa naNissan ya Prof. Mushi wa MUCE sasa sijui hayo ma VX mawili yalienda kufanyanini huko? Tafakari

6. Kuhusu Ukwasi: Hapa siwezi sema mengi ila najua UDSM wanategemea pesa toaserikalini mtumeni CAG akafanye kazi yake kama ukwasi unatokana na matumizi mabovuau la.

7. Matumizi mabaya ya fiedha: Mi ninavyomjua huyu bwana anajaribu sanakupunguza matumizi na nikipiga mahesabu ya kwenda Iringa kwa gari yaani: Muda,mafuta, tahadhari, na posho za wote na siku watakazo kuwa huko utagundua ni kwakiasi gani huyu bwana alivyoliona hilo na kushukuru kampuni ya Auric kupelekausafiri wa ndiege Iringa. Tafakari!

8. Mliman City wanakula: ukweli ni kwamba mwekezaji lazima anataka kula lakiniMradi huu hakuuanza Mukandala ujue, pia tangu ameingia madarakani lazima tufanyeutafiti kujua chuo hicho kinafaidikaje na mradi huo. Nilikutana na moja wawakurugenzi wa pale nilopokwenda Botswana last week wakasema VC wa sasa paleUDSM anawabana sana.

9. Chuo Kimeharibika: Ukweli ni kwamba anayejenga na kubomoa chuo ni wewe, mimina waliopo chuoni pale; wewe unaambia wanafunzi waandamane kupinga kituulichotunga kisicho na ukweli, unwatakia mema wanafunzi na chuo kwa ujumla?watasoma saa ngapi? watatafiti pumba na makande saa ngapi kama mnawajazaemotional greefs.

Wandugu nitaendelea kusema ukweli hata kwa kifo uongo, majungu na fitina kwangumwiko. Tuache makelele, tuongee; tuache siasa za chuki tujenge hoja tuibuemijadala ya kifikra na kimaendeleo; tuache uvivu wa kufikiri na kutenda,tufanye kazi kwa bidii.
 
Kujilisha pepo kuna mwisho. Ajikumbushe marehemu Sumari alivyokuwa akiangiza shangingi lake liendeshwe hadi Arusha kumlaki wakati ametangulia na ndege. Huo ni ulimbukeni na dalili za kutoelimika kwa mtu mwenye cheo kama cha Mukandala. Hata hivyo atahofia nini iwapo alifika hapo kwa mgongo wa urafiki na ukada? Hapa wa kulaumu ni yule aliyembeba.
 
Maburangati
Auric Air, vindege vyao vinachukua 10-12 people. Kama hawana ratiba ya kwenda Iringa wanaweza kwenda kwa kukodishwa.
 
Previous Vice Chancellors


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Name [/TD]
[TD] Position [/TD]
[TD="width: 215"] YEAR[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Mr. Cranford Pratt[/TD]
[TD="width: 215"] Principal[/TD]
[TD="width: 215"] 1961 -1965[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Dr. W.K. Chagula[/TD]
[TD="width: 215"] Principal[/TD]
[TD="width: 215"] 1965 -1970[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Mr. Pius Msekwa[/TD]
[TD="width: 215"] Vice Chancellor[/TD]
[TD="width: 215"] 1970 -1977[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"] Mr. Ibrahim Kaduma[/TD]
[TD="width: 215"] Vice Chancellor[/TD]
[TD="width: 215"] 1977 -1980[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 215"][COLOR=#
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?

Bado hajakuwa kwani amekwishaenda 'jando'!!
 
Vut-Nkuvute hili la kwenda Bukoba na hao wasaidizi wake nitalifanyia kazi. Kama kweli Prof. Ishumi amefiwa na Mke wake apole sana nmfahamu yule mama alikuwa secretary kule Engineering na alinisaidia kuchapa thesis nilipokuwa nafanya Mastes pale na kwa jitihada nakumbuka alijiendeleza akawa administrative officer. Ila la kwamba amerudi Dar leo kwa ndege ya kukodi unawadanganya watu maana nimeshaweka wazi kuwa ni alirudi jana 21/03/2012 kwa Auric Air, pili kama gari zake zilitangulia jana aliendaje airport? maana kikawaida kama gari imeenda kumhudumia mkubwa lazima ihakikishe amekwea ndege ndipo dreva aanze safari ya kurudi huku mipango ikifanyika kumpokea anakoelekea, Kwa uongo uliouweka hapa unaitwa uongo wa kishetani na siyo mtakatifu.
Sina haja ya kusema uongo ndugu.UDSM ina magari zaidi ya hamsini.Inashindikanaje kwa Prof.Mukandala kupelekwa na gari nyingine hadi apelekwe na gari yake binafsi.Huna hoja.Kwa taarifa yako,Prof.Mukandala atasafiri Jumatatu na gari zake zitatzngulia kesho.Ushabiki wako usio na utafiti utakuponza.Kuwa makini kijana...
 
Back
Top Bottom