Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri

Mmmh labda mkondo wa maslahi haujakufikia. Mbaya kwa mwenzako; kwako ni bahati! Mara nyingi tuyasemayo hatuyatendi!
 
Hivi kweli huna aibu unatuletea habari ya gazeti hili na kutaka tuamini habari hii. Hili si kama yale magazeti fake ya Mwanahalisi kama ya udaku tuu yaliyokuwa yanatutajia mafisadi, kumbe mwishowe inaonekana eti siyo mafisadi.
Hao hao wamewasafisha. Kamanda ondoa takataka hii

Mkuu hiyo kauli aliitoa kupitia magazeti ya Mtanzania na Tanzania Daima mwezi wa januari 2017
 
Hivi kweli huna aibu unatuletea habari ya gazeti hili na kutaka tuamini habari hii. Hili si kama yale magazeti fake ya Mwanahalisi kama ya udaku tuu yaliyokuwa yanatutajia mafisadi, kumbe mwishowe inaonekana eti siyo mafisadi.
Hao hao wamewasafisha. Kamanda ondoa takataka hii

Mkuu hiyo kauli aliitoa kupitia magazeti ya Mtanzania na Tanzania Daima mwezi wa januari 2017
 
Mkuu hiyo kauli aliitoa kupitia magazeti ya Mtanzania na Tanzania Daima mwezi wa januari 2017
Mkuu mbon unaumiza vidole vyako kumjibu huyo jamaa, huyo hana tofauti na PhD hasiyejua Inglishi au bashite(makondakita) asiyeonenaka NECTA
 
Kitila anaenda kula pesa za serikali na atakuwa mtu wa ndiyo mzee vinginevyo atatumbuliwa.

Wasomi wa nchi hii wanazidi kupelekwa hovyo na njaa za matumbo yao.

"Hongera" Mkumbo, msalimie Propesa Lipumba
 
Yeye alimwambia raisi asiteue wahadhiri,lakini hakuwaambia wala kuwashauri wahadhiri wakatae,hana jinsi inambidi atumikie taifa kwa njia nyingine.Tanzania bhana
 
Mkuu mbon unaumiza vidole vyako kumjibu huyo jamaa, huyo hana tofauti na PhD hasiyejua Inglishi au bashite(makondakita) asiyeonenaka NECTA

Hahahahahaha sawa mkuu wangu nimekusikia simjibu huyu ni bashitelized
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
Leo kateuliwa yeye yuko kimyaaaaa!!!! Amejiuzuru haraka haraka ushauri wa chama chake!!!! Kumbe alikuwa anatamani. Yuko vizuri lakini anafaa.
 
>>>Tanzania tuna vijana wengi nao wanahitaji AJIRA..Sio lazima achukue hao wazee.
"Vijana ni taifa la kesho hivyo kesho ikifika watapata ajira". Tokea nikiwa mdogo usemi ndio huu hadi nazeeka bado vijana taifa la kesho. Nafasi zote zinaendelea kushikwa na wazee!!!! Inabidi vijana tujiongeze wenyewe.
 
Leo kateuliwa yeye yuko kimyaaaaa!!!! Amejiuzuru haraka haraka ushauri wa chama chake!!!! Kumbe alikuwa anatamani. Yuko vizuri lakini anafaa.

Hahahaha anamalizia kuramba matapishi yake muda sio mrefu ataongea
 
Leo kateuliwa yeye yuko kimyaaaaa!!!! Amejiuzuru haraka haraka ushauri wa chama chake!!!! Kumbe alikuwa anatamani. Yuko vizuri lakini anafaa.

Hahahaha anamalizia kuramba matapishi yake muda sio mrefu ataongea
 
Hivi kweli huna aibu unatuletea habari ya gazeti hili na kutaka tuamini habari hii. Hili si kama yale magazeti fake ya Mwanahalisi kama ya udaku tuu yaliyokuwa yanatutajia mafisadi, kumbe mwishowe inaonekana eti siyo mafisadi. Hao hao wamewasafisha. Kamanda ondoa takataka hii
Wewe ni kiazi kweli uwe unasoma na tarehe sio kuandika au kwa sababu jf aikucharge pesa kwa comment yako moja..... Nyie ndio internet crynbaby
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
Nilitegemea akatae uteuzi huu, kumbe alikuwa anatamani ateuliwe tu!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nina bachelor ya Arts with Education tangu 2012GPA 3.96,naomba Rais aniteue japo niwe napanga majalada Ikulu chaki nimezichoka.
Umesoma Chuo gani GPA in decimal place mbili nimezoea huwa wana truncate.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom