Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Mwenyekiti wa CUF Profesa Lipumba amemvaa Rais Samia kutokana na madudu yaliyomo kwenye mkataba wa ukodishwaji wa bandari za Tanzania kwa kampuni la DP world kutoka Dubai kwa haufai na huenda kuna watu ndani ya serikali wanamtengenezea ajali kisiasa ili ashindwe kwenye uchaguzi ujao.
Prof Lipumba amesema alikuwa anampigia debe Rais Samia atwae tuzo ya Nobel lakini kwa madudu yaliyomo.kwenye mkataba wa DP world haitawezekana tena kutwaa tuzo hiyo.
Prof Lipumba amesema alikuwa anampigia debe Rais Samia atwae tuzo ya Nobel lakini kwa madudu yaliyomo.kwenye mkataba wa DP world haitawezekana tena kutwaa tuzo hiyo.