,Mkapa siku zote alikuwa anamwita profesa uchwala.
#
Tunamsubiria 2015aje kugombea urais kupitia COUGH!
Bongo mshahara kwa mwezi ni laki 6 mpk mil 1. 10% (ten percent ni tsh 12,000,000), Mikataba feki ni $990,000,000 hizo ni dollar kwa mwaka. CHANGANYA NA ZAKO.Akirudi bongo atakuwa anaingiza dollar ngapi kwa wiki?
Igwe, unajua kuwa concept ya management agencies ni brain child ya Prof Lipumba? Aliwaambia Mwinyi na Kigoma Malima (Malima akiwa waziri wa fedha nae akiwa mshauri wa uchumi) kuwa income tax department iwe independent wakamuona juha. Museveni alipomchukua at the same capacity na aka implement concept hiyo Uganda na performance ya URA ikawa bomba tukalazimishwa na world bank kufuata model hiyo hiyo!
Kubali usikubali, Prof ni kichwa japo si politician.
Bodi ya wachumi duniani, kichwa.
Hata Nehemia wa NHC amemzidi huo mshahara wa meneja wa benk bana,tena benki ya kawaida sana tena benki iliyopo bongo,huenda Prof ameamua ajitolee na hiyo huenda ni allowance ya kukaa(kama ile ya wabunge)mshahara mdogo sana huo kwa cheo chake hico bora arudi bongo tu
Kaifanyia nini Tanzania na hicho kichwa chake?
Mmmh_na hili ndilo tatizo letu,mtu unamsifu kichwa wakati hajafanya lolote la maana kwao(tz),....haya kila la heri huko kwenye hiyo bodi ya dunia.
WE VIPI, INA MAANA HUONI?? Tshs. 2,800,000,000/=
mböna pesa ya kawaida sana hyo?