Ni yapi Madhara ya WiFi (wireless network) kiafya?

Ni yapi Madhara ya WiFi (wireless network) kiafya?

Vita dhidiyaujinga

Senior Member
Joined
May 15, 2026
Posts
155
Reaction score
196
Binafsi nimeona Madhara ya WiFi ya kiafya ambayo ni maumivu ya kichwa (body weakness creation)
Nimethibitisha

Je, wewe unamfaham Madhara mengine ya kiafya na vingine? Unasemaje kuhusu HOJA ya WiFi kusababisha maumivu ya kichwa?
 
Wi fi ili uone faida yake itumie kibiashara na sio matumizi binafsi
Mwanafunzi mmoja akauliza, Mwalimu na sisi watumishi wa tamisemi, tuitumie kwenye nini ili tuone faida yake nje ya matumizi ya kiofisi ?
 
Wi‑Fi huchangia sehemu ndogo sana ya exposure ya mawimbi ya redio ikilinganishwa na simu za mkononi.
Hakuna ushahidi thabiti kwamba Wi‑Fi inaleta madhara ya kiafya kwa binadamu katika matumizi ya kawaida.
 
Itakuwa unainama sana unapotumia hasa kwenye simu. Unapotumia simu nyanyua usawa wa uso na sio kushusha shingo kufuata simu ilipo. Kushusha shingo kila siku lazima uumwe kichwa haijalishi unatumia WIFI au lah. Pia punguza muda wa screen,macho yanaumia na maumivu yakizidi usisahau kumuona daktari.
 
Hakuna madhara yeyote,usilete taharuki, wifi mawimbi yake ni kama ya fm radio,na hizi fm radio tunazo tangu na tangu
 
222437.jpg
 
Back
Top Bottom