Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,616
Wanabodi,
Nimeanzisha mfululizo wa makala za Uso kwa Uso, au Face to Face Vox Pop, ambapo nikialikwa event yoyote, nitakuwa nafanya mahojiano mafupi ya face to face kupata Vox Pop ya baadhi ya washiriki wa event hiyo
Face2Face ya leo ni c̅ M/Kiti CUF, Prof. Lipumba - "Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!.
Karibu
View: https://youtu.be/U2sP1sh3Si8?si=38AfGpvn3eiYvNv4
Lengo la hii Vox Pop ni kuwapa sauti the voiceless wasikike, hizi Vox Pop zikiwa nyingi na kuwa compiled together na kupazwa kwa pamoja, zinakuwa ni Vox Pop only, zinakuwa transformed into Vox Populi, na kama ni kweli wasemavyo walimwengu, "Vox Populi is Vox Dei", then viongozi wetu wana wajibu wa kuzisikia sauti hizi kwasababu zina undergo conversion to Vox Dei!.
Wasalaam.
Paskali
Nimeanzisha mfululizo wa makala za Uso kwa Uso, au Face to Face Vox Pop, ambapo nikialikwa event yoyote, nitakuwa nafanya mahojiano mafupi ya face to face kupata Vox Pop ya baadhi ya washiriki wa event hiyo
Face2Face ya leo ni c̅ M/Kiti CUF, Prof. Lipumba - "Nina Matumaini Makubwa na Rais Samia, Chaguzi Zijazo Zitakuwa Huru na Haki!, Mambo ya 2019/2020 Yasijirudie!.
Karibu
View: https://youtu.be/U2sP1sh3Si8?si=38AfGpvn3eiYvNv4
Lengo la hii Vox Pop ni kuwapa sauti the voiceless wasikike, hizi Vox Pop zikiwa nyingi na kuwa compiled together na kupazwa kwa pamoja, zinakuwa ni Vox Pop only, zinakuwa transformed into Vox Populi, na kama ni kweli wasemavyo walimwengu, "Vox Populi is Vox Dei", then viongozi wetu wana wajibu wa kuzisikia sauti hizi kwasababu zina undergo conversion to Vox Dei!.
Wasalaam.
Paskali