Prof. Lipumba aula!!

Hivi Slaa anaweza fanya kazi gani huko duniani kwa taaluma yake? Katibu wa baraza la maaskofu wa dunia???!!!
 
Mmmh_na hili ndilo tatizo letu,mtu unamsifu kichwa wakati hajafanya lolote la maana kwao(tz),....haya kila la heri huko kwenye hiyo bodi ya dunia.

Ungemjuwa aliyekutowa kwenye minyororo na lindi la uchumi alilotutumbukiza Nyerere usingesema unayoyasema, umezaliwa lini?
 
Hivi jamani kuna kitu kinaitwa *Bodi ya wachumi duniani*? Mnijuze:

1. Bodi hii inaundwa na nani?
2. Makao makuu yake yako wapi?
3. Shughuli zake nini?

Mwenye kujua anijuze, halafu huu mjadala wa Lipumba aula utaendelea baadae.

Kama kingekuwa kitu ''serious'' sidhani nchi za magharibi ''zinge-risk'' kumpa Lipumba nafasi hiyo hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inakabiliwa na mtanange mzito wa kuporomoka kwa uchumi huku nchi nyingi za ulaya na marekani zikionekana kukosa suluhisho la uhakika kwa tatizo hili.
 
Hivi Slaa anaweza fanya kazi gani huko duniani kwa taaluma yake? Katibu wa baraza la maaskofu wa dunia???!!!

lakini Uchaguzi wa 2010 Uliona mwenyewe jinsi alivyo mfunika rais wako Ibrahim Ripumba wa cough. Hapo ndo umepata picha ni nani anawafaa watanzani na wanamkubali pia. na sasa hivi tunawakomba viongozi wenu wote wa ngazi za juu. pole sana. Mia
 
mmmh_na hili ndilo tatizo letu,mtu unamsifu kichwa wakati hajafanya lolote la maana kwao(tz),....haya kila la heri huko kwenye hiyo bodi ya dunia.

tatizo lenu hapa nyie hampendi kutumia wataalam kila kitu hata cha kitaalam mnachanganya na siasa wenzenu wanawatumia wataalam wenu na wanafanikiwa,lipumba ni mmoja wapo tu,mtu kama daudi balali amesaidia nchi nyingi sana mpaka akamshawishi mkapa kumuomba aje hapa lakini kila mtu anajua kilichompata toka kwa watu wa siasa hapa nyumbani!
 
Kaifanyia nini Tanzania na hicho kichwa chake?

Si wanamdharau hawataki kumpa nafasi ya kufanya mambo,sasa angefanyaje viongozi wa Tanzania elimu zao ni za magumashi,digrii za kuokoteza bila kuzisotea sasa unafikiri wanahitaji wasomi hapo,Tanzania ni kanyaga twende.
 

..mara ya mwisho nilisikia Prof.Nguyuru Ibrahim Haruna Lipumba alikuwa yuko National Endowment for Democracy[NED] in Washington DC.

..kwa kweli inatia wasiwasi kuhusu umakini wa chama cha CUF ukizingatia kwamba Mwenyekiti wake ameamua kutafuta ajira nje ya nchi.

..hapa chini ni maelezo mafupi kuhusu shughuli za National Endowment for Democracy[NED]

[h=1]About NED[/h]The National Endowment for Democracy (NED) is a private, nonprofit foundation dedicated to the growth and strengthening of democratic institutions around the world. Each year, NED makes more than 1,000 grants to support the projects of non-governmental groups abroad who are working for democratic goals in more than 90 countries.
Since its founding in 1983, the Endowment has remained on the leading edge of democratic struggles everywhere, while evolving into a multifaceted institution that is a hub of activity, resources and intellectual exchange for activists, practitioners and scholars of democracy the world over.
[h=2]A Unique Institution[/h]NED is a unique institution. The Endowment's nongovernmental character gives it a flexibility that makes it possible to work in some of the world's most difficult circumstances, and to respond quickly when there is an opportunity for political change. NED is dedicated to fostering the growth of a wide range of democratic institutions abroad, including political parties, trade unions, free markets and business organizations, as well as the many elements of a vibrant civil society that ensure human rights, an independent media, and the rule of law.
This well-rounded approach responds to the diverse aspects of democracy and has proved both practical and effective throughout NED's history. Funded largely by the U.S. Congress, the support NED gives to groups abroad sends an important message of solidarity to many democrats who are working for freedom and human rights, often in obscurity and isolation.
The Endowment is guided by the belief that freedom is a universal human aspiration that can be realized through the development of democratic institutions, procedures, and values. Democracy cannot be achieved through a single election and need not be based upon the model of the United States or any other particular country. Rather, it evolves according to the needs and traditions of diverse political cultures. By supporting this process, the Endowment helps strengthen the bond between indigenous democratic movements abroad and the people of the United States -- a bond based on a common commitment to representative government and freedom as a way of life.
[h=2]Bipartisan and Transparent[/h]From its beginning, NED has remained steadfastly bipartisan. Created jointly by Republicans and Democrats, NED is governed by a board balanced between both parties and enjoys Congressional support across the political spectrum. NED operates with a high degree of transparency and accountability reflecting our founders' belief that democracy promotion overseas should be conducted openly.
We post information about all of our grants and activities on this Web site and are subject to multiple layers of oversight by the US Congress, the Department of State, and independent financial audit.

 
Mmmh_na hili ndilo tatizo letu,mtu unamsifu kichwa wakati hajafanya lolote la maana kwao(tz),....haya kila la heri huko kwenye hiyo bodi ya dunia.

Kwani serikali ilimpa nafasi akashindwa? Wao si wamekaa na uccm wao tu wa kiselfish hawataki kuwatumia wataalam wa hapa nchini
 
Hivi hii NED ndio mlema mada anaaita ''Bodi ya wachumi duniani'?

Please, mleta mada jibu maswali yangu pale juu otherwise ondoa hii takataka isiyo na uthibitisho!
 
Amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya Wachumi Duniani. Mshahara wake utakuwa tshs 2,800 milioni kwa wiki 1. Source: cluds.

Hivi mkuu kuna milioni 2800? Kwani nijuavyo 1000 milion ni sawa na bilioni moja kwahiyo hapo ungetakiwa kusema bilioni 2 na milioni 800. Au nimekosea wadau?
 
We unayeuliza ameifanyia nini tanzania vipi na wewe umeishajiuliza umeifanyia nini nchi yako au kukurupuka tu bila kufikiri.
 
Hongera Lipumba waache magamba waendelee juvuana gamba na roho zao mbaya
 
Back
Top Bottom