Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,261
- 1,883
Hakuna Jeshi litakalo kuwa BAYA kama la serikali ya CDM iwapo tutalogwa kuwapa Nchi hii watanzania tusijaribu tutalia na kusaga meno bila msaada Hawa watu ni Black Devils aslani tusidhubutuIfikie wakati tuondokane na hili jeshi la kikoloni. Tunatakiwa tuwe na jeshi la kulinda raia na mali zao! Na siyo kuilinda ccm kwa gharama yoyote ile, hata kama haikubaliki kwa Watanzania walio wengi.