Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

Jamani wala sishangai mie nilikutana na V8 yake iko na dereva tu inapelekwa kijijini kwajili ya mizunguko yake. Shughuli za kijiji zikiisha inarudishwa dsm. Umwinyi huu jamani??? devera haruhusiwi kutoa lift hata akute majeruhi barabarani atachafua ngali.
 
Unaona sasa....wewe umezaliwa lini kwani?

Kutoka mwaka 1980 - 1988 vice chancellor wa UDSM alikuwa Nicholas Kuhanga! Bonyeza hapa uongeze ufahamu wako.

Alikua mtumishi mwadilifu sana sasa hivi serikali hii imemsahau... Mukandara chukua chako mapema nchi hii haina fadhila....
 
Hii tabia ilianza kimya kimya kwa mawaziri sasa inasambaa kwa watumishi wengine. Hakuna magari Iringa? Chuo cha Mkwawa hawawezi kumtembeza huyu Mukandala kwa muda mfupi aliokuwa hapo Iringa? Kwa nchi maskini kama hii inakuwaje mkuu wa chuo (mkuu wa chuo!) asafiri kwa ndege huku gari lijazwe mafuta na kumfuata Iringa kwa safari za hapo mtaani Iringa? Kweli Mukandara anaweza kusimama mbele za watu na kuhubiri utawala bora?

Huyu Mukandala siyo hilo tu, anaishi kwenye nyumba yake Makongo, lakini kwa tamaa zake bado amechukuwa nyumba za lecturers hapo chuo kikuu? Sijui inakuwaje anakaa kwenye nyumba mbili kwa wakati mmoja? Au anatumia kwa shughuli 'maalum?'. Sijui ni kitu gani waliangalia na kumfanya huyu Prof awe mkuu wa chuo? Anakiuwa kabisa.

kwa mpango wa nyumba function zote za kichuo mukandala inabidi akaribishe wageni katika makazi rasmi ambayo ni hiyo nyumba hapo so nadhani kuhusu nyumba ni utaratibu kisheria wa chuo labda tuongeleee ufisadi mwwingine uliokubuhuu
 
aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake

Kwenye nyekundu ulidanganya uma

Kwa hiyo hayo magari yalikuwa yanajiendesha yenyewe?
 
oh yeah..enzi hizo nazo zilikuwa poa kabisa.

Ila nimestaajabishwa na ujinga wa watu. Yaani hata uwape historia na kutoa vidhibiti bado wapo ambao hawaelewi.

Eti mtu anadiriki kusema katika historia ya chuo kikuu cha dar es salaam hakujawahi kuwa na makamu mkuu wa chuo aitwaye nicholas kuhanga......

Ujinga sijapata kuona.

we kilaza nyamaza wewe...we lini umesoma udsm?we si mbeba box mbele baada ya kufeli tz?acha mada zinazohusu wasomi wadiscuss wasomi nyani wewe..
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?

Dah! nilipofungua nilifikiri jamaa kafanya ufisadi mkuubwa kumbe milioni 4 tu kwako ndo kufuru je ukisikia wizi wa kule Open University utasemaje? Hiyo amount ni ndogo sana kumbuka yule ni mtu mkubwa kukodi ndege ni kawaida tu tena hapo kabana sana matumizi wanaokula mabilioni na tusemeje kama milioni 4 ni kufuru?
 
Kuna jamaa zangu wanafanya kazi udsm jinsi wanavyolalamika na ukwasi uliopo hapo udsm kiasi kwamba wanafikiria kuacha kazi. Ukiangalia story nzima wanamlalamikia huyo jamaa, na kama ndio anafanya ufisadi wa namna hiyo basi hafai kuwepo hapo ili kukinusuru hicho chuo. mbona wakati wa luhanga mambo yalikuwa mazuri!!!.

Waache kazi hawalipwi mishahara yao?
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?

Bado viongozi wanataka tuamini nchi yetu masikini. Mia
 
Maisha ndivyo yalivyo nchi yenye mmomonyoko wa maadili unategemea nini, tumia kadili uwezavyo muda wako ukiisha unaondoka, ni lini umewahi kusikia viongozi wanafungwa kwa matumizi mabaya ya ofisi? Hii ndo tanzagiza
 
Acheni wivu nyie,walaumun baba zenu kwa kucheza disco na ubaba na mama wakati mwenzao akiwa maktaba anakula buku,leo anachuma matunda yake mnaanza lalama,M8 sio kitu uliza UD inaingza shi ngapi chin ya utawala wake?lazma ale jasho lake axhen chuki
 
Kuna jamaa zangu wanafanya kazi udsm jinsi wanavyolalamika na ukwasi uliopo hapo udsm kiasi kwamba wanafikiria kuacha kazi. Ukiangalia story nzima wanamlalamikia huyo jamaa, na kama ndio anafanya ufisadi wa namna hiyo basi hafai kuwepo hapo ili kukinusuru hicho chuo. mbona wakati wa luhanga mambo yalikuwa mazuri!!!.

Siyo rahisi kumwondoa. Huyu ni mpiga debe wa chama chake yeye na Bana. Ndiyo maana wanaanzisha tafiti zisizokuwa na kichwa wala miguu ili tu matokeo yafurahishe wahafidhina.
 
Acheni wivu nyie,walaumun baba zenu kwa kucheza disco na ubaba na mama wakati mwenzao akiwa maktaba anakula buku,leo anachuma matunda yake mnaanza lalama,M8 sio kitu uliza UD inaingza shi ngapi chin ya utawala wake?lazma ale jasho lake axhen chuki

Bila shaka wewe ni Mukandala mwenyewe. Hakuna anayeweza kutetea huu uozo na wizi wa mchana kweupe isipokuwa aliyeutenda.
 
Acheni wivu nyie,walaumun baba zenu kwa kucheza disco na ubaba na mama wakati mwenzao akiwa maktaba anakula buku,leo anachuma matunda yake mnaanza lalama,M8 sio kitu uliza UD inaingza shi ngapi chin ya utawala wake?lazma ale jasho lake axhen chuki

Kwa maelezo yako ni sawa na kuruhusu mshenga alale na mkeo kwa sababu yeye ndiye aliyepeleka posa iliyokufanya umpate huyo mke
 
Back
Top Bottom