Prof. Kitila Mkumbo: Tangu 2014 tulishakubaliana kuwa na Katiba Mpya, kilichobaki ni utekelezaji

Sheria ya common sense ambayo kila mwanadamu anaitumia bila kujali kuna sheria au hakuna sheria. .....just a rule which can be applied by an ordinary man mind in the street!
Unfortunately; common sense isn't common to all
 
Kwa hatua tuliyonayo hata hiyo iliyopendekezwa tuanze nayo kwa sababu ni vipengele vichache sana vinavyopingana na katiba ya Warioba vingi viliingizwa. Hivyo vichache vijadiliwe.
Wengi hawajui hili. Tofauti ya msingi kati ya Rasimu ya Tume wa Warioba na Katiba Inayopendekezwa ni muundo wa muungano. Mengine mengi yanafanana
 
Huyu naye Uzee unamwingia haraka kabla ya umri. Yaani ile katiba ya CCM ndiyo anataka itumike. Seriously. Hawa Mapropesa wa CCM ni hatari sana kwa Taifa hili.
Kitilya yuko sahihi badala ya kung'ang'ania Tume huru ya ACT afadhali ku deal na katiba ya Sitta ambayo ni comprehensive ingawa ina mapungufu yake.
 
Mnafiki sana huyo, Kati watu nilikuwa na waadimire kwa hoja na mtazamo ni huyu Kitila lakini aliyokuja kuyafanya yalinifanya nikamuona ni moja kati ya watu wa hovyo sana
 
Kitilya yuko sahihi badala ya kung'ang'ania Tume huru ya ACT afadhali ku deal na katiba ya Sitta ambayo ni comprehensive ingawa ina mapungufu yake.
Tatizo ni hii za a ya kuomba hisani kwa Rais kupata katiba mpya. We are like hostages in our own country.
 
Back
Top Bottom